Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijimambo:Jokate Achekelea Kumbwaga Lulu

Mwanamitindo namuigizaji wa filamu , Jokate Mwegelo  ameibuka mshindi kwa urembo na muonekano katika picha zinazoonekana mitandaoni nchini na kumbwaga aliekuwa mshindani wake ,Elizabeth Michael ‘Lulu”.

Kwa mujibu wa GPL, mtandao mmoja wa hapa nchini umeendesha zoezi la kuweka picha zao kali zinazowaonesha wote wawili wakiwa na muonekano na picha kali huku wakiuliza nani zaidi ya mwenzake.Jokate ameibuka mshindi kwa kupigiwa kura tano huku watu wakimsifia kuwa ni wa kimataifa zaidi ambapo...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JOKATE ACHEKELEA KUMBWAGA LULU

Na Hamida Hassan/Amani MWANAMITINDO na dairekta wa lebo ya Kidoti, Jokate Mwegelo amekuwa tishio kwa msanii wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwa urembo na muonekano katika picha zinazoonekana mitandaoni nchini. Mwanamitindo na dairekta wa lebo ya Kidoti, Jokate Mwegelo. Mtandao mmoja wa hapa nchini umeendesha zoezi la kuweka picha zao kali zinazowaonesha wote wawili wakiwa na muonekano na picha kali...

 

10 years ago

GPL

WEMA ACHEKELEA KANDAMBILI ZA JOKATE

Stori: Imelda Mtema/Ijumaa Wikienda
MBUNIFU wa mavazi na mtangazaji Bongo, Jokate Mwegelo amesababisha shosti yake, Wema Sepetu ‘Madam’ afurahi baada ya kumpelekea zawadi ya kandambili zake za Kidoti pamoja na vipodozi mbalimbali.
Jokate alisema Wema ni miongoni mwa watu ambao anawakubali kutokana na mchango mkubwa katika tasnia ya filamu Bongo, hivyo ameamua kumpelekea zawadi  ya bidhaa zake za Kidoti...

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO: Van Vicker Amkumbuka Lulu!!

Jana ilikuwa ni siku ya “Kurusha Nyuma”  yani ThrowBackThrusday (TBT) ambako kwenye mtandao wa INSTAGRAM watu huweka picha za matukio yao ya zamani.

Sasa muongozaji na muigizaji maarufu wa filamu wa nchini Ghana, Van Vicker ambae Alisha kuja hapa nchini na kufanya kazi na baaadhi ya waigizaji wa hapa Bongo, alitupia picha hii akiwa na mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ na kuandika kuwa hiyo ndio TBT  post yake ya kwanza maishani na kuwa tag baadhi ya jamaa zake wa hapa bongo , wakiwemo...

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO: Nikulidhishe Kwani Wewe Unanilidhisha!!!!-Lulu

Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth  Michale ‘Lulu’ amewatolea uvivu baadhi ya followers wake kwenye mtandao wa Instagram ambao huwa wana DIS kila anachokiweka.

Akionyesha hali ya kutokujali, mwanadada huyo alibandika picha hiyo hapo juu mtandaoni  na kundika;

“Lego get em….. Nikuridhishe Kwani we unaniridhisha!???Am Soleeee...!”

Ujumbe ambao uliugwa mkono na followers wengi na kuwa ‘tag’baadhi ya wale ambao kazi yako wao ni kumponda tu bidada huyu.

Nadhani ujumbe umefika!!!.. Ila...

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO: Wanaume Wote Huzaliwa Wakiwa na Usaliti-Lulu

Mrembo na mwigizaji  wa filamu mwenye mvuto zaidi hapa Bongo (kwa mujibu wa mtandao wa  yourbesttop10.com), Elizabeth Michael ‘Lulu’ jana  usiku aliandika bandiko mtandaoni ambalo liliwaacha midomo wazi baadhi ya mashabiki wake akiwashutumu wanaume wote kuwa wamezaliwa wakiwa  tayari wanausaliti na kuwa ni swala la kusubiri ni lini tu atafanya na kuwatahadhalisha wanawake wakaechonjo kwenye mahusiano yao.

Lulu aliandika ujumbe huo kwa lugha ya ‘KIMOMBO’ “All men are born hardwired to...

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO:Steve Nyerere Amganda Mama Lulu Kifuani!!

Aliye kuwa Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steven Nyerere hivi karibuni aliibua miguno baada ya kumganda kifuani mama wa msanii Elizabeth Michael, Lucresia Karugila huku akionekana kutotaka kubanduka mwilini mwa mama huyo.

Tukio hilo lililowafanya watu wabaki wakiwa wamepigwa butwaa, lilijiri ndani ya Hoteli ya Landmark jijini Dar kulikokuwa na uzinduzi wa kitabu cha Marehemu Steven Kanumba kiitwacho The Great Follen Tree.

Awali, waalikwa kwenye sherehe hiyo waliinuka na kwenda kucheza wimbo wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO: Simu ya Mwanaume Naiona Kama Bomu-Lulu

Siku hizi sio kitu cha ajabu kusikia au kuona wapenzi wamegombana na kufikia hadi kuachana kisa simu za mikononi.

Wapo wanaoishi kwenye dhana ya simu ya mkonomni ya mpenzi wako ni simu yako na wapo wanaoishi kwenye dhana ya kila mtu na simu yake na mambo yake hakuna kuchunguza simu ya mwenzio.

Mrembo na mwingizaji, Elizabeth Michael “Lulu” ameweka wazi mtanzamo wake kuhusu simu ya mpenzi wake kwa kusema yeye hawezi kuipekuwa kwani anaiona kama ni bomu.

Lulu aliandika hayo kwenye ukurasa...

 

10 years ago

GPL

MILLARD ABANWA MAHUSIANO NA JOKATE, LULU NA WOLPER

MTANGAZAJI mwenye sauti nzito Bongo kupitia Clouds FM, Millard Ayo, Jumatatu iliyopita alibanwa azungumzie uhusiano wake na warembo wenye majina makubwa nchini, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’,  Jacqueline Wolper na Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambapo alimfungukia mmojammoja. Katika mahojiano maalum na Kipindi cha Sporah Show, mtangazaji alimbana Millard akimtaka aseme ukweli kuhusu warembo hao ambapo  alianza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wema awafunika Jokate, Lulu Pasaka ‘Dar Live’

MSANII maarufu wa filamu nchini, Wema Sepetu ‘Madam,’ ameibuka kidedea katika shindano la msichana mwenye mvuto ‘Ijumaa Sexiest Girl’ na kuwafunika Jokate Mwogelo, Nelly Kamwelu, Jacqueline Wolper na Elizabeth Michael...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani