WEMA ACHEKELEA KANDAMBILI ZA JOKATE
Stori: Imelda Mtema/Ijumaa Wikienda MBUNIFU wa mavazi na mtangazaji Bongo, Jokate Mwegelo amesababisha shosti yake, Wema Sepetu ‘Madam’ afurahi baada ya kumpelekea zawadi ya kandambili zake za Kidoti pamoja na vipodozi mbalimbali. Jokate alisema Wema ni miongoni mwa watu ambao anawakubali kutokana na mchango mkubwa katika tasnia ya filamu Bongo, hivyo ameamua kumpelekea zawadi ya bidhaa zake za Kidoti...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLJOKATE ACHEKELEA KUMBWAGA LULU
10 years ago
Bongo Movies22 Jan
Vijimambo:Jokate Achekelea Kumbwaga Lulu
Mwanamitindo namuigizaji wa filamu , Jokate Mwegelo ameibuka mshindi kwa urembo na muonekano katika picha zinazoonekana mitandaoni nchini na kumbwaga aliekuwa mshindani wake ,Elizabeth Michael ‘Lulu”.
Kwa mujibu wa GPL, mtandao mmoja wa hapa nchini umeendesha zoezi la kuweka picha zao kali zinazowaonesha wote wawili wakiwa na muonekano na picha kali huku wakiuliza nani zaidi ya mwenzake.Jokate ameibuka mshindi kwa kupigiwa kura tano huku watu wakimsifia kuwa ni wa kimataifa zaidi ambapo...
10 years ago
GPLWEMA, JOKATE WAMZOMEA DIAMOND!
11 years ago
GPLJOKATE AFICHUA SIRI YA KUPATANA NA WEMA
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Wema, Jokate waungana kummaliza Diamond
Staa wa Bongo Fleva, Ali Kiba ‘King Kiba’ na Jokate Mwegelo ‘Kidoti’.
Na Musa Mateja
WAREMBO ‘classic’ ambao ni zao la Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu na Jokate Mwegelo wamedaiwa kuungana pamoja kumsapoti staa wa Bongo Fleva, Ali Kiba ‘King Kiba’ ili kumfunika mpenzi wao wa zamani, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Wema na Jokate ambao kwa nyakati tofauti waliwahi kulitumikia penzi la Diamond, Desemba 26, mwaka huu walipanda kwenye jukwaa la Kiba na kuanza kuonyesha uwezo wao wa...
10 years ago
GPLDIAMOND: WEMA, JOKATE, PENNY WALIGOMA KUNIZALIA
10 years ago
Bongo Movies18 Dec
DIAMOND:Wema, Jokate, Penny Hawakutaka Kuzaa Na Mimi
Akizungumza kwenye kipindi cha Live Chumba cha Habari kinachorushwa na Global TV online, Msanii wa muziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alieleza jinsi wapenzi wake wazamani ambao ni Mwigizaji Wema Sepetu, Jokate Mwegelo na matangazaji Penniel Mungilwa ‘Penny’.
Diamond alifunguka baada ya kuulizwa kwamba amekuwa akitangaza kupenda watoto lakini kwa nini hana hata wa dawa licha ya kuwa na uhusiano na wanawake tofoutitofauti.
Diamond: “Ni kweli napenda watoto lakini siwezi kupata mtoto...