Wenye Viwanda kuanza mgomo Nigeria.
Nchini Nigeria muungano wa vyama viwili vikuu vya wafanyakazi kwenye sekta ya mafuta wametoa tamko la kuanza kwa mgomo mkubwa wa kitaifa nchini humo. Vyama hivyo kwa kifupi PENGASSAN na NUPENG wameorodhesha mlolongo wa madai ikiwa ni pamoja na migogoro ya kazi na hali mbaya ya usafishaji mafuta nchini humo.
Maafisa wakuu kutoka muungano huo wa vyama vya wafanyakazi wa sekta ya mafuta wameiambia BBC mgomo huo wan chi nzima ndio kwanza umeanza na hautakwisha mpaka hapo serikali ya nchi hiyo...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Wenye maduka watakiwa kuacha mgomo
NAIBU wa Waziri wa Fedha na Uchumi, Mwigulu Nchemba amewaagiza wafanyabiashara wafungue maduka wakati muafaka baina ya wizara na Jumuiya ya Wafanyabiara (JWT) ukiendelea na mazungumzo. Akitoa taarifa kwa waandishi...
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Wenye viwanda Arusha walilia umeme
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiIr9s40Eet-FOz2NIBdsjjpdpTl23aR7Aa6i1SctOEtiuQnLjox8WSjinKtwnPq5fVBYHWMOq6TctRwiS3oNXGr/duka2.jpg?width=650)
MGOMO WA WENYE MADUKA KUPINGA KUPANDISHIWA KODI MJINI MOSHI
11 years ago
Habarileo30 May
Wenye viwanda vya samaki wamsononesha Waziri
WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani ameeleza kusikitishwa kwake na baadhi ya wenye viwanda vya kusindika minofu ya samaki, kununua samaki wasio na sifa kutoka kwa wavuvi.
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Mgao wa umeme watesa wenye viwanda Arusha
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-8Pns2-0qM1s/VdDHb0lqbPI/AAAAAAABUAo/RBKtMTwCuYc/s72-c/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
NAIBU KATIBU WA MADEREVA AZUNGUMZIA MGOMO WAO UNAOPANGWA KUANZA KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-8Pns2-0qM1s/VdDHb0lqbPI/AAAAAAABUAo/RBKtMTwCuYc/s640/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
10 years ago
Mwananchi14 May
Viwanda vya kubangua korosho kuanza kujengwa nchini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Kav7MKgS8Kk/XqU3JGZDJ_I/AAAAAAALoPo/Qlxs5tgoxsgHOXlGUrU_FvDX_rMwreCEACLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
BASHUNGWA AWATAKA WENYE VIWANDA VYA SUKARI KUREJEA MIKATABA YA UBINAFSISHWAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Kav7MKgS8Kk/XqU3JGZDJ_I/AAAAAAALoPo/Qlxs5tgoxsgHOXlGUrU_FvDX_rMwreCEACLcBGAsYHQ/s320/unnamed.jpg)
Mhe. Bashungwa aliyasema hayo mkoani Kilimanjaro alipofanya ziara katika kiwanda cha cha kuzalisha sukari cha TPC ili kujiridhisha na hali ya uzalishaji viwandani hapa.
Kuna viwanda vinne Kagera sugar, Mtibwa Sugar, Kilombero Sugar na TPC wakati vinabinafsishwa vilipewa malengo...
5 years ago
MichuziOSHA, WENYE VIWANDA WAJADILI UTEKELEZAJI WA SHERIA YA AFYA NA USALAMA KAZINI
Ujumbe huo wa viongozi kutoka CTI ambao ulijumuisha baadhi ya wawakilishi wa wanachama wa CTI uliongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa shirikisho hilo, Bw. Leodgar Tenga.Akizungumza baada ya kuhitimisha kikao hicho, Tenga amesema madhumuni ya kikao yalikuwa ni...