Mashine za kubaini bidhaa haramu zaja
>Serikali inatarajia kupokea mashine za kieletroniki (Scanner) kutoka China na Marekani zitakazosaidia kubaini bidhaa haramu ikiwa ni jitihada za kudhibiti vitendo vya kihalifu katika mipaka, bandari na viwanja vya ndege.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Feb
9 mbaroni kwa kukutwa na bidhaa haramu
WAFANYABIASHARA tisa jijini Mbeya wanashikiliwa Polisi kwa tuhuma za kukutwa na bidhaa zilizopigwa marufuku kuuzwa nchini pamoja na bidhaa zilizoisha muda wake.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LR2iS9vPrrw/VOUKiUYZacI/AAAAAAAHEbc/FHDP4h8PyLQ/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
MAREKANI KUSHIRIKIANA NA TANZANIA KUDHIBITI UINGIZAJI WA BIDHAA HARAMU NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-LR2iS9vPrrw/VOUKiUYZacI/AAAAAAAHEbc/FHDP4h8PyLQ/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
AUDIO: Jaji Lubuva akanusha vikali taarifa ya gazeti ‘Mkandarasi wa mashine za BVR amegoma kuleta mashine nchini’
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damiani Lubuva akitoa kanusho kuhusiana na Mkandarasi wa BVR kugoma kuleta vifaa, achachamaa kutokana na habari iliyoandikwa na gazeti la Tanzania Daima.
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Kituo cha kuendeleza Samaki Kanda ya Kati chatoa siku saba kwa wavuvi haramu kusalimisha zana haramu wanazotumia
Baadhi ya nyavu haramu zisizoruhusiwa kutumika kuvulia samaki kwenye bwawa la Kijiji cha Mwanzugi,wilayani Igunga.
Na. Jumbe Ismailly
[IGUNGA] Kituo cha kuendeleza samaki Kanda ya kati,chenye makao yake makuu wilayani Igunga,Mkoani Tabora kimetoa muda wa siku saba kuanzia sasa kwa watu wote wanaojishughulisha na uvuvi...
11 years ago
BBCSwahili03 Mar
Oscars zaja Kenya
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Tahadhari, mvua za maafa zaja Oktoba
9 years ago
Michuzi20 Oct
TUZO ZA UANDISHI MAHIRI 2015 ZAJA
![Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/EBRBcfZiUoNrOjZZH4l2_HFD2IneZeJyykfH9_SNemWYBGZ3aQeiT2Zf1sD7umXID1NSvMu6CjpjB8vvodCvPO4JnkA2b7D90CMIEG5R7MZY40tIR72vnn9Gc1aNIz2-=s0-d-e1-ft#http://mwanahalisionline.com/wp-content/uploads/2015/10/Kajubi-620x308.jpg)
KAMATI za maandalizi ya Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) iliyopo chini ya Baraza la Habari Tanzania (MCT) imezindua rasmi tuzo hizo ambazo zimeongezewa makundi mawili ya kushindania.Akizungumza na waandishi wa habari ofisi za Baraza zilizoko Mwenge Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga, amesema makundi mapya ya kushindaniwa katika...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Kampuni zaja na bima ya ‘Safari Njema’
KAMPUNI ya African Life Assurance ya jijini Dar es Salaam kwa kushirikiana na Ndege Insurance Brokers, imeanzisha bima ya maisha ya safari njema "Safari Njema". Akizungumza na Tanzania Daima jana,...
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
Ismailia , Zesco zaja kupamba Simba DayÂ
KLABU ya Simba imetangaza wiki moja ya matukio muhimu yatakayofunguliwa na mkutano mkuu wa wanachama Agosti 3; na kufungwa kwa mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Ismailia ya Misri...