WAZIRI MAGEMBE AZINDUA BODI YA DAWASA ATAKA ICHAPE KAZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-no5uJRnFjY8/VhpY_1ExbHI/AAAAAAAAE10/IkKVldzyeIg/s72-c/1.jpg)
Waziri wa Maji na Umwagiliaji,Profesa Jumanne Maghembe akizungumza wakati wa kuzindua Bodi ya Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Saalam(Dawasa)jijini Arusha,katikati ni Mwenyekiti wa Bodi ya Majisafi na Usafi wa Mazingirajiji la Arusha(Auwsa)Felix Mrema na Katibu Mkuu wizara ya Maji,Mhandisi Mbogo Mfutakamba.
Katibu Mkuu wizara ya Maji,Mhandisi Mbogo Mfutakamba akizungumza wakati wa kuzindua Bodi ya Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Saalam(Dawasa) jijini Arusha.
Afisa Mtendaji Mkuu wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog12 Oct
Waziri Magembe azindua bodi ya DAWASA, aitaka ichape kazi
![](http://4.bp.blogspot.com/-no5uJRnFjY8/VhpY_1ExbHI/AAAAAAAAE10/IkKVldzyeIg/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8PU_5JwC6U0/VhpZC-oK9yI/AAAAAAAAE18/nOC77L1eBMI/s640/2.jpg)
Afisa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9YemaKultvw/VeqdibmCkeI/AAAAAAAAYuA/WyDimvPjGaI/s72-c/p2.jpg)
WAZIRI WA KAZI NA AJIRA, GAUDENSIA KABAKA, AZINDUA BODI YA WAFHAMINI MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI, WCF
![](http://1.bp.blogspot.com/-9YemaKultvw/VeqdibmCkeI/AAAAAAAAYuA/WyDimvPjGaI/s640/p2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QT_uGsvJYkM/VeqdivWSdiI/AAAAAAAAYuE/ucaZFMMm9ag/s640/p3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IqUE8j0ZlNk/VeqdgyXP_pI/AAAAAAAAYt4/FyCIDolW_bg/s640/p4.jpg)
9 years ago
Dewji Blog06 Sep
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, azindua bodi ya wadhamini mfuko wa fidia kwa wafanyakazi, WCF
![](http://1.bp.blogspot.com/-9YemaKultvw/VeqdibmCkeI/AAAAAAAAYuA/WyDimvPjGaI/s640/p2.jpg)
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, (kulia), akiongozana na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), Masha Mshomba, wakati wakichukua nafasi zao kwenye uzinduzi wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko huo, jijini Dar es Salaam, Septemba 4, 2015. Waziri Kabaka alizindua bodi hiyo itakayoongozwa na Mwenyekiti wake, Bw. Emmanuel Humba.
![](http://1.bp.blogspot.com/-QT_uGsvJYkM/VeqdivWSdiI/AAAAAAAAYuE/ucaZFMMm9ag/s640/p3.jpg)
Waziri Kabaka akitoa hotuba ya uzinduzi wa Bodi hiyo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-IqUE8j0ZlNk/VeqdgyXP_pI/AAAAAAAAYt4/FyCIDolW_bg/s640/p4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tyDWKggX3eU/Veqdo6K7LsI/AAAAAAAAYuQ/7xd3z0KAHR4/s640/p5.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini Bw. Emmanuel Humba akipokea chati cha usajili wa...
10 years ago
VijimamboWaziri wa Nishati na Madini azindua Bodi mpya ya Tanesco
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UNqbAHKfh7U/VdxuqzjGWXI/AAAAAAAAYPM/p4gN-ItTNqw/s72-c/SAADA_CHEQUE.jpg)
WAZIRI WA FEDHA SAADA MKUYA SALUM AZINDUA BODI YA PPF NA MAFAO MAPYA YA MFUKO
![](http://3.bp.blogspot.com/-UNqbAHKfh7U/VdxuqzjGWXI/AAAAAAAAYPM/p4gN-ItTNqw/s640/SAADA_CHEQUE.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5vgiKwffKIQ/VdxulzLOAtI/AAAAAAAAYPA/nEXGSCmyiRY/s640/Saada%2Bhotuba2.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
MichuziWAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII AZINDUA BODI MPYA YA USHAURI WA UONGOZI WA HOSPITALI BINAFSI NCHINI
SERIKALI imesema itaainisha ukomo wa tozo kwa kila huduma inayotolewa kwa kila ngazi ya kituo cha huduma ili kudhibiti gharama za huduma za afya nchini.
Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid Dar es Salaam leo asubuhi wakati akizindua bodi mpya ya ushauri ya Hospitali binafsi nchini.
Dk. Rashid alisema hatua hiyo imekuja baada ya kuwepo kwa malalamiko kuhusu huduma zinazotolewa na hospitali hizo hivyo hatua hiyo itasaidia kuboresha mfumo na...
10 years ago
MichuziWaziri wa Nishati na Madini azindua rasmi Bodi ya Tanesco Asisitiza siku za kuunganisha umeme kupungua
9 years ago
Habarileo10 Oct
Maghembe aitaka Bodi ya Dawasa kufuata BRN
WAZIRI wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe ameitaka Bodi mpya ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (Dawasa) kuhakikisha inafanya kazi kwa matokeo makubwa sasa (BRN).
9 years ago
VijimamboWAZIRI WA FEDHA, SAADA MKUYA SALUM AZINDUA BODI MPYA YA PPF NA MAFAO MAPYA YA MFUKO HUO