WATUMISHI KATIBA NA SHERIA WAMUAGA JOSEPH NDUNGURU ANAYESTAAFU LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-E0KBA78wuvs/VQwHuTdByYI/AAAAAAABo2U/_c2iovwxKfw/s72-c/NDUG%2B1.jpg)
Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria kwa Umma katika Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Joseph J.K. Ndunguru, ambaye anastaafu leo (Ijumaa, Machi 20, 2015) baada ya kutimiza miaka 60, akimlisha keki Katibu Muhtasi wake Bi. Fatuma Ngodoki jijini Dar es Salaam leo huku watumishi wengine wakishuhudia.
Mwanasheria katika Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Charles Mmbando akimkabidhi zawadi Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria kwa Umma katika hiyo Bw. Joseph J.K. Ndunguru, ambaye anastaafu leo (Ijumaa, Machi 20,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog20 Mar
Watumishi Katiba na Sheria wamuaga Joseph Ndunguru anayestaafu leo baada ya kutimiza miaka 60
Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria kwa Umma katika Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Joseph J.K. Ndunguru, ambaye anastaafu leo (Ijumaa, Machi 20, 2015) baada ya kutimiza miaka 60, akimlisha keki Katibu Muhtasi wake Bi. Fatuma Ngodoki jijini Dar es Salaam leo huku watumishi wengine wakishuhudia.
Mwanasheria katika Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Charles Mmbando akimkabidhi zawadi Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria kwa Umma katika hiyo Bw. Joseph J.K. Ndunguru, ambaye anastaafu leo (Ijumaa, Machi...
10 years ago
MichuziWatumishi Katiba na Sheria waaswa kufanya kazi kwa malengo
Akizungumza na watumishi wa makao makuu ya Wizara hiyo jijini Dar es Salaam leo (Alhamisi, Novemba 20, 2014), Katibu Mkuu Bi. Maimuna Tarishi amesema ushirikiano na upendo ni ngunzo muhimu za mafanikio katika taasisi yoyote.
“Watumishi wa umma, hasa tuliopo Dar es Salaam, tunatumia muda mrefu tukiwa kazini hivyo tunatakiwa tupendane na...
11 years ago
Michuzi12 Feb
9 years ago
MichuziWATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE WAMUAGA RAIS KIKWETE
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-A84tmDso8F0/U1kqbvKim4I/AAAAAAAFcqo/i2fCvTQ5ymc/s72-c/unnamed+(28).jpg)
Waziri Mkuu akiwa na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino waliotembelea Bunge Maalum la Katiba mjini dodoma leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-A84tmDso8F0/U1kqbvKim4I/AAAAAAAFcqo/i2fCvTQ5ymc/s1600/unnamed+(28).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4GLfNHr57oQ/VGC63qrggAI/AAAAAAAGwZo/Y8PNe_ivpWA/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
KATIBU MKUU KATIBA NA SHERIA ARIPOTI OFISINI KWAKE LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-4GLfNHr57oQ/VGC63qrggAI/AAAAAAAGwZo/Y8PNe_ivpWA/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Py3hO43977I/VGC64BetywI/AAAAAAAGwZw/FxpgTkwo1-g/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-c6xkbMArgDc/Xq2k-XEQHKI/AAAAAAACKEo/UGFXxQwGpOoguJgLgYlASatqvSB7BV4lwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AMREJESHA MWINGULU NCHEMBA KATIKA BARAZA LA MAWAZIRI, AMTEUA LEO KUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-c6xkbMArgDc/Xq2k-XEQHKI/AAAAAAACKEo/UGFXxQwGpOoguJgLgYlASatqvSB7BV4lwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Taarifa iliyotolewa jioni hii na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, imesema uteuzi wa Dk. Mwigulu Lameck Nchemba unaanza leo tarehe 02 Mei, 2020.
"Dk. Mwigulu Lameck Nchemba anachukua nafasi ya Balozi Dk. Augustine Philip Mahiga aliyefariki dunia jana tarehe 01 Mei, 2020", imesema taarifa hiyo.
10 years ago
GPLKITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHAZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA KURA YA MAONI YA KATIBA