Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri atatua mgogoro KCU

SERIKALI imeagiza uongozi wa Ushirika mkoani Kagera kutoa usajili wa muda kwa Chama cha Msingi Magata, wilayani Muleba ikiwa ni hatua ya utatuzi wa mgogoro uliodumu miaka miwili baina yake na Chama Kikuu cha Ushirika (KCU) 1990.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MTEMVU ATATUA MGOGORO YA MIKATABA KWA WANANCHI WA MTA WA CHAUREMBO, KURASINI JIJINI DAR

 Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu akizungumza na wananchi wa kijiji Chawavuvi Mta wa Chaurembo uliyopo Kurasini baada ya kutokea mwekezaji na kuwa na sinto fahamu ya muda mrefu na kupelekea wananchi kufanya maandamano ya amani hadi Ofisi za Serikali ya Mta huo na kumlazimu Mbunge kuingilia kati mgogoro huo  Dar es Salaam leo (PICHA ZOTE  NA KHAMISI MUSSA)  Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu  akipitia moja ya mkataba waliyoandikiwa wananchi hao na mwekezaji ambayo wananchi hao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

KCU yachumbia mgogoro na vyombo vya habari

CHAMA cha Ushirika Mkoa wa Kagera, KCU (1990) Ltd kimejiingiza katika mgogoro na vyombo vya habari kwa kuwabagua na kuwazuia kupata taarifa muhimu. Hali hiyo ilijitokeza jana katika mkutano mkuu...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WILLIAM LUKUVI ATATUA MIGOGORO MIKUBWA YA ARDHI MKOANI LINDI

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Vangimembe Lukuvi amemaliza ziara ya siku mbili Mkoani Lindi ambapo alikagua shughuli za Shirika la Nyumba la Taifa na kusikiliza migogoro ya ardhi inayowakabili wananchi wa Lindi eneo la Mitwero na kuitatua.
 Katika ziara hiyo, Waziri Lukuvi amewaonya na kuwaagiza Maafisa ardhi, wapima na maafisa mipango miji kuacha mara moja kujinufaisha kwa kuwadhulumu wananchi haki zao za ardhi.
 Aidha ameutaka Mkoa wa Lindi kuharakisha upimaji wa...

 

10 years ago

Habarileo

Waomba Waziri aingile kati mgogoro na mwekezaji

WAKAZI 250 wa Kitongoji cha Chaduma, Kata ya Maneromango, Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani wamemuomba Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Anna Tibaijuka aingilie kati mgogoro ulioibuka baada ya kutakiwa kuhama kwenye eneo hilo kwa madai ya kuishi hapo kinyume cha Sheria za Ardhi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mdee amshukia Waziri Tibaijuka mgogoro wa ardhi

Waziri Kivuli wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halima Mdee amemshukia Waziri wa wizara hiyo, Profesa Anna Tibaijuka kwa kushindwa kutatua mgogoro wa shamba la Kapunga mkoani Mbeya na badala yake ameukuza.

 

5 years ago

Michuzi

Naibu Waziri Nyongo amaliza mgogoro kwenye machimbo ya madini Handeni.


Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo akizungumza na wananchi kwenye eneo la machimbo ya dhahabu la Kwandege lililopo wilayani Handeni mkoani Tanga tarehe 25 Juni, 2020.
Wananchi wakifuatilia maelezo yaliyokuwa yanatolewa na Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo (hayupo pichani) kwenye eneo la machimbo ya dhahabu la Kwandege lililopo wilayani Handeni mkoani Tanga tarehe 25 Juni, 2020 .
Mmoja wa wananchi wa eneo la machimbo ya dhahabu la Kwandege lililopo wilayani Handeni mkoani Tanga...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI KUUPATIA MUAROBAINI MGOGORO WA ENEO LA ITUHA MBEYA-WAZIRI HASUNGA

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Albert Chalamila wakikagua ramani ya eneo la Ilomba lenye mgogoro kati ya Taasisi ya Utafiti wa Kilimo-TARI Uyole na wananchi kabla ya kufanya ziara kugagua maeneo hayo wakiambatana na wananchi jana Tarehe 9 Aprili 2020. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo) Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Albert Chalamila wakiambatana na wananchi wakikagua eneo la Ilomba lenye mgogoro kati...

 

5 years ago

Michuzi

Waziri Bashungwa ahaidi kutatua mgogoro wa kiwanda cha Happy Sausages Arusha

Na Woinde Shizza, ArushaWAZIRI wa viwanda,biashara na masoko, Innocent Bashungwa ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) mkoani Arusha  kufanya maamuzi ya haki na usawa katika uchunguzi wa mgogoro wa kiwanda cha kuchakata,kusindika na kufungasha nyama cha Happy Sausages kilichopo jijini Arusha.
Bashungwa, ametoa kauli hiyo leo alipofanya ziara ya kutembelea kiwanda hicho huku akiongoza na mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo.
Akizungumza kiwandani hapo Bashungwa amesema...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA ARDHI MHE. WILLIAM LUKUVI AWASILI JANA, AAHIDI SULUHU YA MGOGORO WA MUDA MREFU WA SHAMBA LA SKAUNGU

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akiwasili katika uwanja wa ndege wa Mjini Sumbawanga jana tarehe 25/03/2013 kwa ajili ya ziara ya siku mbili Mkoani Rukwa moja ikiwa kufuatilia migogoro sugu ya ardhi ukiwemo wa shamba la Skaungu ambapo ameonana na wananchi na viongozi wa vijiji kumi vinavyolizunguka shamba hilo ambalo lina mgogoro wa muda mrefu kati ya Mmiliki Ephata Ministry na wananchi hao. Lengo la pili la ziara yake ni kuweka jiwe la msingi katika nyumba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani