WAZIRI MKANGARA KUZINDUA FAINALI ZA AIRTEL RISING STAR LEO
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dr. Fenella Mkangara leo Jumapili, Septemba 13, 2015 saa 8 kamili mchana anatarajiwa kuzindua rasmi fainali za michuano ya Airtel Rising Star katika uwanja wa Karume jijini Dar es salaam.
Jumla ya timu sita zinatarajiwa kushiriki michuano hiyo ambayo imekua ikifanyika kila mwaka nchini kwa udhamini wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel, ambapo vijana wenye vipaji huchaguliwa na kupata nafasi ya kujiunga na vituo vya michezo (Academy)...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi14 Sep
ELISANTE OLE GABRIEL AZINDUA FAINALI ZA AIRTEL RISING STAR JIJINI DAR ES SALAAM

10 years ago
Michuzi
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI LEO AFUNGA FAINALI ZA MICHUANO YA KOMBE LA AIRTEL RISING STARS

11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Airtel Rising Star 2014 wiki ijayo
PAZIA la mashindano ya soka ya vijana chini ya miaka 17 ya Airtel Rising Stars 2014, linatarajiwa kufunguliwa jijini Dar es Salaam mapema wiki ijayo ambapo kwa kushirikiana na Shirikisho...
11 years ago
GPLMASHINDANO YA AIRTEL RISING STAR YAZINDULIWA RASMI DAR
10 years ago
Michuzi
Mbaspo Academy mabingwa wa Airtel Rising Star mbeya


10 years ago
GPLTEMEKE WATINGA FAINALI AIRTEL RISING STARS
11 years ago
MichuziMASHINDANO YA VIJANA YA AIRTEL RISING STAR YAZINDULIWA JIJINI DAR
11 years ago
Michuzimashindano ya vijana ya Airtel Rising Star yazinduliwa jijini mwanza
10 years ago
Michuzi
timu ya Mbaspo Academy ndio mabingwa wa michuano ya Airtel Rising Star jijini Mbeya.

