Wageni wakaguliwa kubaini ebola
WAGENI wanaoingia visiwani Zanzibar kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amaan Karume, wameanza kukaguliwa kwa kutumia vifaa vya kugundua dalili za ugonjwa wa homa ya ebola.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV06 Jan
Waziri Masauni aitaka Uhamiaji kuanza Operesheni ya kubaini wageni wanaofanya kazi zinazoweza kufanywa na watanzania
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imeiagiza Idara ya Uhamiaji nchini kuanza Operesheni maalum ya kuwabaini wageni walioingia na kufanya kazi ambazo sio za kitaalamu zinazoweza kufanywa na Watanzania ili kuwachukulia hatua ya kuwaondosha.
Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhandisi Hamad Masauni baada ya kutembelea Makao Makuu ya Uhamiaji Kurasini jijini Dar Es Salaam na kuzungumza na makamishna wa idara hiyo.
Akiwa katika ofisi hizo kukagua shughuli zinazoendelea kwenye...
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Wageni kupimwa Ebola kombe la Afrika
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k597Gy8eW*VZcZvMzK4F-sZbGzsUxm-G0-U-8wJkMrnFZCRKSk7HWhjZpNfS88gyhtNOf1wLOBuD9WDKT1Ws8SPmMS0EFP9S/unnamed3.jpg?width=650)
VIFAA VYA KUBAINI DALILI ZA AWALI ZA UGONJWA WA EBOLA KUPITIA JOTO LA MWILI VYAWASILI NCHINI, KUANZA KUTUMIKA VIWANJA VYA NDEGE
10 years ago
BBCSwahili16 Sep
NASA yashindwa kubaini vimondo
10 years ago
BBCSwahili22 Sep
Uchunguzi wa DNA kubaini wauaji Thailand
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Teknolojia yafanikisha kubaini dawa za kulevya
11 years ago
Habarileo05 Jun
Mitambo ya kubaini ulaghai kwenye simu
SERIKALI imeweka mitambo ya aina tatu kukabili ulaghai na udanganyifu kwenye mawasiliano na miamala ya simu za mkononi.
10 years ago
Mwananchi20 Feb
Mashine za kubaini bidhaa haramu zaja
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oYcx5DdC8X0/Xklvx4PlQQI/AAAAAAALdmc/rMYwLjhb0jEFdMLP9T2vwbcwg5WMG2VFwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0138.jpg)
TAKUKURU MWANZA KUBAINI MAMLUKI MICHEZO YA MEI MOSI
![](https://1.bp.blogspot.com/-oYcx5DdC8X0/Xklvx4PlQQI/AAAAAAALdmc/rMYwLjhb0jEFdMLP9T2vwbcwg5WMG2VFwCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0138.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC_4659.jpg)