WAZIRI WA VIWANDA ABDALA KIGODA AZINDUA RASMI MASHINDANO YA MAGARI DAR
Mgeni rasmi akisaini kitabu katika banda la TRA. …akikagua moja ya banda lililopo katika maonyesho hayo.…
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ElSwMzscT84/XkakvaHnobI/AAAAAAALdYE/sPUaTlBm64omHwUYBLDFRERL20r1hDxcQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-14%2Bat%2B4.37.04%2BPM.jpeg)
MASHINDANO YA KAIZEN KUFANYIKA JIJINI DAR, WAZIRI WA VIWANDA MGENI RASMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ElSwMzscT84/XkakvaHnobI/AAAAAAALdYE/sPUaTlBm64omHwUYBLDFRERL20r1hDxcQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-14%2Bat%2B4.37.04%2BPM.jpeg)
MASHINDANO ya nne ya KAIZEN kufanyika jijini Dar es Salaam huku mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Wizara ya Viwanda na biashara, Innocent Bashungwa.
Mashindano ya KAIZEN kwa hapa nchini yamekuwa yakifanyika kila mwaka ifikapo Februali, 18, kwa mwaka huu yanalengo la kubadilishana uzoefu na kuhamasisha...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wAyutqkUIAU/UvZu7HBE6YI/AAAAAAAFLzE/7A5y5vWEdMM/s72-c/unnamed+(72).jpg)
Waziri Mukangara azindua rasmi mashindano maalum shule za sekondari Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-wAyutqkUIAU/UvZu7HBE6YI/AAAAAAAFLzE/7A5y5vWEdMM/s1600/unnamed+(72).jpg)
10 years ago
MichuziWaziri wa Viwanda ba Biashara Dr. Kigoda afunga mafunzo ya wajasiliamali zaidi ya 3500 jijini Dar es Salaam
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-V-LVVu1Nerk/VhwLT8L_E8I/AAAAAAAH_hs/gZUIwd5Lv3o/s72-c/IMG-20151012-WA0191.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QHlyn-Y16x0/U65jYl2795I/AAAAAAAFtR0/-WC_Iq0UMM4/s72-c/No.1.jpg)
Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt.Kigoda aongoza mkutanno wa 99 wa baraza la mawaziri nchini kenya.
![](http://4.bp.blogspot.com/-QHlyn-Y16x0/U65jYl2795I/AAAAAAAFtR0/-WC_Iq0UMM4/s1600/No.1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Waziri wa Afya Mh. Seif Rashidi azindua rasmi Ghetto Radio katika hosipitali ya Temeke Jijini Dar
Waziri wa Afya Mh. Seif Rashid akiongea na Wauguzi wa Hospitali teule ya Mkoa wa Temeke, Wafanyakazi wa Ghetto Radio ya Sibuka Fm pamoja na wadau mbalimbali wakati wa uzinduzi rasmi wa Radio hiyo, ambayo lengo lake ni kuwakomboa vijana wa mtaani pamoja na vipindi vingine vya kuelimisha Jamii na Burudani, Pia amewashukuru kwa kutoa msaada wa vifaa mbalimbali ambavyo vitasaidia katika Hospitali hiyo Tarehe 1.11.2014
Mkurugenzi wa Sibuka George Ndagali akizungumza wakati wa hafla ya...
10 years ago
GPLWAZIRI WA AFYA MH. SEIF RASHIDI AZINDUA RASMI GHETTO RADIO KATIKA HOSIPITALI YA TEMEKE JIJINI DAR.
10 years ago
Dewji Blog13 Jan
Dkt. Kigoda azindua bodi ya uongozi ya chuo cha CBE leo Jijini Dar
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Abdallah Kigoda akisalimiana na viongozi na wafanyakazi wa Chuo cha Elimu ya Biashara kampasi ya Dar es salaam alipowasili chuoni hapo kuzindua Bodi mpya ya uongozi ya Chuo hicho leo.
Na Aron Msigwa –MAELEZO
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Abdallah Kigoda amezindua rasmi Bodi ya Uongozi ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) na kuitaka bodi hiyo kufanya kazi zake kwa kuzingatia sheria na kushirikiana na menejimenti ya chuo hicho kuweka mikakati na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--1r92oX1rO0/U_X2NS38reI/AAAAAAAGBLY/-ZMZhts9VHo/s72-c/unnamed%2B(89).jpg)
Waziri Mkuu kuwa mgeni rasmi mashindano ya Kimataifa ya Wushu
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa mashindano ya Kimataifa ya mchezo wa Wushu (Kung fu) yatakayofanyika hapa nchi kuanzia tarehe 30 hadi 31 katika viwanja vya Mnazi Mmoja.
Hayo yamebainishwa na Rais wa Chama cha Mchezo wa Wushu nchini Mwalami Mitete alipokuwa akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
Katika taarifa yake Mwalami alisema kuwa mashindano hayo yatajumuisha...