WAZIRI KEBWE AZUNGUMZIA KIPINDUPINDU KILICHOUA WAKIMBIZI WA BURUNDI
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dr. Kebwe Stephen Kebwe, akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). NAIBU Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dr. Kebwe Stephen Kebwe, Â ametoa tathmini ya vifo 15 vilivyotokea mkoani Kigoma kijiji cha Kagunga ambapo watu tisa wamepoteza maisha kutokana na ugonjwa wa kipindupindu na sita kufa kutokana na maradhi mbalimbali. Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam katika ofisi za...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-uY3DnqFOBR0/VVyMJmMIQ2I/AAAAAAAAa-Y/CefpYxDw97c/s640/B1.jpg)
KIPINDUPINDU TISHIO KAMBI YA WAKIMBIZI WA BURUNDI NYARUGUSU, OXFAM YATOA MSAADA WA MAJI SAFI NA VYOO
9 years ago
Dewji Blog09 Sep
Idadi ya Wakimbizi wa Burundi wanaohifadhiwa katika kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu yaongezeka
Wakimbizi kutoka nchini Burundi walioko katika kambi ya Nyarugusu wakiwa wamebeba shehena ya unga wa mahindi jana, muda mfupi baada ya kugawiwa chakula hicho Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia chakula (WFP), lililoweka kituo chake katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu wilayani Kasulu, mkoani Kigoma.(PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI, WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI).
Mkimbizi kutoka nchini Burundi, Jacqueline Elulu (mwenye mtoto), akisubiri kupata huduma ya...
9 years ago
MichuziWAKIMBIZI WA BURUNDI WAONGEZEKA MAKAMBI YA WAKIMBIZI MKOANI KIGOMA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHIIdadi ya raia wa Burundi wanaoingia nchini kutafuta...
9 years ago
MichuziZOEZI LA KUWAPOKEA WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI LAENDELEA VIZURI KATIKA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU MKOANI KIGOMA
10 years ago
BBCSwahili22 May
UN:Kipindupindu chawaathiri wakimbizi TZ
10 years ago
BBCSwahili19 May
Kipindupindu chawaua raia 15 wa Burundi
10 years ago
Vijimambo07 Jun
NAIBU WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII,DK STEPHEN KEBWE AHITIMISHA KAMPENI YA FISTULA MJINI DODOMAâ€
![](http://api.ning.com/files/Bsue-*vlnnbc2SKozOrKel2VFCrkfDgYktZ7HwCtz1-G8rFuHbO*CrBShOOKi8*iq8PC4RM3muMaqqzjKgrEJSmSJjPyxhJt/fistulawasanii.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/Bsue-*vlnna7D76s*te7z2wRLNeikuiiFyYUKUZAKKYhbRZFmhCe034cr3jPtmUQ5amxdY0RTsflDpIQ11rKdjoLA6l3O82E/fistulawasanii_02.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Bsue-*vlnnbc2SKozOrKel2VFCrkfDgYktZ7HwCtz1-G8rFuHbO*CrBShOOKi8*iq8PC4RM3muMaqqzjKgrEJSmSJjPyxhJt/fistulawasanii.jpg?width=650)
NAIBU WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII,DK STEPHEN KEBWE AHITIMISHA KAMPENI YA FISTULA MJINI DODOMA
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Burundi;Watoto Wakimbizi wanadhulumiwa