WAZIRI UMMY AKITETA NA KATIBU MKUU WAKE
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (kushoto) akiteta na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt.Zainab Chaula katika Kikao Kazi cha Mawaziri na Makatibu Wakuu cha kujadili ugonjwa wa Corona (COVID-19) kilichoongozwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Machi 23, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKITETA JAMBO NA WAZIRI WA AFYA UMMY MWALIMU BUNGENI LEO JIJINI DODOMA.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gHUlFLsrLZM/XqLeYC8gX_I/AAAAAAALoDs/qqtLbbwmAgELdq_pyPtLdXoyDqcbCSx4QCLcBGAsYHQ/s72-c/14995f28-5721-4380-8d82-647820d58b15-768x512.jpg)
WAZIRI UMMY AMPOKEA KATIBU MKUU MPYA WA AFYA PROFESA MABELE MCHEMBE LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-gHUlFLsrLZM/XqLeYC8gX_I/AAAAAAALoDs/qqtLbbwmAgELdq_pyPtLdXoyDqcbCSx4QCLcBGAsYHQ/s640/14995f28-5721-4380-8d82-647820d58b15-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/aed6ca25-8e63-439c-a557-d8a570fd1c1f-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/45470cfc-09ac-4639-adde-0bc12a73eea3-1024x683.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto-Idara Kuu Afya Prof. Mabele Mchembe awasili kwenye ofisi ndogo ya wizara iliyopo jijini Dar es Salaam na kupokelewa na Waziri wa wizara hiyo Mh.Ummy Mwalimu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-taXJDpHpZlY/Xq1LXveT6FI/AAAAAAALo00/WCw0hhHQA8oWDYNVPCilC_1vYNExUo3NQCLcBGAsYHQ/s72-c/16c15c3f-4212-4a27-b2c6-f6bcf53e9046.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ALIPOKUWA AKITETA JAMBO NA WAZIRI WAA FEDHA NA MIPANGO DKT MANGO BUNGENI
![](https://1.bp.blogspot.com/-taXJDpHpZlY/Xq1LXveT6FI/AAAAAAALo00/WCw0hhHQA8oWDYNVPCilC_1vYNExUo3NQCLcBGAsYHQ/s640/16c15c3f-4212-4a27-b2c6-f6bcf53e9046.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/c41e35e6-9ac0-47ca-9110-16631da6b0bf.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, Bungeni jijini Dodoma, Aprili 30, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
Waziri Ummy akabidhiwa ofisi na mtangulizi wake Dkt.Seif
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee Ummy Mwalimu akimsikiliza aliyekuwa Waziri wa iliyokuwa Wizara ya Afya na Usatawi wa Jamaii ya Serikali ya Awamu ya Nne Dkt. Seif Rashid wakati wa kukabidhiwa rasmi ofisi leo jijini Dar es salaam.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee Ummy Mwalimu akipokea taarifa ya makabidhiano ya ofisi na aliyekuwa Waziri wa iliyokuwa Wizara ya Afya na Usatawi wa Jamaii ya Serikali ya Awamu ya Nne Dkt. Seif Rashid wakati...
9 years ago
Dewji Blog12 Dec
Waziri Ummy Mwalimu na Naibu wake Dk. Kigwangala waripoti wizarani leo
Gari la Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu likiwasili Makao Makuu ya wizara hiyo na kupokelewa kwa saluti mara tu baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli katika sherehe zilizofanyika leo Ikulu jijini Dar es Salaam.(Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akipokelewa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Donan Mmbando mara tu...
9 years ago
Dewji Blog13 Sep
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu aitembelea NEC kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, 2015
Naibu Katibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkuu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Dk. Sisti Chriati akimpatia maelezo Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Frolence Turuka akimpatia maelekezo juu ya NEC inavyoweza kutunza kumbukumbu za wananchi mapema jana alipoitembelea kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu ambapo alishuhudia vifaa mbalimbali vya Uchaguzi vikiwasili na Kupokelewa katika ofisi ya NEC kitengo cha Daftari Bohari Kuu jijini Dar es Salaam.
Vifaa mbalimbali...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q0xCtNigswU/VfSlvTq2VnI/AAAAAAABlxE/N41mk93CnoM/s72-c/11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o.jpg)
KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU BW. FROLENCE TURUKA AITEMBELEA NEC KUONA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-q0xCtNigswU/VfSlvTq2VnI/AAAAAAABlxE/N41mk93CnoM/s640/11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2wbNUQWxs8w/VfSlycBQWUI/AAAAAAABlxM/kATyAIcFBF8/s640/11930774_1465390323770465_1602462128218917504_o.jpg)
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-q0xCtNigswU/VfSlvTq2VnI/AAAAAAABlxE/N41mk93CnoM/s640/11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o.jpg)
KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU BW. FROLENCE TURUKA AITEMBELEA NEC
11 years ago
Dewji Blog12 May
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu afanya ziara Mkoani Dodoma
Wakurugenzi wa Ofisi ya Waziri Mkuu waki kagua moja ya Mradi uanao tekelezwa na ( CDA) Miradi hii nikatika mpango wa matokeo makubwa sasa (BRN).
Katibu Mkuu Ofisi ya waziri Mkuu Dkt : Florens M Turuka wa (katikati) akitoa maelekezo kwa Wakurugenzi wa OWM walipo tembelea eneo la mradi wa Makaburi ya Viongozi katika eneo la Mlimani.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa (CDA) Bw: Pascal Muragiri akitoa maelezo ya mradi wa Barabara unaotekelezwa na CDA kwa msaada wa Benki ya Dunia wanao...