WAZIRI SIMBACHAWENE ‘AWASWEKA NDANI’ VIONGOZI WA KIJIJI, MAFUNDI BOMBA RUWASA
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akiiangalia ‘air valve’ ya mradi wa Kijiji cha Chogola, Jimbo la Kikwake, Wilayani Mpwapwa, iliyobadilishwa na watu wasiojulikana kijijini hapo. Simbachawene aliagiza Polisi kumkamata Mwenyekiti, Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Chogola, Jimbo la Kibakwe na Mafundi Bomba wawili wa Wakala ya Usambazaji Maji na Usafi na Mazingira Vijijini (RUWASA) Wilayani humo kwa kosa la kuhujumu mradi huo.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JNXamzNxrsk/Xps-PQM2u7I/AAAAAAALnWY/0YS2NoCrku80QhZS1rr89onjoGqRQUJ5QCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-0-2048x1351.jpg)
KATIBU MKUU CCM AONGOZA VIONGOZI KUHANI MSIBA WA BABA WA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI,MAREHEMU BONIFACE SIMBACHAWENE
![](https://1.bp.blogspot.com/-JNXamzNxrsk/Xps-PQM2u7I/AAAAAAALnWY/0YS2NoCrku80QhZS1rr89onjoGqRQUJ5QCLcBGAsYHQ/s640/PIX-0-2048x1351.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PIX-2-4-scaled.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Fh6cQfbSwCQ/XmZTRqShPwI/AAAAAAALiSo/a1vlAaI6eXU3U4hpEJPRvkXdCPwDmqo2QCLcBGAsYHQ/s72-c/30200c4f-d3b2-4442-bfb9-496f994ae2af.jpg)
NAIBU WAZIRI AWESO AMUAGIZA MKURUGENZI RUWASA KUKAGUA JUMUIYA ZOTE ZA MAJI NCHINI
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imeuagiza Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) kufanya mapitio ya tathimini ili kuzifuta Jumuiya za Maji ambazo zimeshindwa kuhudumia wananchi.
Agizo hilo limetolewa leo jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Maji, Mhe Jumaa Aweso wakati akizungumza na mameneja Ruwasa wa Wilaya na Mikoa yote ya Tanzania bara katika mkutano wa mrejesho wa uhakiki na tathimini ya utekelezaji wa mpango wa malipo kwa matokeo awamu ya nne.
Mhe Aweso amesema kumekuepo na...
11 years ago
Habarileo15 Jan
Viongozi wa dini watembelea bomba jipya la gesi
VIONGOZI wa dini wametembelea bomba jipya la gesi asilia la Mtwara- Dar es Salaam, mtambo wa kusafisha umeme wa Mnazi Bay na maeneo mbalimbali ya uendelezaji wa gesi asilia katika Mkoa wa Mtwara na Lindi.
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Viongozi wa kijiji Bashnet mbaroni
5 years ago
MichuziWAZIRI SIMBACHAWENE AWASILI ZANZIBAR KWA ZIARA YA KIKAZI
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (katikati) akizungumza na Kamishna wa Polisi Zanzibar, Mohamed...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-8ygaM2K5iIE/Xu8RGcdclvI/AAAAAAAC8C0/K_97K4ZSVWAmYl-AQpq91GFizo_D4-GygCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA CGP KWA MABADILIKO MAKUBWA MAGEREZANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-8ygaM2K5iIE/Xu8RGcdclvI/AAAAAAAC8C0/K_97K4ZSVWAmYl-AQpq91GFizo_D4-GygCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Na Felix Mwagara, MOHA, Morogoro.WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema kasi ya utendaji kazi wa Kamishna Generali wa Jeshi la Magereza Nchini, (CGP) Suleiman Mzee, imemfurahisha kutokana na mabadiliko makubwa ya maendeleo kwa kipindi cha muda mfupi tangu alipoteuliwa kuliongoza Jeshi hilo.
Akizungumza katika hafla ya kuzindua mashine ya kuchimbia ‘excavator’ iliyofanyika Gereza la Mbigili, Wilaya ya Mvomero, Mkoani Morogoro, jana Waziri Simbachawene alisema Jeshi la...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NCdG222ZQWc/XlEmkrAMplI/AAAAAAAAvVQ/Ubr-mpgk7a0MI4bt4pSrzVbS4VK2yE-tACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
VISHOKA UHAMIAJI WAMCHEFUA WAZIRI SIMBACHAWENE, WASAKWE POPOTE WALIPO
![](https://1.bp.blogspot.com/-NCdG222ZQWc/XlEmkrAMplI/AAAAAAAAvVQ/Ubr-mpgk7a0MI4bt4pSrzVbS4VK2yE-tACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)