Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazazi wazuiwa kumpa jina mwana wao

Mahakama moja nchini Ufaransa imewazuia wazazi kutompatia jina la Nutella mwana wao wa kike

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAZAZI WA MISS TANZANIA 2O13 WAELEKEA LONDON KUMPA SAPOTI MTOTO WAO

 Wazazi wa Miss Tanzania 2013  Happiness Watimanywa  wakiongozwa na Baba yake (wa Tatu Kutoka Kushoto) Pamoja na Mama yake (wa Tatu Kutoka Kulia) wakiwa wameambatana na Wadogo wa Miss Tanzania 2O13 Pamoja na Marafiki Wengine Wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere Katika Hatua za Mwisho Kabla ya Kusafiri Mchana wa Leo Kuelekea Jijini London Kwenye Kilele cha  Mashindano ya Miss World 2O14 Yakakayohitimishwa Tarehe 14.12.2O14  Ambapo Mtoto wao Miss Tanzania 2013  Happiness...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wazazi wa Miss Tanzania 2013 waelekea London kumpa sapoti mtoto wao

IMG_0231

Na MATUKIO TZ BLOG

Wazazi wa Miss Tanzania 2013  Happiness Watimanywa  akiongozwa na Baba yake wa Tatu Kutoka kushoto Pamoja na Mama yake wa Tatu Kutoka Kulia WakiwaWameambatana na Wadogo wa Miss Tanzania 2O13 Pamoja na Marafiki Wengine Wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere Katika Hatua za Mwisho Kabla ya Kusafiri Mchana wa leo Kuelekea Jijini London Kwenye Kilele cha  Mashindano ya Miss World 2O14 yakakayohitimishwa Tarehe 14.12.2O14  ambapo Mtoto wao Miss Tanzania 2013 ...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZAZI WA MISS TANZANIA 2O13 WAELEKEA LONDON KUMPA SAOTI MTOTO WAO


 Wazazi wa Miss Tanzania 2O13  Happiness Watimanywa  Akiongozwa na Baba yake wa Tatu Kutoka Kushoto Pamoja na Mama yake wa Tatu Kutoka Kulia WakiwaWameambatana na Wadogo wa Miss Tanzania 2O13 Pamoja na Marafiki Wengine Wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere Katika Hatua za Mwisho Kabla ya Kusafiri Mchana wa Leo Kuelekea Jijini London Kwenye Kilele cha  Mashindano ya Miss World 2O14 Yakakayohitimishwa Tarehe 14.12.2O14  Ambapo Mtoto wao Miss Tanzania 2O13  Happiness Watimanywa...

 

10 years ago

GPL

WAZAZI WA MISS TANZANIA 2O13 WAELEKEA LONDON KUMPA SAOTI MTOTO WAO‏

Wazazi wa Miss Tanzania 2O13, Happiness Watimanywa akiongozwa na baba yake wa Tatu kutoka kushoto pamoja na mama yake wa Tatu kutoka kulia wakiwa wameambatana na wadogo wa Miss Tanzania 2O13 pamoja na marafiki wengine wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere katika hatua za mwisho kabla ya kusafiri mchana wa jana kuelekea Jijini London kwenye kilele cha Mashindano ya Miss World 2O14 yakakayohitimishwa tarehe...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wazazi wamtumia mwana wao kama 'chambo'

Maafisa wa polisi kusini wa jimbo la Kerala nchini India wamemkamata mama na baba wa kambo wa msichana mmoja kwa madai ya kumlazimisha kufanya biashara ya ngono kwa kipindi cha miaka miwili.

 

9 years ago

GPL

SIMULIZI YA MPOTO: MKEWE AJIFUNGUA, ASHINDWA KUMPA JINA MTOTO

MPENZI msomaji wiki iliyopita katika simulizi hii ya Mrisho Mpoto tuliishia pale alipofunga harusi ya ajabu ambapo keki ilikuwa boga na dafu ikawa ndiyo shampeni. Katika harusi hiyo pia MC alikuwa Mrisho mwenyewe na wenzake tisa na pia tulielezea pale mwisho wa harusi hiyo alipomaliza alifunga mlango na kurudisha ufunguo kwa wahusika waliompa ukumbi.Tambaa nayo mwenyewe... “Baada ya kuoa, nikakaa fungate kwa siku kadhaa ambapo...

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West na Kim Kardashian watoa jina la mtoto wao wa kiume

kanye and kim

Baada ya ubashiri wa watu wengi juu ya jina atakalopewa mtoto wa pili wa mastaa Kanye West na mkewe Kim Kardashian West, hatimaye wazazi wake wametoa jina.

kanye and kim

Mtoto wao wa kiume aliyezaliwa siku ya Jumamosi asubuhi wamemuita ‘SAINT WEST’, unalionaje?

Kim K ameshare na ulimwengu jina la baby brother wa North West kupitia website yake kwa kuandika, “To our fans. Saint West. 12.05.15. 8 pounds, 1 ounce.” Na kwenye page yake ya Instagram alipost emoji za watu wanne, baba, mama, na watoto wawili...

 

10 years ago

Mwananchi

Watoto 600 wapotezana na wazazi wao

>Zaidi ya watoto 600 wakimbizi kutoka Burundi wamepotezana na wazazi wao katika harakati za kukimbia nchi yao au kuhamishwa kutoka kambi moja kwenda nyingine mkoani Kigoma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani