WEMA SEPETU ATEMBELEA STUDIO ZA RADIO 5 JIJINI ARUSHA
Wema Sepetu akiwa ndani ya studio za Radio 5 jana mara baada yan kufanya ziara fupi mjengoni hapo akielezea pia kuhusu show yake ya black and white party iliyofanyika jana usiku tarehe 7/3/2015 jijini Arusha kushoto ni mtangazaji mahiri wa kituo hicho Wilfredy akiwa anafanya kipindi na mwanadada huyo, Wanaonekana pichani ni team Wema.(Habari Picha na Pamela Mlollel wa jamiiblog)
Wema Sepetu akiwa anaeleza furaha yake yakuwepo jiji Arusha ambapo amesema jiji la Arusha ni miongoni mwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-23zja8GOkxU/VVJ8n7lqcrI/AAAAAAAHW88/gaLMMN4-dBA/s72-c/11255206_824988637582252_128733885700260836_o.jpg)
ankal atembelea studio za tone online radio station
![](http://3.bp.blogspot.com/-23zja8GOkxU/VVJ8n7lqcrI/AAAAAAAHW88/gaLMMN4-dBA/s640/11255206_824988637582252_128733885700260836_o.jpg)
11 years ago
Michuzi07 Jul
DIAMOND PLATNUMZ ATINGA STUDIO ZA GENN ONLINE RADIO, JIJINI KANSAS, MAREKANI
11 years ago
GPLDIAMOND PLATNUMZ ATINGA NDANI YA STUDIO ZA GENN ONLINE RADIO JIJINI KANSAS,MAREKANI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2maaMQaugg0/U3N9nt5d3EI/AAAAAAAAMXA/yom1ehlujFg/s72-c/IMG-20140514-WA0015.jpg)
MACHIFU 120, MRISHO MPOTO NA WEMA SEPETU KUNOGESHA TAMASHA LA MTU KWAO ARUSHA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/NHdCDRM44Gk/default.jpg)
9 years ago
Bongo Movies18 Nov
Picha: Wema Atembelea Kituo cha Kulelea Watoto Yatima Arusha
Mapema jana staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu aliwatembelea watoto yatima wanaolelewa kwenye kituo cha Good Hope Orphanage kilichopo maeneo ya Usa-River jijini Arusha ambapo staa huyo alitoa msaada wa chakula na vitu mbalimbali kwa watoto hao.
Hizi ni baadhi ya picha za tukio zima alizoziweka kwenye ukurasa wake intsgaram.
Mungu akuzidishie moyo wa huruma Wema Sepetu
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/L87BcYtLJm8/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/F_3krU1MtNQ/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Sep
Kituo cha Radio 5 Arusha — chasaka wasanii wenye vipaji mtaani jijini Dar
Wasanii wenye vipaji vya kuimba wakihakiki majina yao kwa DJ Haazu, wa Radio 5 wakati wa mchakato wa RADIO 5 KAMATA KIPAJI uliofanyika katika viwanja vya TP SINZA Jijini Dar es salaam Septemba 12, 2015.wenye lengo la kusaka vijana wenye vipaji na kuwainua kutokana na vipaji vyao.(PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON-FULLSHANGWEBLOG).
Katika kuonyesha kuwa wapo karibu na vijana wa Kitanzania katika kuwasaidia kuwainua kiuchumi na kiuwezo,kituo cha Radio maarufu kutoka kaskazini mwa Tanzania ARUSHA...