Waziri Membe ampokea Mtukufu Karim Aga khan
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe (Mb.) akimpokea Mwanzilishi wa Taasisi ya Maendeleo ya Aga khan Duniani, Mtukufu Karim Aga Khan mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, Mtukufu Aga Khan yupo nchini kwa ziara binafsi ya siku nne, ambapo pia atatumia fursa hiyo kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo ya taasisi hiyo hapa nchini.
Mtukufu Aga Khan akisalimiana na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Rais Kikwete amkabidhi H.H. The Aga Khan hati ya chuo kikuu cha Aga Khan kilichopo Dar
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimlaki na Kiongozi wa madhehebu ya Ismailia duniani Mtukufu Aga Khana tayari kwa kumkabidhi hati ya Chuo Kikuu cha Aga Khan kilichopo Dar es salaam leo February 23, 2015 Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza Kiongozi wa madhehebu ya Ismailia duniani Mtukufu Aga Khana akiongea baada ya kumkabidhi hati ya Chuo Kikuu cha Aga Khan kilichopo Dar es salaam leo February 23, 2015 Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-RfMy7mDn8A8/VOstxeM69fI/AAAAAAADakM/pV6uvdlPQT8/s72-c/ag6.jpg)
RAIS KIKWETE AMKABIDHI H.H. THE AGA KHAN HATI YA CHUO KIKUU CHA AGA KHAN KILICHOPO DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-RfMy7mDn8A8/VOstxeM69fI/AAAAAAADakM/pV6uvdlPQT8/s1600/ag6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-sJDYZPA_Hcc/VOstdNQtlfI/AAAAAAADaj4/GstZuNjZcBk/s1600/ag2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TvtfdpIH49E/VOstc8lmuMI/AAAAAAADaj0/qssOwvCvtZI/s1600/ag3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Sep
Canadian Prime Minister Stephen Harper and Aga Khan Open the Ismaili Centre Toronto and Aga Khan Museum
PM Harper of Canada and HH the Aga Khan waving to crowds outside the Ismaili Centre, Toronto – AKDN / Zahur Ramji).
The Right Honourable Stephen Harper, Prime Minister of Canada, and His Highness the Aga Khan formally opened the Ismaili Centre Toronto and Aga Khan Museum today.
These projects, which are initiatives of the Aga Khan, the 49th hereditary Imam of the Shia Ismaili Muslims and founder and Chairman of the Aga Khan Development Network, are intended to foster knowledge and...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e*Q7chwcF2YJ6cf5WIiPJ5MdEXNq7*d06F5-o8iFsjRjk9CHl-S1uAPyDZyD48*KzIH8OCaocrSXXIfDx*FfDPXaprBGI7S8/ag1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AMKABIDHI H.H. THE AGA KHAN HATI YA CHUO KIKUU CHA AGA KHAN KILICHOPO DAR ES SALAAM
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/11-DSC_0460-PM-Harper-and-HH-the-Aga-Khan-waving-to-crowds-outside-the-Ismaili-Centre-Toronto-AKDN-Zahur-Ramji.jpg?width=640)
CANADIAN PRIME MINISTER STEPHEN HARPER AND AGA KHAN OPEN THE ISMAILI CENTRE TORONTO AND AGA KHAN MUSEUM
11 years ago
GPLWAZIRI WA AFYA, DR. SEIF, AZINDUA KITUO CHA MATIBABU YA SARATANI HOSPITALI YA AGA KHAN
11 years ago
Michuzi21 Mar
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Bernard Membe Alipompokea Binti Mfalme wa Sweden, Mtukufu Victoria Lugrid Alice Desiree mara baada ya kuwasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Aga Khan, MNH kushirikiana
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Aga Khan kupanua eneo
TAASISI ya Maendeleo ya Aga Khan (AKDN) imetiliana saini na Taasisi ya Maendeleo ya Ufaransa (AFD) ya kupanua eneo la hospitali hiyo sambamba na ujenzi wa chuo. Akizungumza jijini Dar...