Waziri ataka watendaji mifugo wabadilike
WAZIRI wa Maendeleo na Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani amewataka watendaji wa wizara hiyo kubadilika ili sekta ya mifugo ijiendeshe kibiashara na kuacha kusubiri bajeti ya Serikali. Alisema hayo jana wakati alipotembelea Taasisi ya Utafiti Wa Mifugo Tanzania (Taliri) iliyopo Mpwapwa mkoani Dodoma.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tCSdI3l-WDw/XuD6j633UqI/AAAAAAALtZw/3pmQXkwwTQMWFYHKXt4eWU2SVm2lraYUQCLcBGAsYHQ/s72-c/da351-ridhiwani2bkikwete2beyopah.jpg)
RIDHIWAN KIKWETE ATAKA KUHAKISHIWA USALAMA WA MIFUGO KABLA YA KUPELEKWA MAHAKAMANI
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani Ridhiwan Kikwete ametaka ufafanuzi kuhusu usalama wa mifugo ambayo itakamatwa baada ya kuingia kwenye maeneo ya hifadhi kabla ya kesi kuanza Mahakamani.
Akizungumza leo Juni 10,2020,Bungeni Mjini Dodoma wakati wa kuchangia muswada wa marekebisha ya sheria mbalimbali ambao umewasilishwa bungeni hapo na moja marekebisho hayo inahusu Wanyamapori na Uhifadhi.
"Kwanza naomba nianze kwa kukupongeza Naibu Spika Dk.Tulia Acksoni...
10 years ago
Habarileo01 Oct
Kinana ataka watendaji wawajibike
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amekosoa tabia ya watendaji wa serikali, kushindwa kuwajibika katika nafasi zao na kusukuma matatizo yote kwa Waziri Mkuu na Rais.
11 years ago
Habarileo24 Feb
Bulembo ataka tabia ya kukataa watendaji ikome
JUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imekemea tabia ya viongozi wa wilaya na mikoa wanaokataa watendaji wanaopelekwa kufanya kazi katika maeneo yao.
11 years ago
Dewji Blog07 May
Waziri Mkuu Pinda katika tete-a-tete na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dr. Titus Kamani, bungeni mjini Dodoma May 7, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Waziri asikitishwa mifugo kutonufaisha nchi
WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani, amesikitishwa na wizara hiyo licha ya kuwa na mifugo milioni 22.8 lakini haionyeshi kuwa na mchango mkubwa kwa pato la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4iZoE-CdSSc/XrVyeH0gm9I/AAAAAAALpgw/9aZjv07PQOEOfua72k9an_L5cJm4ve_ZACLcBGAsYHQ/s72-c/Prof.-Amandus-Muhairwa.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-s59l1-GJpB4/VC6JwZTMD8I/AAAAAAAGnhU/KtaycwfZvPw/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
Mwakilishi wa IFAD amtembelea Waziri Mifugo na Uvuvi ofisini kwake leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-s59l1-GJpB4/VC6JwZTMD8I/AAAAAAAGnhU/KtaycwfZvPw/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
9 years ago
Mwananchi17 Aug
Waziri awashukia watendaji mgodini