Maghembe aitaka Bodi ya Dawasa kufuata BRN
WAZIRI wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe ameitaka Bodi mpya ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (Dawasa) kuhakikisha inafanya kazi kwa matokeo makubwa sasa (BRN).
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog12 Oct
Waziri Magembe azindua bodi ya DAWASA, aitaka ichape kazi


Afisa...
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Malinzi aitaka Simba kufuata kanuni TFF
10 years ago
Michuzi
WAZIRI MAGEMBE AZINDUA BODI YA DAWASA ATAKA ICHAPE KAZI



11 years ago
Michuzi
BODI YA WAKURUNGENZI YA DAWASA YATEMBELEA ENEO LA MRADI WA UJENZI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA


11 years ago
Dewji Blog30 Aug
Bodi ya ya Wakurugenzi wa DAWASA yatembelea eneo la mradi wa ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda
Meneja Usimamizi, Uendeshaji na Mazingira toka Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) Bi.Modesta Mushi akiwaonesha wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) ramani ya maeneo yatakayoguswa na Ujenzi wa Mradi wa Bwawa la Kidunda lenye ujazo wa Mita milioni 190, wakati wa Ziara ya Bodi hiyo katika eneo la Mradi Mkoani Morogoro.
Mkuu wa Msafara wa Timu ya Ulipaji fidia kwa Wakazi walio katika Eneo la Mradi Mhandisi John Kirecha...
10 years ago
Michuzi
Wajumbe wa Kamati ya Ufundi ya Bodi ya DAWASA wafanya ziara ya kukagua mradi wa ujenzi wa miundo mbinu ya maji


10 years ago
Dewji Blog10 Jan
Wajumbe wa Kamati ya Ufundi ya Bodi ya DAWASA wamefanya ziara ya kukagua mradi wa ujenzi wa miundo mbinu ya maji
Kaimu Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es salaam (DAWASA) Didas Mwilawi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fedha akisalimiana na Mwenyekiti wa wa Kamati ya Ufundi ya Bodi ya DAWASA Christine Kilindu alipowasili eneo zinapojengwa ofisi za mradi wa bomba kuu la maji kutoka Ruvu Juu zilizopo Kibaha.
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Wajumbe wa Kamati ya Ufundi ya Bodi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es salaam (DAWASA) wamefanya ziara ya siku moja katika mikoa ya Dar es salaam...
11 years ago
Michuzi
Bodi ya DAWASA yatembele Mirani ya Maji Ruvu chini na Ruvu juu leo

10 years ago
MichuziMh. Anne Kilango aitaka Bodi ya Mikopo kutoa elimu zaidi kwa wadaiwa