WAZIRI KAIRUKI KUKAA NA WATUMISHI MAOFISINI KUBAINI CHANGAMOTO
![](http://4.bp.blogspot.com/-0YNA3O_kE5s/VnF4nP2NF6I/AAAAAAAIM4c/x3L-dPxjRb8/s72-c/1.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora Mhe. Anjella Kairuki (Mb) amesema atakaa na Watumishi katika ofisi zao ili kubaini changamoto zinazowakabili na kuzitatua.
Mhe. Kairuki alisema hayo mapema leo wakati alipokutana na Wafanyakazi wa Idara ya Uendelezaji Sera-UTUMISHI katika kikao kazi.
“ Watu wasiwe waoga katika kazi, mimi nimekuja kufanya kazi na kila kitu kina utaratibu wake” Mhe. Kairuki alisema na kusisitiza kuzingatia taratibu zilizowekwa ni jambo la msingi.
Waziri...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMhe. Kairuki akutana na watumishi wa ofisi yake
9 years ago
Habarileo30 Dec
Kairuki ahimiza uadilifu kwa watumishi wa umma
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Angella Kairuki amesema kila mtumishi wa umma anatakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia taratibu na uadilifu bila kutoka nje ya mstari. Aliyasema hayo katika kikao kazi na wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma jana.
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma
Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.
Na.Nathaniel Limu-Singida
WAZIRI wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...
9 years ago
StarTV06 Jan
Waziri Masauni aitaka Uhamiaji kuanza Operesheni ya kubaini wageni wanaofanya kazi zinazoweza kufanywa na watanzania
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imeiagiza Idara ya Uhamiaji nchini kuanza Operesheni maalum ya kuwabaini wageni walioingia na kufanya kazi ambazo sio za kitaalamu zinazoweza kufanywa na Watanzania ili kuwachukulia hatua ya kuwaondosha.
Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhandisi Hamad Masauni baada ya kutembelea Makao Makuu ya Uhamiaji Kurasini jijini Dar Es Salaam na kuzungumza na makamishna wa idara hiyo.
Akiwa katika ofisi hizo kukagua shughuli zinazoendelea kwenye...
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Waziri wa zamani Rwanda kukaa jela miaka 47
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OCqsXl34eAU/XsrR4vvI4QI/AAAAAAALrb8/fVk1CFWYXqQ6MmBwuGw8r_HZyWCSAOFUgCLcBGAsYHQ/s72-c/P1.jpg)
WAZIRI KAIRUKI AWATOA HOFU WAWEKEZAJI NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-OCqsXl34eAU/XsrR4vvI4QI/AAAAAAALrb8/fVk1CFWYXqQ6MmBwuGw8r_HZyWCSAOFUgCLcBGAsYHQ/s640/P1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/P8.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akioneshwa na kupewa maelezo kuhusu mtambo wa kuzalisha mvinyo kutoka kwa Mhandisi wa Kemikali na Mchakato tija wa kiwanda hicho, Daniel Mollel wakati wa ziara yake katika kiwanda cha kuzalisha mvinyo cha DOMIYA.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/P7.jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI WA SIERRA LEONE ATEMBELEA HOSPITALI YA KAIRUKI
Katika ziara hiyo ya mafunzo wameweza kuona utaratibu wa Kairuki Hospital wa jinsi wanavyowahudumia wateja wa NHIF ambapo waziri na wawakilishi kutoka Sierra Leone walikuwa na lengo la kuja...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2rjRxEHH4NM/VosynqFbqXI/AAAAAAAIQWE/pOcU244Ic74/s72-c/cbf145ef-28b5-4711-8c90-36aa20623682.jpg)
WAZIRI KAIRUKI AFANYA ZIARA YA KIKAZI TAKUKURU
![](http://4.bp.blogspot.com/-2rjRxEHH4NM/VosynqFbqXI/AAAAAAAIQWE/pOcU244Ic74/s640/cbf145ef-28b5-4711-8c90-36aa20623682.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Gb_JprXKBvc/VosyoIKjijI/AAAAAAAIQWI/7pF7Uh9YCIc/s640/7f3b0972-e909-4195-90d9-5a0b8178868e.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-azDawX45axQ/Vosyrpu88XI/AAAAAAAIQWU/7egUsPtyWMc/s640/1eb3c330-d88a-4153-b285-15fe3c02847a.jpg)
10 years ago
Habarileo23 Feb
Waziri Kairuki azungumzia ugumu uendelezaji wa miji
NAIBU Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angellah Kairuki amesema suala la uendelezaji wa miji ni lazima liwe na mipango kabambe ya muda mrefu itakayoainisha uboreshaji wenye kunufaisha walio wengi.