Waziri Magembe azindua bodi ya DAWASA, aitaka ichape kazi
Waziri wa Maji na Umwagiliaji,Profesa Jumanne Maghembe akizungumza wakati wa kuzindua Bodi ya Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Saalam (DAWASA)jijini Arusha, katikati ni Mwenyekiti wa Bodi ya Majisafi na Usafi wa Mazingira jiji la Arusha(AUWSA) Felix Mrema na Katibu Mkuu Wizara ya Maji,Mhandisi Mbogo Mfutakamba.
Katibu Mkuu wizara ya Maji, Mhandisi Mbogo Mfutakamba akizungumza wakati wa kuzindua Bodi ya Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Saalam (DAWASA) jijini Arusha.
Afisa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
WAZIRI MAGEMBE AZINDUA BODI YA DAWASA ATAKA ICHAPE KAZI



10 years ago
Habarileo10 Oct
Maghembe aitaka Bodi ya Dawasa kufuata BRN
WAZIRI wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe ameitaka Bodi mpya ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (Dawasa) kuhakikisha inafanya kazi kwa matokeo makubwa sasa (BRN).
10 years ago
Dewji Blog06 Sep
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, azindua bodi ya wadhamini mfuko wa fidia kwa wafanyakazi, WCF

Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, (kulia), akiongozana na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), Masha Mshomba, wakati wakichukua nafasi zao kwenye uzinduzi wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko huo, jijini Dar es Salaam, Septemba 4, 2015. Waziri Kabaka alizindua bodi hiyo itakayoongozwa na Mwenyekiti wake, Bw. Emmanuel Humba.

Waziri Kabaka akitoa hotuba ya uzinduzi wa Bodi hiyo.


Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini Bw. Emmanuel Humba akipokea chati cha usajili wa...
10 years ago
Michuzi
WAZIRI WA KAZI NA AJIRA, GAUDENSIA KABAKA, AZINDUA BODI YA WAFHAMINI MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI, WCF



10 years ago
Dewji Blog22 Apr
Naibu Waziri aitaka Bodi ya Mikopo kutoa elimu zaidi kwa wadaiwa
Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Bw. Cosmas Mwaisobwa (kulia) akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majuku ya Bodi kwa Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Anne Kilango Malecela leo (Jumatano, Aprili 22, 2015) jijini Dar es Salaam. Naibu Waziri alifanya ziara ya kikazi katika Bodi hiyo na kukutana na uongozi wa Bodi.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Anne Kilango Malecela (wa pili kulia)...
10 years ago
Vijimambo
Naibu Waziri Malecela aitaka Bodi ya Mikopo kutoa elimu zaidi kwa wadaiwa


5 years ago
Michuzi
WAZIRI UMMY AITAKA BODI MPYA YA TMDA KUWEZESHA UKUAJI WA UCHUMI NA USHAMIRI WA BIASHARA NA UWEKEZAJI TANZANIA



11 years ago
Dewji Blog05 Jul
Waziri Chikawe aitaka NEC kutoingilia majukumu ya kazi za NIDA
Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mh. Mathias Chikawe akifunga mkutano wa wafanyakazi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) uliofanyika ndani ya hoteli ya Snowcrest jiji Arusha.
Washiriki katika mkutano wa Wafanyakazi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) wakimsikiliza Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi kwa makini wakati akifunga mkutano wao katika hoteli ya Snowcrest.
Waziri Chikawe anapena mkono na Mkurugenzi wa NIDA Dickson Maimu mara baada ya kutoa risala ya kufunga...
10 years ago
VijimamboWaziri wa Nishati na Madini azindua Bodi mpya ya Tanesco