Waziri Chikawe aitaka NEC kutoingilia majukumu ya kazi za NIDA
Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mh. Mathias Chikawe akifunga mkutano wa wafanyakazi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) uliofanyika ndani ya hoteli ya Snowcrest jiji Arusha.
Washiriki katika mkutano wa Wafanyakazi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) wakimsikiliza Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi kwa makini wakati akifunga mkutano wao katika hoteli ya Snowcrest.
Waziri Chikawe anapena mkono na Mkurugenzi wa NIDA Dickson Maimu mara baada ya kutoa risala ya kufunga...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziNIDA IMEUNDWA KWA MUJIBU WA SHERIA NA MAJUKUMU YA NIDA YAPO WAZI HIVYO NEC WAACHENI NIDA WAFANYE KAZI KAMA WALIVYOPANGIWA :WAZIRI CHIKAWE
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-9w-1z5-sMMY/XtyUNEqyIwI/AAAAAAAC6-8/kHtOZdrFWBMH65nguuIFmo91lzuYr5j4wCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE: MITAMBO MIPYA NIDA KUFANYA KAZI HIVI KARIBUNI
![](https://1.bp.blogspot.com/-9w-1z5-sMMY/XtyUNEqyIwI/AAAAAAAC6-8/kHtOZdrFWBMH65nguuIFmo91lzuYr5j4wCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Mitambo hiyo ya kisasa ambayo inauwezo wa kuzalisha vitambulisho 144,000 kwa siku, ilishafungwa muda mrefu ofisini za Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), na ilipaswa iwe imenza kufanya kazi tangu mwezi Aprili, mwaka huu lakini kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Corona ilichelewa kuanza kufanya kazi...
9 years ago
Dewji Blog12 Oct
Waziri Magembe azindua bodi ya DAWASA, aitaka ichape kazi
![](http://4.bp.blogspot.com/-no5uJRnFjY8/VhpY_1ExbHI/AAAAAAAAE10/IkKVldzyeIg/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8PU_5JwC6U0/VhpZC-oK9yI/AAAAAAAAE18/nOC77L1eBMI/s640/2.jpg)
Afisa...
9 years ago
StarTV06 Jan
Waziri Masauni aitaka Uhamiaji kuanza Operesheni ya kubaini wageni wanaofanya kazi zinazoweza kufanywa na watanzania
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imeiagiza Idara ya Uhamiaji nchini kuanza Operesheni maalum ya kuwabaini wageni walioingia na kufanya kazi ambazo sio za kitaalamu zinazoweza kufanywa na Watanzania ili kuwachukulia hatua ya kuwaondosha.
Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhandisi Hamad Masauni baada ya kutembelea Makao Makuu ya Uhamiaji Kurasini jijini Dar Es Salaam na kuzungumza na makamishna wa idara hiyo.
Akiwa katika ofisi hizo kukagua shughuli zinazoendelea kwenye...
10 years ago
VijimamboWAZIRI CHIKAWE AZINDUA KIKOSI KAZI CHA KUPAMBANA NA UHALIFU WA KIMAZINGIRA NCHINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4XzwDDoxNUE/Xty29Rb1wqI/AAAAAAALs6E/tGQv3B0uzOs7HOUOKLc7QZJsIB_q1R-2ACLcBGAsYHQ/s72-c/54fcb045-82b2-49ec-8043-015958d653df.jpg)
MITAMBO MIPYA NIDA KUANZA KUFANYA KAZI HIVI KARIBUNI, KASI YA RAIS MAGUFULI IMESAMBARATISHA UPINZANI NCHINI-WAZIRI SIMBACHAWENE
![](https://1.bp.blogspot.com/-4XzwDDoxNUE/Xty29Rb1wqI/AAAAAAALs6E/tGQv3B0uzOs7HOUOKLc7QZJsIB_q1R-2ACLcBGAsYHQ/s640/54fcb045-82b2-49ec-8043-015958d653df.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/74f9846a-cdee-4c35-839d-5114e1a66496.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kibakwe, George Simbachawene (kushoto) akimsikiliza Mwenyekiti wa CCM Kata ya...
11 years ago
TheCitizen01 Jul
NEC, Nida in tussle over listing of voters
11 years ago
TheCitizen02 Jul
How Sh187bn tender led to NEC-Nida row