Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Oscars zaja Kenya

Lupita Nyong'o amekuwa muigizaji wa kwanza mkenya kushinda tuzo ya Oscar katika filamu 12 Years a Slave

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kampuni zaja na bima ya ‘Safari Njema’

KAMPUNI ya African Life Assurance ya jijini Dar es Salaam kwa kushirikiana na Ndege Insurance Brokers, imeanzisha bima ya maisha ya safari njema "Safari Njema". Akizungumza na Tanzania Daima jana,...

 

10 years ago

Mwananchi

Mashine za kubaini bidhaa haramu zaja

>Serikali inatarajia kupokea mashine za kieletroniki (Scanner) kutoka China na Marekani zitakazosaidia kubaini bidhaa haramu ikiwa ni jitihada za kudhibiti vitendo vya kihalifu katika mipaka, bandari na viwanja vya ndege.

 

9 years ago

Michuzi

TUZO ZA UANDISHI MAHIRI 2015 ZAJA

Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi MukajangaKatibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga akizungumza na waandishi wa habari ofisi za Baraza zilizoko Mwenge jijini Dar es Salaam.
KAMATI za maandalizi ya Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) iliyopo chini ya Baraza la Habari Tanzania (MCT) imezindua rasmi tuzo hizo ambazo zimeongezewa makundi mawili ya kushindania.Akizungumza na waandishi wa habari ofisi za Baraza zilizoko Mwenge Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga, amesema makundi mapya ya kushindaniwa katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Tahadhari, mvua za maafa zaja Oktoba

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imewataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya mvua kubwa zinazotarajiwa kuanza kunyesha Oktoba mwaka huu, hasa ukanda wa Pwani na nyanda za juu Kaskazini Mashariki.

 

10 years ago

Vijimambo

Taasisi zinazotuhumiwa kwa rushwa zaja juu

Baadhi ya viongozi wa taasisi zinazotuhumiwa kuwa vinara wala rushwa wameonyeshwa kushangazwa na ripoti ya utafiti wa Afrobarometer huku wakihoji vigezo vilivyotumika.

Juzi Afrobarometer wakitangaza utafiti wao huku wakitaja taasisi hizo na asilimia zake kwenye mabano kuwa ni Polisi (50), Mamlaka ya Mapato nchini (37), Majaji na Mahakimu (36), Taasisi ya Kudhibiti na Kupambana na Rushwa (29), Maofisa wa serikali za mitaa (25), Watumishi wa Umma (25), Wabunge (22) na Rais na Maofisa wa Ikulu...

 

10 years ago

GPL

TUZO ZA WATU ZAJA KIVINGINE, VIPENGELE VYAONGEZEKA

Mhariri mkuu wa Bongo5  Bw. Fredrick Bundara akiwa pamoja  na mwariri msaidizi, Sandu George wakizungumza leo na waandishi wa habari  katika uzinduzi wa Tuzo za watu 2015 Mhariri mkuu wa Bongo5  Bw. Fredrick Bundara akiwa pamoja  na mhariri msaidizi, Sandu George wakizungumza leo na…

 

10 years ago

Vijimambo

TUZO ZA WATU ZAJA KIVINGINE VIPENGELE VYAONGEZWA



Kampuni ya Bongo5 Media Group, imezindua msimu mpya na wa pili wa Tuzo za Watu Tanzania zilizoanzishwa mwaka jana ili kuwatuza watu kwenye sekta ya burudani na habari wanaofanya vizuri.Akiongea kwenye mkutano na waandishi wa habari leo, mhariri mkuu wa mtandao wa Bongo5, Fredrick Bundala amesema tuzo za mwaka huu zimeboreshwa zaidi kwa kuongeza vipengele vitatu vipya.
“Mwaka huu tuzo zimeongezewa nguvu zaidi. Kutoka vipengele 11 tulivyokuwa navyo mwaka jana hadi vipengele 1. Mwaka huu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ismailia , Zesco zaja kupamba Simba Day 

KLABU ya Simba imetangaza wiki moja ya matukio muhimu yatakayofunguliwa na mkutano mkuu wa wanachama Agosti 3; na kufungwa kwa mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Ismailia ya Misri...

 

10 years ago

TheCitizen

Even with rain the Oscars were fun

The academy awards are always about style and glamour which sometimes outdo the whole objective of honouring the Best Films of the year.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani