Wenye ulemavu kitendawili kuajiriwa nafasi nyeti nchini
HAKI ya kufanya kazi ni ya msingi na isiyotenganishwa na haki nyingine za kibinadamu ambazo kila mtu aliyefikisha miaka 18 anapaswa kuipata na kunufaika nayo kwa usawa hapa nchini. Kulingana...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Jamii itoe ushirikiano kukomesha mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi nchini
Na. Johary Kachwamba – MAELEZO, DODOMA
JAMII imetakiwa kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi nchini katika kutoa taarifa zitakazo fanikisha kukamatwa kwa wote walioshiriki mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi nchini.
Wito huo umetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Pereira Silima (pichani) bungeni mjini Dodoma alipokuwa akijibu swali la nyongeza la Mhe. Al -Shaimaa Kwegyir, Mbunge wa Viti Maalum aliyehoji kuchelewa kwa taarifa ya kupatikana kwa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SBs9P9S6d5o/XqMJ0TyZgzI/AAAAAAALoHg/vPc1T5L-GrEkivtmRBST74HFRwPWOXZ9ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-24%2Bat%2B8.50.50%2BAM%2B%25281%2529.jpeg)
BILIONI 27.40 ZATUMIKA KUTOA MIKOPO KWA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-SBs9P9S6d5o/XqMJ0TyZgzI/AAAAAAALoHg/vPc1T5L-GrEkivtmRBST74HFRwPWOXZ9ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-24%2Bat%2B8.50.50%2BAM%2B%25281%2529.jpeg)
Charles James, Michuzi TVSERIKALI imesema kiasi cha Sh Bilioni 27.40 kilitolewa na Halmashauri zote nchini kwa ajili ya mikopo ya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu ikiwa ni asilimia 44 ya bajeti ya wanawake, vijana na wenye ulemavu ambayo ni Sh Bilioni 62.40.
Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo imeongoza kutoa mikopo kwa kundi hilo kwa...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Vijana wenye sifa za kuajiriwa wapo vijijini
ASILIMIA 80 ya vijana wenye sifa na uwezo wa kuajiriwa wapo vijijini. Hayo yalielezwa jijini Dar es Salaam jana na Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6NUTDXOWsS4/XnOUOMoTFmI/AAAAAAALkek/vDBppIQbJTMQaXyyu2qXENuiYmi5aVcqwCLcBGAsYHQ/s72-c/99b625c4-e539-4c8c-a622-78ad9c5d861f.jpg)
SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA WAIOMBA SERIKALI KUSAIDIA WATU WENYE UZIWI KUPATA TAARIFA SAHIHI KUHUSU CORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
UONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA )lumesema kwamba uwepo wa tishio la virusi vya Corona (COVID-19) nchini umesababisha hofu kubwa kwa watu wenye uziwi kwani imekuwa ngumu kwao kupata maelekezo na miongozo ya Serikali pamoja na Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jisinsia, Wazee na Watoto.
Umesema kuwa matangazo mengi ambayo yametolewa na Wizara ya Afya yanashindwa kuwafikia watu wenye uziwi kwani hakuna watalaam wa...
11 years ago
Habarileo05 Jun
Walimu wengine wapya 2,219 kuajiriwa nchini
SERIKALI itaajiri walimu wengine wapya wapatao 2,219, kufundisha katika shule za msingi na sekondari nchini. Walimu hao ni mbali na wengine wapya 33,894, ambao wameajiriwa hadi kufikia Mei 30, mwaka huu, Bunge lilielezwa mjini hapa jana.
10 years ago
Habarileo29 Jan
Wenye ulemavu wahimizwa kutojinyanyapaa
WANAFUNZI wenye ulemavu mbalimbali wanaosoma na kulelewa katika kituo cha shule ya msingi Mugeza Museto Manispaa ya Bukoba, mkoani Kagera wameshauriwa kutumia muda wao mwingi katika masomo ili kupata ufaulu mkubwa na kutojinyanyapaa kuwa wao ni tofauti na wengine.
10 years ago
Habarileo12 Aug
Wenye ulemavu watoa ya moyoni
WATU wenye ulemavu wameomba vyama vya siasa kutowachanganya na wasio na ulemavu kwenye kura za maoni kwa ajili ya kuwania nafasi mbalimbali za kisiasa kutokana na ugumu wanaopata katika kushinda nafasi hizo.
10 years ago
Habarileo30 Dec
Wenye ulemavu waomba kusaidiwa
HALMASHAURI ya Jiji la Tanga imeombwa kuangalia uwezekano wa kutenga fedha kwa ajili ya kusaidia manunuzi ya vifaa visaidizi kwa ajili ya watu wenye ulemavu.
11 years ago
Habarileo21 Apr
‘Tembeleeni wenye ulemavu Buhangija’
WAZAZI na walezi waliopeleka watoto wao katika kituo maalumu cha kulelea watoto wenye ulemavu Buhangija katika Manispaa ya Shinyanga, wameombwa kujenga desturi ya kuwatembelea watoto hao.