Waziri wa Afya ajiweka kitanzi kwa Magufuli
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amejiweka kitanzini akidai atamwomba Rais John Magufuli amwajibishe endapo atashindwa kumaliza tatizo la upatikanaji wa dawa za ugonjwa wa saratani kwa bei nafuu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Uf6X0pKmBQE/XsAzyJpPiLI/AAAAAAAAngs/uRuiLwsqjOcSub0h4o9lkYu7AazKVXdnQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA NAIBU WAZIRI WA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Uf6X0pKmBQE/XsAzyJpPiLI/AAAAAAAAngs/uRuiLwsqjOcSub0h4o9lkYu7AazKVXdnQCLcBGAsYHQ/s200/0.jpg)
Na Mwandishi Wetu
CHATO, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. John Pombe Magufuli amemteua, Dkt. Godwin Oloyce Mollel ambaye ni Mbunge wa Siha kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.Hayo yamebainishwa muda huu na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu mjini Chato, Gerson Msigwa.Kwa mujibu wa taarifa hiyo, uteuzi wa Dkt. Mollel unaanza leo tarehe 16 Mei, 2020.Dkt. Mollel anachukua nafasi ya Dkt. Faustine Engelbert...
5 years ago
MichuziWAZIRI WA AFYA ZANZIBAR APOKEA VIFAA MBALI MBALI VYA AFYA KUTOKA KWA MFANYA BIASHARA SAID NASSIR NASOR (BOPER)
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Miswada hii ya habari ni kitanzi kingine kwa CCM
10 years ago
Mtanzania15 May
Drake ajiweka tena kwa Rihanna
BADI MCHOMOLO NA MTANDAO
BAADA ya kuwa katika uhusiano kwa muda mfupi na kisha kuachana, mwana hip hop kutoka kundi la Young Money, Aubrey Graham ‘Drake’ na msanii Rihanna wanaelezwa kurudiana upya, baada ya kuonekana maeneo mbalimbali wakifurahia umoja wao.
Miaka miwili iliyopita Drake aligombana na Chris Brown baada ya msanii huyo kuwa na uhusiano na Rihanna, wakati akijua kwamba mwanadada huyo alikuwa na uhusiano na Chris.
Ukubwa wa mgogoro huo ulifikia kipindi walirushiana chupa wakiwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1JrgjjBELhXhhdwKHmRNfs7Zp3UXDd4hT5yA2sUo*Y14u4RsTPUmXwcJwOTaU7bc45gig6hBtddI1O7dHB7IjMPGKT/2.jpg)
DOKII AJIWEKA KWA KOCHA WA YANGA
11 years ago
Mwananchi29 Jun
‘Mitambo ya kisasa ya video serikalini, kitanzi cha posho kwa watendaji’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GkcexZAd662tJdsio-fgnigVfShxzK9cWxnAoO6QuEXPcbjgSDQug8g7tpoYkJFhFrqXHCAuvTY2W1b7mYZBJbZhr2ATiBrz/madaha.jpg?width=650)
BABY MADAHA: AJIWEKA KIMAPENZI KWA WYRE