Waziri Kairuki azungumzia ugumu uendelezaji wa miji
NAIBU Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angellah Kairuki amesema suala la uendelezaji wa miji ni lazima liwe na mipango kabambe ya muda mrefu itakayoainisha uboreshaji wenye kunufaisha walio wengi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Kairuki afunga mkutano wa ukuaji wa miji Afrika Mashariki
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Mendeleo ya makazi,Mhe:Angela Kairuki, akiongea na Viongozi na watunga Sera kutoka Nchi za Afrika Mashariki wakati wa kufunga Mkutano wa siku mbili ulioandaliwa na Taasisi ya Uongozi wa Afrika kwa Maendeleo Endelevu (UONGOZI INSTITUTE) uliozungumzia changamoto za ukuaji wa miji na jinsi gani tungependa kuishi ifikapo 2050. Mkutano huo ulifanyika katika hoteli ya Hyatt Regency zamani Kilimanjaro-jijini Dar es Salaam.
Afisa mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uongozi...
10 years ago
MichuziMH. ANGELA KAIRUKI AFUNGA RASMI MKUTANO WA KIKANDA WA UKUAJI WA MAISHA YA BAADAE KWA MIJI YA AFRIKA MASHARIKI
Mkutano huo wa siku mbili uliohudhuriwa na wawakilishi wa ngazi za juu kutoka serikalini, mashirika ya kikanda na kimataifa, miji mikubwa, wasomi, sekta binafsi na asasi za kiraia...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2rjRxEHH4NM/VosynqFbqXI/AAAAAAAIQWE/pOcU244Ic74/s72-c/cbf145ef-28b5-4711-8c90-36aa20623682.jpg)
WAZIRI KAIRUKI AFANYA ZIARA YA KIKAZI TAKUKURU
![](http://4.bp.blogspot.com/-2rjRxEHH4NM/VosynqFbqXI/AAAAAAAIQWE/pOcU244Ic74/s640/cbf145ef-28b5-4711-8c90-36aa20623682.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Gb_JprXKBvc/VosyoIKjijI/AAAAAAAIQWI/7pF7Uh9YCIc/s640/7f3b0972-e909-4195-90d9-5a0b8178868e.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-azDawX45axQ/Vosyrpu88XI/AAAAAAAIQWU/7egUsPtyWMc/s640/1eb3c330-d88a-4153-b285-15fe3c02847a.jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI WA SIERRA LEONE ATEMBELEA HOSPITALI YA KAIRUKI
Katika ziara hiyo ya mafunzo wameweza kuona utaratibu wa Kairuki Hospital wa jinsi wanavyowahudumia wateja wa NHIF ambapo waziri na wawakilishi kutoka Sierra Leone walikuwa na lengo la kuja...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OCqsXl34eAU/XsrR4vvI4QI/AAAAAAALrb8/fVk1CFWYXqQ6MmBwuGw8r_HZyWCSAOFUgCLcBGAsYHQ/s72-c/P1.jpg)
WAZIRI KAIRUKI AWATOA HOFU WAWEKEZAJI NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-OCqsXl34eAU/XsrR4vvI4QI/AAAAAAALrb8/fVk1CFWYXqQ6MmBwuGw8r_HZyWCSAOFUgCLcBGAsYHQ/s640/P1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/P8.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akioneshwa na kupewa maelezo kuhusu mtambo wa kuzalisha mvinyo kutoka kwa Mhandisi wa Kemikali na Mchakato tija wa kiwanda hicho, Daniel Mollel wakati wa ziara yake katika kiwanda cha kuzalisha mvinyo cha DOMIYA.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/P7.jpg)
9 years ago
MichuziWAZIRI KAIRUKI ATEMBELEA IDARA YA HUDUMA ZA TEHAMA-UTUMISHI
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0YNA3O_kE5s/VnF4nP2NF6I/AAAAAAAIM4c/x3L-dPxjRb8/s72-c/1.jpg)
WAZIRI KAIRUKI KUKAA NA WATUMISHI MAOFISINI KUBAINI CHANGAMOTO
Mhe. Kairuki alisema hayo mapema leo wakati alipokutana na Wafanyakazi wa Idara ya Uendelezaji Sera-UTUMISHI katika kikao kazi.
“ Watu wasiwe waoga katika kazi, mimi nimekuja kufanya kazi na kila kitu kina utaratibu wake” Mhe. Kairuki alisema na kusisitiza kuzingatia taratibu zilizowekwa ni jambo la msingi.
Waziri...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VOZwsL1gC2I/XmsVcU3oGCI/AAAAAAALi30/KN0nsKN2Nh0NBPcDaN6ixMzzOh_Iay7_ACLcBGAsYHQ/s72-c/2abb09d5-c58a-4c83-94f7-a5a942f29ede.jpg)
WAZIRI KAIRUKI: MFUKO WA KUKOPESHA WAWEKEZAJI KUKOMBOA WENGI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VOZwsL1gC2I/XmsVcU3oGCI/AAAAAAALi30/KN0nsKN2Nh0NBPcDaN6ixMzzOh_Iay7_ACLcBGAsYHQ/s640/2abb09d5-c58a-4c83-94f7-a5a942f29ede.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/7eaa4d47-6133-4c25-bcfd-89d3de97973d.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akizungumza wakati wa Kongamano la Biashara na Uwekezaji kati ya Jumuiya ya Nchi za Afrika Mashariki na Wanachama wa Chemba ya Wafanyabiashara wa Uswidi na Afrika Mashariki katika Ukumbi wa Mikutano Serena Hotel Jijini Dar es Salaam tarehe 12 Machi, 2020
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/n-22.jpg)