VYUO VIKUU KUFUNGULIWA JUNI MOSI - JPM
![](https://1.bp.blogspot.com/-5z-LeotkPh0/XsaFKPwqX0I/AAAAAAALrIg/RcVmMTWOPBAeYrsI4pEXHSlc3xvAE2zFwCLcBGAsYHQ/s72-c/000.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili21 May
Virusi vya Corona: Rais Magufuli atangaza vyuo vikuu kufunguliwa Juni 1
Taasisi zote za elimu Tanzania zimefungwa toka mwezi Machi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZFK4Y9mqOxk/XsY7L-6D5EI/AAAAAAALrEg/pz58F5sz7YwHx44hZ8U5XBr8TNMvRvpqwCLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpg)
BREAKING: VYUO VYOTE NCHINI KUFUNGULIWA JUNI,1,2020, MAAMBUKIZI YAPUNGUA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZFK4Y9mqOxk/XsY7L-6D5EI/AAAAAAALrEg/pz58F5sz7YwHx44hZ8U5XBr8TNMvRvpqwCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
Rais Magufuli ametoa maagizo hayo leo Ikulu - Chamwino jijini Dodoma alipokuwa anawaapisha Viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni, Rais Magufuli ameagiza Wizara ya Elimu na Fedha kuhakikisha Wanafunzi hao wa Vyuo...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/1gydulqw72U/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XcePV_Yy6lE/Vf1AKL6rpBI/AAAAAAAAEw0/yzBk8qJSFxQ/s72-c/mayunga.jpg)
BARAZA LA VYUO VIKUU AFRIKA MASHARIK(IUCEA)KUWA NA MAONESHO YA VYUO VIKUU UGANDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XcePV_Yy6lE/Vf1AKL6rpBI/AAAAAAAAEw0/yzBk8qJSFxQ/s640/mayunga.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rnigzh6SSHM/Vf1AQbyI4QI/AAAAAAAAEw8/YKu2tZEAGRM/s640/eabc.jpg)
10 years ago
GPLAIRTEL KUZINDUA AIRTEL UNI 255 J-MOSI MAALUM KWA VYUO VIKUU DAR ES SALAAM
Afisa Masoko wa Airtel Henrick Bruno akionyesha moja kati ya vocha za Airtel UNI255 maalum kwa vyuo vikuu nchini tayari kwa uzinduzi jumamosi hii. Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imebainisha kuwa mwishoni mwa wiki hii itazindua rasmi huduma mpya maalum kwaajili ya kutoa huduma nafuu za mawasiliano kwa wanafunzi walioko vyuoni katika chuo kikuu cha Dar es salaam UDSM ambapo hafla ya uzinduzi wa huduma hiyo inayojulikana...
10 years ago
Vijimambo27 Mar
TAMKO LA UONGOZI WA SERIKALI ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU DODOMA KULAANI KUHUSISHWA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU VYA DODOMA NA KUMUOMBA MH. LOWASA KUGOMBEA URAIS.
Tamko la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Dodoma Kulaani Kuhusishwa Kwao Kumshawishi Lowassa Kuchukua Form ya Uraisi
Ndugu Waandishi wa habari, Tunapenda kutanguliza shukrani za dhati kwenu kwa kufika katika eneo hili kutusikiliza.Mbele yenu ni viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka Vyuo vikuu mbalimbali vilivyopo mkoani Dodoma.Ndugu waandishi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFUAXi8ra-cn-5WkNRxJmf6Nizj2-mb77TWNVBpvVe4SehdyD8cjRwT7XpK5RmpvW6h1iZT14VrLVj-f2oevpt43/PSPF1.jpg?width=650)
PSPF YATOA MAFUNZO JINSI YA KUJIUNGA NA UWANACHAMA WAKATI WA MAONYESHO YA VYUO VYA ELIMU YA JUU YALIYOANDALIWA NA TUME YA VYUO VIKUU (TCU)
Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Rahma Ngassa (Kulia), akiwaeleza wanafunzi nhawa jinsi ya kujaza fomu za kujiunga na uanachama wa Mfuko huo, wakati wa maonyesho ya vyuo vya elimu ya juu yaliyoandaliwa na Tume ya vyuo vikuu (TCU), kwa kushirikiana na wizara ya elimu na mafunzo yan ufundi stadi. Maonyesho hayo ya siku tatu yamefunguliwa jana kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Afisa Uendeshaji wa...
10 years ago
MichuziMAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KUFUNGULIWA JUNI 16
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
inawakaribisha wananchi na wadau wote katika maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma Tarehe 16-23 Juni, 2015
Mahali: Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam
Kaulimbiu: “Utumishi wa Umma katika Bara la Afrika ni Chachu ya Kuwawezesha Wanawake, Kuongeza Ubunifu na Kuboresha Utoaji Huduma kwa Umma”.
Ushauri na Huduma mbalimbali zitatolewa na wataalamu kutoka...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-8y_xMhDDU8s/XnpODdvHxYI/AAAAAAACJRQ/7Kw-eCdCbAoOqn3YNz0w8BlFejhLZMsfwCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_1521.jpg)
WAZIRI MKUU AKANUSHA TAARIFA YA SHULE, VYUO KUFUNGULIWA KESHO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8y_xMhDDU8s/XnpODdvHxYI/AAAAAAACJRQ/7Kw-eCdCbAoOqn3YNz0w8BlFejhLZMsfwCLcBGAsYHQ/s200/PMO_1521.jpg)
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao kwamba vyuo na shule vitafunguliwa kesho siyo za kweli na kwamba ni taarifa za upotoshaji, zipuuzwe.
Taarifa hiyo ambayo haioneshi chanzo chake kama ni ya kwenye televisheni au kwenye Blog, imeunganisha kauli ya TAMISEMI na kuweka picha ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ikionesha kwamba vyuo na shule vitafunguliwa Jumatano bila kuonesha ni Jumatano ipi.
Jumanne iliyopita (Machi 17, 2020), Waziri Mkuu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania