Waziri atatua mgogoro KCU
SERIKALI imeagiza uongozi wa Ushirika mkoani Kagera kutoa usajili wa muda kwa Chama cha Msingi Magata, wilayani Muleba ikiwa ni hatua ya utatuzi wa mgogoro uliodumu miaka miwili baina yake na Chama Kikuu cha Ushirika (KCU) 1990.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMTEMVU ATATUA MGOGORO YA MIKATABA KWA WANANCHI WA MTA WA CHAUREMBO, KURASINI JIJINI DAR
11 years ago
Tanzania Daima30 Apr
KCU yachumbia mgogoro na vyombo vya habari
CHAMA cha Ushirika Mkoa wa Kagera, KCU (1990) Ltd kimejiingiza katika mgogoro na vyombo vya habari kwa kuwabagua na kuwazuia kupata taarifa muhimu. Hali hiyo ilijitokeza jana katika mkutano mkuu...
10 years ago
Michuzi18 Jun
WAZIRI WILLIAM LUKUVI ATATUA MIGOGORO MIKUBWA YA ARDHI MKOANI LINDI
Katika ziara hiyo, Waziri Lukuvi amewaonya na kuwaagiza Maafisa ardhi, wapima na maafisa mipango miji kuacha mara moja kujinufaisha kwa kuwadhulumu wananchi haki zao za ardhi.
Aidha ameutaka Mkoa wa Lindi kuharakisha upimaji wa...
10 years ago
Habarileo20 Sep
Waomba Waziri aingile kati mgogoro na mwekezaji
WAKAZI 250 wa Kitongoji cha Chaduma, Kata ya Maneromango, Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani wamemuomba Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Anna Tibaijuka aingilie kati mgogoro ulioibuka baada ya kutakiwa kuhama kwenye eneo hilo kwa madai ya kuishi hapo kinyume cha Sheria za Ardhi.
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Mdee amshukia Waziri Tibaijuka mgogoro wa ardhi
5 years ago
MichuziNaibu Waziri Nyongo amaliza mgogoro kwenye machimbo ya madini Handeni.
Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo akizungumza na wananchi kwenye eneo la machimbo ya dhahabu la Kwandege lililopo wilayani Handeni mkoani Tanga tarehe 25 Juni, 2020.
Wananchi wakifuatilia maelezo yaliyokuwa yanatolewa na Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo (hayupo pichani) kwenye eneo la machimbo ya dhahabu la Kwandege lililopo wilayani Handeni mkoani Tanga tarehe 25 Juni, 2020 .
Mmoja wa wananchi wa eneo la machimbo ya dhahabu la Kwandege lililopo wilayani Handeni mkoani Tanga...
5 years ago
MichuziSERIKALI KUUPATIA MUAROBAINI MGOGORO WA ENEO LA ITUHA MBEYA-WAZIRI HASUNGA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ywl1vVvvdSs/XqbOZGj1CCI/AAAAAAALoVU/XrZP9FXtCjchNrGYKQ0WYLZz_RceeO5PwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200427-WA0075.jpg)
Waziri Bashungwa ahaidi kutatua mgogoro wa kiwanda cha Happy Sausages Arusha
Bashungwa, ametoa kauli hiyo leo alipofanya ziara ya kutembelea kiwanda hicho huku akiongoza na mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo.
Akizungumza kiwandani hapo Bashungwa amesema...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-xFVaUY3UkTA/VRMCRsLwRrI/AAAAAAAAGrw/T6p5HIaMUFw/s72-c/P3258671.jpg)
WAZIRI WA ARDHI MHE. WILLIAM LUKUVI AWASILI JANA, AAHIDI SULUHU YA MGOGORO WA MUDA MREFU WA SHAMBA LA SKAUNGU
![](http://3.bp.blogspot.com/-xFVaUY3UkTA/VRMCRsLwRrI/AAAAAAAAGrw/T6p5HIaMUFw/s640/P3258671.jpg)