Wenyeviti na Wajumbe wa Serikali za Mitaa kutoka katika Majimbo ya Ilala,Ukonga na Segerea waapishwa leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-_cWWelX19EE/VK0Um8tf5BI/AAAAAAAG7yk/tptxCYRRmB4/s72-c/IMG_0131.jpg)
Baadhi ya Wajumbe wa Serikali za Mitaa waliopatikana katika Uchaguzi uliofanyika hivi karibuni kutoka katika Majimbo ya Ilala,Ukonga na Segerea wakila kiapo mbele Wakili wa Serikali kwenye Ukumbi wa Arnautoglo,Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam leo.
Baadhi ya Wenyeviti wa Serikali za Mitaa waliopatikana katika Uchaguzi uliofanyika hivi karibuni kutoka katika Majimbo ya Ilala,Ukonga na Segerea wakila kiapo mbele Wakili wa Serikali (hayupo pichani) kwenye Ukumbi wa Arnautoglo,Mnazi Mmoja jijini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX6LJpPYwhJhkJculANTWe9X35qXMQ5oCclz4*e8V7QmpXs5RIeJ-UiNLBZAxW*u9zMsrPXjVdtyZn117*Eg2ZOD/IMG_0131.jpg?width=750)
WENYEVITI NA WAJUMBE WA SERIKALI ZA MITAA KUTOKA KATIKA MAJIMBO YA ILALA, UKONGA NA SEGEREA WAAPISHWA LEO
9 years ago
Michuzi11 Dec
MADIWANI KUTOKA KATIKA MAJIMBO YA ILALA,UKONGA NA SEGEREA WAAPISHWA, UCHAGUZI WA KUMPATA MEYA NA NAIBU WAAHIRISHWA
Uchaguzi huo ulitakiwa kufanyika jana saa nne lakini kutokana na kuibuka kwa dosari hizo ambazo zilisababisha uchaguzi huo kuahirishwa.Baada ya kuahirishwa kwa uchaguzi huo, Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala ambaye alikuwa mwenyekiti wa uchaguzi John Ngonyani alisema wameamua...
10 years ago
Habarileo07 Jan
Wenyeviti 73 wa mitaa waapishwa
HALMASHAURI ya Mji Kibaha imeapisha wenyeviti wa mitaa 73 na wajumbe 365, ikiwa ni ishara ya viongozi hao kuanza kazi rasmi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GHj0aXUtmGc/VLAljH2GZHI/AAAAAAAG8TQ/8b4wh4h91v8/s72-c/image061.jpg)
TAMKO LA POLISI KUHUSU ZOEZI LA KUAPISHWA KWA WENYEVITI NA WAJUMBE WA SERIKALI ZA MITAA
![](http://4.bp.blogspot.com/-GHj0aXUtmGc/VLAljH2GZHI/AAAAAAAG8TQ/8b4wh4h91v8/s1600/image061.jpg)
Baadhi ya wananchi wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya kihalifu kwa kufanya fujo na vitendo vya vurugu ikiwemo kuwapiga baadhi ya watendaji wanaosimamia zoezi la kuapisha na kuwapiga viongozi wateule...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdg1AmVPKK*nrEyTwX2tOgDKOgfGRB0yPA2CB50ZgVDYBPoRdBQoTQatd6Qp8oBqzSCTBqunyKHtNxn60iHZi1cV/globalwhatsap4.jpg)
VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA WAAPISHWA DAR
10 years ago
Vijimambo07 Jan
Wenyeviti waapishwa kwa mabomu Dar
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Wambura--07Jan2015.jpg)
Hafla ya a kuapisha wenyeviti wateule wa serikali za mitaa wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, jana ilitawaliwa na mapambano na kulilazimisha Jeshi la Polisi kuingilia kati kwa kutumia mabomu kurejesha amani huku likiwatia mbaroni watu saba.
Hafla hiyo iliingia dosari baada ya wananchi kuvamia eneo la uapishaji na kuanza kutembeza mkong’oto na kuwajeruhi wanachama wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa madai...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-am1VyvW3F2w/Xo2oU4ZN40I/AAAAAAALmfo/kZpc20Wgns8geCxF2YrEj_eqaWsKytELwCLcBGAsYHQ/s72-c/ee6a5d1f-f30a-4e81-9eda-a7b8793e9874.jpg)
NIDA ILALA YASEMA IMEPELEKA VITAMBULISHO VINGI SERIKALI ZA MITAA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-am1VyvW3F2w/Xo2oU4ZN40I/AAAAAAALmfo/kZpc20Wgns8geCxF2YrEj_eqaWsKytELwCLcBGAsYHQ/s640/ee6a5d1f-f30a-4e81-9eda-a7b8793e9874.jpg)
Kaimu Msajili wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa Wilaya ya Ilala Bi Zulfa Mnyika akimuonyesha Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Hifadhi Hati wa NIDA Bw. Geofrey Tengeneza baadhi ya vitambulisho ambavyo vilivyopokelewa katika ofisi hiyo kutoka kituo cha kuzalisha vitambulisho kilichoko Kibaha.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/e2fb350d-8040-4f38-90bf-82336c2a7501.jpg)
11 years ago
GPLKUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO, RIDHIWANI KIKWETE NA GODFREY MGIMWA WAAPISHWA