Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri Masauni aitaka Uhamiaji kuanza Operesheni ya kubaini wageni wanaofanya kazi zinazoweza kufanywa na watanzania

 

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imeiagiza Idara ya Uhamiaji nchini kuanza Operesheni maalum ya kuwabaini wageni walioingia na kufanya kazi ambazo sio za kitaalamu zinazoweza kufanywa na Watanzania ili kuwachukulia hatua ya kuwaondosha.

Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhandisi Hamad Masauni baada ya kutembelea Makao Makuu ya Uhamiaji Kurasini jijini Dar Es Salaam na kuzungumza na makamishna wa idara hiyo.

Akiwa katika ofisi hizo kukagua shughuli zinazoendelea kwenye...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI MASAUNI ATEMBELEA UHAMIAJI, AAGIZA MAKAMPUNI YENYE KUAJIRI WAGENI YACHUNGUZWE

 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni (kulia) akimsalimia Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Sylvester Ambokile wakati alipowasili Makao Makuu ya Uhamiaji, Kurasini jijini Dar es Salaam leo kwa ajili ya ziara ya kikazi. Katika ziara hiyo, Naibu Waziri Masauni aliiagiza Idara hiyo kuchunguza Makapuni yanayotoa ajira kwa wageni ambapo ajira hizo wangepewa Watanzania wenye sifa na kupunguza tatizo la ajira nchini. Kamishna wa Idara ya Uhamiaji (Utawala na Fedha), Piniel Mgonja...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wageni wote wanaoishi nchini na kufanya kazi kinyume cha sheria kukamatwa – Masauni

1

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Hamad Yussuf Masauni  akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu hatua zinazochukuliwa na Wizara kudhibiti wageni wanaoishi nchini na kufanya kazi kinyume na sheria. Mkutano huo ulifanyika Makao Makuu ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, jijini Dar es Salaam.

2

Sehemu ya Waandishi wa Habari wakimsikiliza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Hamad Yussuf Masauni, wakati wa mkutano wa kuzungumzia hatua zinazochukuliwa na...

 

9 years ago

Michuzi

WAGENI WOTE WANAOISHI NCHINI NA KUFANYA KAZI KINYUME CHA SHERIA KUKAMATWA - MASAUNI

 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Hamad Yussuf Masauni akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu hatua zinazochukuliwa na Wizara kudhibiti wageni wanaoishi nchini na kufanya kazi kinyume na sheria. Mkutano huo ulifanyika Makao Makuu ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, jijini Dar es Salaam.Afisa Uhamiaji mkoa wa Dar es Salaam, Naibu Kamishna, Johannes Msumule akizungumza katika mkutano na Waandishi wa Habari ambapo Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe....

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI KITWANGA ATEMBELEA UHAMIAJI, ATANGAZA OPERESHENI YA KUKAMATA WAHAMIAJI HARAMU NCHINI

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kulia) akimsalimia Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Sylvester Ambokile wakati alipowasili Makao Makuu ya Uhamiaji, Kurasini jijini Dar es Salaam leo kwa ajili ya ziara ya kikazi. Wapili kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil, na kushoto ni Naibu Katibu Mkuu, John Mngodo. Katika ziara hiyo, Waziri Kitwanga aliitaka Idara hiyo ya Uhamiaji kuanz rasmi kwa operesheni ya kuwakamata Wahamiaji Haramu nchini.Waziri wa Mambo ya Ndani...

 

10 years ago

Habarileo

Wageni wakaguliwa kubaini ebola

WAGENI wanaoingia visiwani Zanzibar kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amaan Karume, wameanza kukaguliwa kwa kutumia vifaa vya kugundua dalili za ugonjwa wa homa ya ebola.

 

5 years ago

CCM Blog

BALOZI MILANZI ASIMAMIA USAFIRISHWAJI WA WATANZANIA 14 WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI KWA LOCKDOWN, WAREJEA NCHINI PAMOJA NA RAIA 12 WA NCHI HIO WANAOFANYA KAZI TANZANIA


Na Mwandishi Maalumu

 Balozi wa Tanzania nchini Afrka Kusini Meja Jenerali (Mst) Gaudence Milanzi Jumatatu Mei 25, 2020 amesimamia zoezi la repatriation (usafirishaji) wa dharura) ya  Watanzania pamoja na raia kadhaa wa nchi hiyo waliokwama kutokana na Lockdown na kusitishwa safari za ndege inayoendelea huko, kutoka Johannesburg kuja Dar es salaam.
Taarifa kutoka ubalozi wa Tanzania nchini humo zinasema kwamba Balozi Milanzi aliratibu na kusimamia zoezi hilo ambapo Watanzania 14 ambao...

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri Chikawe aitaka NEC kutoingilia majukumu ya kazi za NIDA

DSC_0872

Waziri wa Mambo ya Ndani ya  nchi Mh. Mathias Chikawe akifunga mkutano wa wafanyakazi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)  uliofanyika ndani ya hoteli ya Snowcrest jiji Arusha.

DSC_0864

Washiriki  katika mkutano wa Wafanyakazi wa  Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)  wakimsikiliza Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi kwa makini wakati akifunga mkutano wao katika hoteli ya Snowcrest.

DSC_0854

DSC_0861

DSC_0882

Waziri Chikawe anapena mkono na Mkurugenzi wa NIDA Dickson Maimu mara baada ya kutoa  risala ya kufunga...

 

9 years ago

Dewji Blog

Waziri Magembe azindua bodi ya DAWASA, aitaka ichape kazi

Waziri wa Maji na Umwagiliaji,Profesa Jumanne Maghembe akizungumza wakati wa kuzindua Bodi ya Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Saalam (DAWASA)jijini Arusha, katikati ni Mwenyekiti wa Bodi ya Majisafi na Usafi wa Mazingira jiji la Arusha(AUWSA) Felix Mrema na Katibu Mkuu Wizara ya Maji,Mhandisi Mbogo Mfutakamba. Katibu Mkuu wizara ya Maji, Mhandisi Mbogo Mfutakamba akizungumza wakati wa kuzindua Bodi ya Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Saalam (DAWASA) jijini Arusha.

3

Afisa...

 

5 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: BALOZI MILANZI ASIMAMIA USAFIRISHWAJI WA WATANZANIA WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI KWA LOCKDOWN, WAREJEA NCHINI PAMOJA NA RAIA WA NCHI HIO WANAOFANYA KAZI TANZANIA

Na Mwandishi Maalumu

 Balozi wa Tanzania nchini Afrka Kusini Meja Jenerali (Mst) Gaudence Milanzi Jumatatu Mei 25, 2020 amesimamia zoezi la repatriation (usafirishaji) wa dharura) ya  Watanzania pamoja na raia kadhaa wa nchi hiyo waliokwama kutokana na Lockdown na kusitishwa safari za ndege inayoendelea huko, kutoka Johannesburg kuja Dar es salaam.
Taarifa kutoka ubalozi wa Tanzania nchini humo zinasema kwamba Balozi Milanzi aliratibu na kusimamia zoezi hilo ambapo Watanzania hao walikwama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani