Oscars zaja Kenya
Lupita Nyong'o amekuwa muigizaji wa kwanza mkenya kushinda tuzo ya Oscar katika filamu 12 Years a Slave
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Kampuni zaja na bima ya ‘Safari Njema’
KAMPUNI ya African Life Assurance ya jijini Dar es Salaam kwa kushirikiana na Ndege Insurance Brokers, imeanzisha bima ya maisha ya safari njema "Safari Njema". Akizungumza na Tanzania Daima jana,...
10 years ago
Mwananchi20 Feb
Mashine za kubaini bidhaa haramu zaja
9 years ago
Michuzi20 Oct
TUZO ZA UANDISHI MAHIRI 2015 ZAJA
![Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/EBRBcfZiUoNrOjZZH4l2_HFD2IneZeJyykfH9_SNemWYBGZ3aQeiT2Zf1sD7umXID1NSvMu6CjpjB8vvodCvPO4JnkA2b7D90CMIEG5R7MZY40tIR72vnn9Gc1aNIz2-=s0-d-e1-ft#http://mwanahalisionline.com/wp-content/uploads/2015/10/Kajubi-620x308.jpg)
KAMATI za maandalizi ya Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) iliyopo chini ya Baraza la Habari Tanzania (MCT) imezindua rasmi tuzo hizo ambazo zimeongezewa makundi mawili ya kushindania.Akizungumza na waandishi wa habari ofisi za Baraza zilizoko Mwenge Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga, amesema makundi mapya ya kushindaniwa katika...
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Tahadhari, mvua za maafa zaja Oktoba
10 years ago
Vijimambo08 Feb
Taasisi zinazotuhumiwa kwa rushwa zaja juu
Juzi Afrobarometer wakitangaza utafiti wao huku wakitaja taasisi hizo na asilimia zake kwenye mabano kuwa ni Polisi (50), Mamlaka ya Mapato nchini (37), Majaji na Mahakimu (36), Taasisi ya Kudhibiti na Kupambana na Rushwa (29), Maofisa wa serikali za mitaa (25), Watumishi wa Umma (25), Wabunge (22) na Rais na Maofisa wa Ikulu...
10 years ago
GPLTUZO ZA WATU ZAJA KIVINGINE, VIPENGELE VYAONGEZEKA
10 years ago
Vijimambo27 Mar
TUZO ZA WATU ZAJA KIVINGINE VIPENGELE VYAONGEZWA
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/03/Mhariri-mkuu-wa-Bongo5-Bw.-Fredrick-Bundara-akiwa-pamoja-na-mhariri-msaidizi-Sandu-George-wakizungumza-leo-na-waandishi-wa-habari-katika-uzinduzi-wa-Tuzo-za-watu-2015.jpg)
Kampuni ya Bongo5 Media Group, imezindua msimu mpya na wa pili wa Tuzo za Watu Tanzania zilizoanzishwa mwaka jana ili kuwatuza watu kwenye sekta ya burudani na habari wanaofanya vizuri.Akiongea kwenye mkutano na waandishi wa habari leo, mhariri mkuu wa mtandao wa Bongo5, Fredrick Bundala amesema tuzo za mwaka huu zimeboreshwa zaidi kwa kuongeza vipengele vitatu vipya.
“Mwaka huu tuzo zimeongezewa nguvu zaidi. Kutoka vipengele 11 tulivyokuwa navyo mwaka jana hadi vipengele 1. Mwaka huu...
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
Ismailia , Zesco zaja kupamba Simba DayÂ
KLABU ya Simba imetangaza wiki moja ya matukio muhimu yatakayofunguliwa na mkutano mkuu wa wanachama Agosti 3; na kufungwa kwa mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Ismailia ya Misri...
10 years ago
TheCitizen27 Feb
Even with rain the Oscars were fun