WAZIRI MKUU AKANUSHA TAARIFA YA SHULE, VYUO KUFUNGULIWA KESHO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8y_xMhDDU8s/XnpODdvHxYI/AAAAAAACJRQ/7Kw-eCdCbAoOqn3YNz0w8BlFejhLZMsfwCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_1521.jpg)
DODOMA, Tanzania
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao kwamba vyuo na shule vitafunguliwa kesho siyo za kweli na kwamba ni taarifa za upotoshaji, zipuuzwe.
Taarifa hiyo ambayo haioneshi chanzo chake kama ni ya kwenye televisheni au kwenye Blog, imeunganisha kauli ya TAMISEMI na kuweka picha ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ikionesha kwamba vyuo na shule vitafunguliwa Jumatano bila kuonesha ni Jumatano ipi.
Jumanne iliyopita (Machi 17, 2020), Waziri Mkuu...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eUg2BkSpw5U/XtpUuTj3wZI/AAAAAAALsvM/y6AP2oEZGqE9H0Pd6Lc4iAXxICd_Asm_gCLcBGAsYHQ/s72-c/KM-KUSAYA-1-768x588.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUFUNGULIWA VYUO VYA MAFUNZO YA KILIMO (MATIs)
![](https://1.bp.blogspot.com/-eUg2BkSpw5U/XtpUuTj3wZI/AAAAAAALsvM/y6AP2oEZGqE9H0Pd6Lc4iAXxICd_Asm_gCLcBGAsYHQ/s640/KM-KUSAYA-1-768x588.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ndugu Gerald M. Kusaya anawatangazia wanachuo na wakufunzi kuwa Vyuo vya Mafunzo ya Kilimo (MATI) vimefunguliwa rasmi tarehe 01 Juni, 2020 kufuatia agizo la Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli alilotoa tarehe 21 Mei, 2020.
Wanafunzi wote wa Vyuo vya Mafunzo ya Kilimo nchini wanatakiwa kuendelea kuripoti vyuoni kwa ajili ya kuendelea na masomo yao. Wizara inawataka wanafunzi wote kuhakikisha wanakuwepo vyuoni ifikiapo tarehe 08 Juni, 2020 na itakapofika tarehe 10...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5z-LeotkPh0/XsaFKPwqX0I/AAAAAAALrIg/RcVmMTWOPBAeYrsI4pEXHSlc3xvAE2zFwCLcBGAsYHQ/s72-c/000.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_gAPXjhJVeI/Uvkq36XRJ0I/AAAAAAAFMO0/7U2sWMBh1EA/s72-c/unnamed+(43).jpg)
Katibu Mkuu Elimu afungua Mafunzo Kazini kwa Walimu, atembelea shule na vyuo mkoani Mwanza
![](http://2.bp.blogspot.com/-_gAPXjhJVeI/Uvkq36XRJ0I/AAAAAAAFMO0/7U2sWMBh1EA/s1600/unnamed+(43).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wFV_ymyNtNU/Uvkq6V321MI/AAAAAAAFMPY/mmjgM0owzyg/s1600/unnamed+(44).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZFK4Y9mqOxk/XsY7L-6D5EI/AAAAAAALrEg/pz58F5sz7YwHx44hZ8U5XBr8TNMvRvpqwCLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpg)
BREAKING: VYUO VYOTE NCHINI KUFUNGULIWA JUNI,1,2020, MAAMBUKIZI YAPUNGUA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZFK4Y9mqOxk/XsY7L-6D5EI/AAAAAAALrEg/pz58F5sz7YwHx44hZ8U5XBr8TNMvRvpqwCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
Rais Magufuli ametoa maagizo hayo leo Ikulu - Chamwino jijini Dodoma alipokuwa anawaapisha Viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni, Rais Magufuli ameagiza Wizara ya Elimu na Fedha kuhakikisha Wanafunzi hao wa Vyuo...
5 years ago
BBCSwahili21 May
Virusi vya Corona: Rais Magufuli atangaza vyuo vikuu kufunguliwa Juni 1
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/1gydulqw72U/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zeHzHlZO4c4/VCqGroZZ1GI/AAAAAAAGmsc/EjPXATj1MnQ/s72-c/unnamed.jpg)
ONESHO LA S!TE KUFUNGULIWA KESHO JUMATANO MLIMANI CITY,JIJINI DAR
Tayari maandalizi yote kuelekea ufunguzi wa onesho hilo yamekamilika na kwamba watanzania wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuja kujionea vivutio adhimu wa taifa hili.
Shirika la Hifadhi ya Taifa (TANAPA), Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) pamoja na...
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MAJALIWA KUANZA ZIARA MKOANI TANGA KESHO
MKUU wa Mkua wa Tanga Martine Shigella akizungumza na waandishi wa habari mkoani humo leo ambao hawapo pichani kuhusu ziara maalumu ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa itakayoanza kesho Jumatatu
MKUU wa Mkua wa Tanga Martine Shigella akizungumza na waandishi wa
habari mkoani humo kuhusu ziara maalumu ya Waziri Mkuu Kassim
Majaliwa itakayoanza kesho Jumatatu mkoani hapa
WAZIRI mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwasili jijini Tanga kesho June Mosi Mwaka huu kwa ziara maalum ya kutembelea na...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aGSaruYT-us/Vn4ummVbIQI/AAAAAAAIOuA/cwTUKygKOVg/s72-c/Regional-Administration-and-Local-Government-Deputy-Minister-Education-Kassim-Majaliwa.jpg)
WAZIRI MKUU KESHO KUANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI KIGOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-aGSaruYT-us/Vn4ummVbIQI/AAAAAAAIOuA/cwTUKygKOVg/s320/Regional-Administration-and-Local-Government-Deputy-Minister-Education-Kassim-Majaliwa.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari juu ya ziara hiyo Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya alisema kuwa Waziri Mkuu atawasili Mkoani hapa kesho majira ya saa tatu asubuhi.
Alisema kuwa atapokelewa na viongozi mbalimbali wa serikali ya Mkoa na kisha atasomewa taarifa ya Mkoa.
Baada ya hapo ataelekea katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu...