Watumishi Mafia wahukumiwa kwa ufisadi
Mahakama ya Wilaya ya Mafia mkoani Pwani imewatia hatiani na kuwahukumu kifungo cha miaka minne jela au faini ya Sh3 milioni watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia baada ya kuridhika wametenda kosa la ubadhirifu wa Sh7.5 milioni zilizokusudiwa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboWATUMISHI HOUSING COMPANY, BENKI YA CRDB WATIA SAINI MKATABA WA MIKOPO YA NYUMBA KWA WATUMISHI WA UMMA
Katibu wa Benki ya CRDB, John Rugambo (kulia), akitia saini mkataba huo. Kutoka kushoto ni Chief Operation Officer wa WHCTZ, Weja Ng'olo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa TMRC, Oscar Mgaya, Mkurugenzi wa Watumishi Housing Company, Dk.Fred Msemwa na Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Charles Kimei.
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Safari ya Kinana kutoka Nyamisati mpaka Mafia kwa boti ya kizamani
Ilikiwa ni safari ngumu lakini yenye mafunzo mengi nikiwa nimepanda kwenye boti ya Doria wakati wa msafara wa Katibu mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na msafara wake tukitokea Nyamisati kuelekea Mafia ambapo katibu Mkuu huyo yupo katika ziara ya kikazi ya mikoa ya Pwani, Tanga na Iringa akikagua miradi ya mendeleo inayotekelezwa na serikali kupitia ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo, Nilipangiwa kupanda boti hii ya mwendo...
9 years ago
Dewji Blog04 Oct
OMARY KIMBAU “Jembe”: Jimbo la Mafia 2015 ni la UKAWA kwa maendeleo ya Wanamafia
Moja ya Bango kubwa la “JEMBE” la Mgombea Ubunge wa jimbo la Mafia kwa tiketi ya UKAWA, Ndugu Omary Kimbau maalufu kama JEMBE akiwa pamoja na Madiwani wake katika Kata nane za Jimbo hilo la Mafia katika Wilaya ya Mafia ndani ya Kisiwa cha Mafia.
Na Mwandishi Wetu,
[MAFIA-PWANI] Wananchi wa jimbo la Mafia, jimbo lililopo katika Wilaya ya Mafia ndani ya kisiwa hicho cha Mafia, Mkoa wa Pwani chenye jumla ya Kata Nane, wameombwa kujitokeza kwa wingi Oktoba 25, mwaka huu wampigie kura kwa...
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/167.jpg)
SAFARI YA KINANA KUTOKA NYAMISATI MPAKA MAFIA KWA BOTI YA KIZAMANI
10 years ago
MichuziKINANA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MAFIA, ASAFIRI KWA BOTI PAMOJA NA WANANCHI
9 years ago
BBCSwahili11 Sep
Watu 12 wahukumiwa kwa mashambulio ya mabomu
11 years ago
BBCSwahili04 Apr
3 wahukumiwa kifo kwa ubakaji India
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tlB4pKQX5mi8MFV45rAjOY-F5oCEccZl-QXerGM7g*Q9fRcMXSnAN5Rk7tKZYEgIB30qqdNdiMuMhO3m2NfK2VcdwBx5VipK/ubakaji.jpg)
7 WAHUKUMIWA KIFO KWA UBAKAJI AFGHANISTAN