MILLARD ABANWA MAHUSIANO NA JOKATE, LULU NA WOLPER
![](http://api.ning.com:80/files/PE5R5HwPlsUmlYgLkVkJWbPdQWXmPvXQhmm6xRn*ZWMQSUzXyMWCeTiEnw1UFdkOE6bDsc8SCRl4USDGeqgnJ9LsJTVYVmuF/BACKAMANI.gif?width=750)
MTANGAZAJI mwenye sauti nzito Bongo kupitia Clouds FM, Millard Ayo, Jumatatu iliyopita alibanwa azungumzie uhusiano wake na warembo wenye majina makubwa nchini, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’, Jacqueline Wolper na Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambapo alimfungukia mmojammoja. Katika mahojiano maalum na Kipindi cha Sporah Show, mtangazaji alimbana Millard akimtaka aseme ukweli kuhusu warembo hao ambapo alianza...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies12 Jan
Jokate Akanusha Kutoka na Millard Ayo!
Mwanamitindo na mwigizaji, Jokate Mwegelo ameucho molea vilivyo uvumi uliozagaa kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na mtangazaji Millard Ayo wa Clouds FM.
Uvumi huo ulianzia mitandaoni ambapo mwanahabari wetu alipomtafuta Jokate juzikati, aliweka plain ukaribu wake na Millard ambaye ni mtangazaji mwenye mvuto mkubwa kwa jamii.
“Millard ni mshkaji, namkubali kutokana na uchapakazi wake, anajua kujituma na ni mpambanaji lakini nje ya hapo hakuna cha zaidi,” alisema Jokate.
Picha: Jokate akiwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BKB8rO763wH6p9fvwmeednl8YebFpc4LB6*KzKCtE5OD3CWhxJJmx-qaMf1a7ZttDco4*6gow*iVmHB4Bq7FAGXVIOCMVMND/JOKATE.jpg)
JOKATE:SIJAWAHI ‘BANJUKA’ NA MILLARD AYO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rUrHnDSl8N-21XbOOzHDKOaKYyEZBAC4*cQQhxMQDgCEP4DoAy50*dsxKIKPaHW9ejpJWV*rF8rKWhSPuFy5h7w8haYKgTEq/34.jpg?width=650)
KEKI YA JOKATE KWA MILLARD AYO YAIBUA MAMBO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YRV3Lv4YkEKN*riTkpzr-P31K9ejKc21SFcCDGU1ipmcFpzw-uj1DEtXOlvPP*fnE-EJPJY8btVnEYYpOECJMUIekgrBcUXd/Jokate.jpg)
JOKATE AANIKA MAPENZI YAKE KWA JANUARI, ZITTO NA MILLARD
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVkvQrN2WuwD35r-iKHCD4y631izfBt*uoiGJWhq0fFf4xymWkUgyWC6kW7nsIV9sYYeNIBN4XaUPHYt3G1800j3/1.jpg?width=650)
MZEE MAJUTO, LULU, MILLARD AYO WANG’ARA TUZO ZA WATU
9 years ago
Bongo Movies17 Dec
Lulu Afunguka Juu ya Mahusiano ya Jux na Vanessa Mdee
Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameamua kusema yake ya moyoni kuhusiana na mahusiano ya mastaa wawili wa bongo fleva, Jux na Vanessa kwa kuandika maneno haya kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram mara baada ya kuweka picha ya wawili hao.
![Jux na Vaness Wakiwa Kwenye Pozi](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/jux245.png)
Jux na Vaness Wakiwa Kwenye Pozi
“You can’t Stop Loving Short Girls Ukiona nakudanganya Kamuulize Anko Will Smith
20 years kakwama Kwa Aunty Jada
FAVE COUPLE….ikitoka Yangu Tu hii Ndo inafata
Kuna mijitu itapanic basiSasa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BM3*tIQqFL9CT3H8RGuimrVg0EdB8w61M47OmTL9J7WJWlk5C8up4opYVdGQ2-19DFksraDB*oPB9N0KKElnYCsjh-3A8X8H/Jokate.jpg)
JOKATE ACHEKELEA KUMBWAGA LULU
10 years ago
Bongo Movies22 Jan
Vijimambo:Jokate Achekelea Kumbwaga Lulu
Mwanamitindo namuigizaji wa filamu , Jokate Mwegelo ameibuka mshindi kwa urembo na muonekano katika picha zinazoonekana mitandaoni nchini na kumbwaga aliekuwa mshindani wake ,Elizabeth Michael ‘Lulu”.
Kwa mujibu wa GPL, mtandao mmoja wa hapa nchini umeendesha zoezi la kuweka picha zao kali zinazowaonesha wote wawili wakiwa na muonekano na picha kali huku wakiuliza nani zaidi ya mwenzake.Jokate ameibuka mshindi kwa kupigiwa kura tano huku watu wakimsifia kuwa ni wa kimataifa zaidi ambapo...