Waziri chikawe akutana na balozi wa marekani
![](http://2.bp.blogspot.com/-PiHE_JDlogg/U8Wgg0yigoI/AAAAAAAF2l4/I7dEJg27gmA/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kulia) akimkaribisha Balozi wa Marekani nchini, Mark Childress, ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo. Waziri Chikawe na Balozi huyo walizungumza masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Wizara yake na Ofisi ya Balozi huyo nchini.
Balozi wa Marekani nchini, Mark Childress (kulia) akimfafanulia jambo Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe wakati Balozi huyo alipomtembelea Waziri Chikawe ofisini kwake, jijini Dar es Salaam leo,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboBALOZI WA MAREKANI AMTEMBELEA WAZIRI CHIKAWE OFISINI KWAKE JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SPaUTzZZXiw/VL39pep1mpI/AAAAAAAG-ZI/WrHz_pTtS88/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
BALOZI WA MAREKANI AMTEMBELEA WAZIRI CHIKAWE OFISINI KWAKE JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-SPaUTzZZXiw/VL39pep1mpI/AAAAAAAG-ZI/WrHz_pTtS88/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-33aOx73lr-c/VL39pdkffWI/AAAAAAAG-ZM/8ZNVhzFrZhg/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-b6mUdh2y6Ks/VPgqqsphECI/AAAAAAAHHx0/FRnRm7laLNs/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika Akutana na Balozi wa Marekani
![](http://4.bp.blogspot.com/-b6mUdh2y6Ks/VPgqqsphECI/AAAAAAAHHx0/FRnRm7laLNs/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
Mhe Wasira katika mazungumzo yake na Balozi Childdress alibainisha changamoto zinazokabili kilimo nchini kuwa ni pamoja na zana duni zinazotumiwa na wakulima wadogo katika kilimo kuwa ni jembe la mkono. Alisema kwa kutumia jembe la mkono itakuwa ni ngumu kuondoa umaskini kwa wakulima wadogo katika maeneo ya vijijini.
Aliongeza...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I1hhVllTsTU/VOYJU2U8HVI/AAAAAAAHEls/HWsaHwWA1cQ/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Waziri wa Nishati na Madini akutana na Balozi wa Marekani nchini
Balozi wa Marekani nchini, Mark Childress na Ujumbe wake, wamekutana na Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachewene, katika makao makuu ya Wizara ya Nishati na Madini jijini Dar es Salaam.
Viongozi hao walikutana ili kuzungumzia masuala mbalimbali ikiwemo miradi ya umeme inayofadhiliwa na Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC), mradi mkubwa wa umeme unaofadhiliwa na nchi ya Marekani ujulikanao kama Umeme Afrika (Power Africa) pamoja na suala la kuwajengea...
10 years ago
Michuzi11 Sep
WAZIRI MEMBE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA MAREKANI NCHINI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yJaI-TFtrz8/U8kk6sTA2NI/AAAAAAAF3Zg/RKwbPqid7TE/s72-c/unnamed+(28).jpg)
WAZIRI LAZARO NYALANDU AKUTANA NA BALOZI WA HESHIMA WA UTALII BEVERLEY, LOS ANGELES MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-yJaI-TFtrz8/U8kk6sTA2NI/AAAAAAAF3Zg/RKwbPqid7TE/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1vIfOO0BdPw/U8kk7q30DuI/AAAAAAAF3Zo/rv7HhDWWB7c/s1600/unnamed+(31).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YXcPYJlqNp8/VNNVFWsqMjI/AAAAAAAHB7M/2xGFE32hcLU/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akutana na Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo ambae pia ni Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake alieleza hayo wakati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake katika Jengo la Msekwa ndani ya viunga vya...
10 years ago
MichuziWAZIRI CHIKAWE ATUA KIGOMA, AKUTANA NA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10