Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waumini wa Sunni Jamaat wamvaa Turki


Na Mwandishi Wetu
WAUMINI wa Jumuia ya Sunni Muslim Jamaat, Dar es Salaam, wamemtaka mbunge wa Mpendae-CCM, Salim Turki, kufuata utaratibu na kuacha kuwanyanyasa waumini wenzake.
Imedaiwa kuwa Turki amekuwa akifanya vitendo vinavyokwenda kinyume na huwatisha waumini wenzake kuwa hakuna wa kumfanya lolote kwa kuwa ni mbunge.
Wakiunguza na waandishi wa habari jana, waumini hao walidai kuwa Turki amekiuka maagizo ya Mahakama Kuu iliyozuia uchaguzi wa jumuia hiyo hadi pande mbili zinazovutana...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Daily News

Court stops Sunni Jamaat Community elections


Court stops Sunni Jamaat Community elections
Daily News
THE Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam has granted an interim order, stopping elections for leaders of a religious institution, Sunni Muslim Jamaat Community. Senior Resident Magistrate, Hellen Riwa ruled in favour of prominent ...

 

10 years ago

Daily News

Sunni Muslim Jamaat Community wrangle taken to Appeals Court


Sunni Muslim Jamaat Community wrangle taken to Appeals Court
Daily News
RELIGIOUS leadership cr rocking the Sunni Muslim Jamaat Community has taken a new twt, with one of the leaders, Mohamed Abdulmajid, seeking intervention of the Court of Appeal. In h action, Mr Abdulmajid who the applicant, moving the appeals court to ...

 

10 years ago

TheCitizen

‘Suspects foreign to Sunni Mosque’

>The leader of the Sunni Mosque where ten terror suspects were arrested with explosives on Wednesday, Mr Mohamed Manze, has said that members of his house of worship had no knowledge of the coming of the suspects.

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Court Dismisses Application to Bar Sunni Community Polls


Court Dismisses Application to Bar Sunni Community Polls
AllAfrica.com
THE Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam has dismissed an application lodged by two prominent businessmen, Mohamed Rafik Haji Mohamed, alias Baghdad and Hamif Abdulaziz, opposing election of Sunni Muslim Jamaat Community ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA wamvaa Sitta

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimemvaa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kikisema kuwa hajielekezi kuhakikisha katiba mpya inakidhi moja ya vigezo muhimu ambavyo ni kuwa na...

 

10 years ago

GPL

WATU WAMVAA AUNT

Stori: IMELDA MTEMA/Risasi
KUFUATIA madai kuwa staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amejifungua, ndugu, jamaa na marafiki kibao walijazana nyumbani kwake, Mwananyamala jijini Dar es Salaam juzi Alhamisi ili kumpa pongezi, lakini walipokuta habari tofauti walimvaa na kumlaumu kwa kuwadanganya. Staa wa filamu Bongo, Aunt…

 

11 years ago

GPL

WATOTO WAMVAA MAMA!

Stori: Shakoor Jongo
LILE sakata la ugomvi wa mali zilizoachwa na bilionea maarufu Dar, Amir Tabu aliyefariki dunia hivi karibuni, limechukua sura mpya baada ya watoto wa marehemu kumvaa mama yao wa kambo, Mwanahamis Rajabu wakisema madai yake juu ya kudhulumiwa mirathi na mashemeji zake si ya kweli.…

 

10 years ago

Mwananchi

Makada CCM wamvaa JK

Makada wawili wa CCM wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kuhakikisha kabla ya Uchaguzi Mkuu, anaondoa makundi ndani ya chama hicho, ambacho kinakabiliwa na kazi ngumu ya kumpata mgombea wake bila ya kutokea mpasuko.

 

11 years ago

GPL

MACHANGU WAMVAA CHOKI

Stori: Mwandishi Wetu
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, wadada wa mjini waliodaiwa kuwa machangu walimpa wakati mgumu, staa wa Bongo Dansi, Ally Choki ‘Mzee wa Farasi’ baada ya kumvamia jukwaani na kumfanyia mambo ya hovyo. Staa wa Bongo Dansi, Ally Choki ‘Mzee wa Farasi’ akiimba pamoja na madada hao. Tukio hilo lililoshobokewa na wanaume wakware, lilitokea wikiendi iliyopita katika Ukumbi wa Meeda,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani