Wenyeviti waapishwa kwa mabomu Dar
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura
Hafla ya a kuapisha wenyeviti wateule wa serikali za mitaa wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, jana ilitawaliwa na mapambano na kulilazimisha Jeshi la Polisi kuingilia kati kwa kutumia mabomu kurejesha amani huku likiwatia mbaroni watu saba.
Hafla hiyo iliingia dosari baada ya wananchi kuvamia eneo la uapishaji na kuanza kutembeza mkong’oto na kuwajeruhi wanachama wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa madai...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo07 Jan
Wenyeviti 73 wa mitaa waapishwa
HALMASHAURI ya Mji Kibaha imeapisha wenyeviti wa mitaa 73 na wajumbe 365, ikiwa ni ishara ya viongozi hao kuanza kazi rasmi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX6LJpPYwhJhkJculANTWe9X35qXMQ5oCclz4*e8V7QmpXs5RIeJ-UiNLBZAxW*u9zMsrPXjVdtyZn117*Eg2ZOD/IMG_0131.jpg?width=750)
WENYEVITI NA WAJUMBE WA SERIKALI ZA MITAA KUTOKA KATIKA MAJIMBO YA ILALA, UKONGA NA SEGEREA WAAPISHWA LEO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_cWWelX19EE/VK0Um8tf5BI/AAAAAAAG7yk/tptxCYRRmB4/s72-c/IMG_0131.jpg)
Wenyeviti na Wajumbe wa Serikali za Mitaa kutoka katika Majimbo ya Ilala,Ukonga na Segerea waapishwa leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-_cWWelX19EE/VK0Um8tf5BI/AAAAAAAG7yk/tptxCYRRmB4/s1600/IMG_0131.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qgh8TD7UzLE/VK0VCpTJ9UI/AAAAAAAG7y8/0KtFnROrgNE/s1600/IMG_0113.jpg)
10 years ago
Mtanzania07 Jan
Ngumi, mabomu uapishaji wenyeviti wa mitaa
Na Aziza Masoud na Ferdnanda Mbamla, Dar es Salaam
ENEO la Riverside Ubungo jijini Dar es Salaam, jana liligeuka uwanja wa mapambano baada ya polisi kutumia risasi za moto na mabomu ya machozi ili kunusuru hafla ya kuapishwa wenyeviti wa Serikali za Mitaa katika Wilaya ya Kinondoni.
Dalili za kuibuka kwa fujo zilianza kuonekana kwa wananchi waliokuwa wamekusanyika nje ya hoteli ya Land Mark ambako hafla hiyo ilipangwa kufanyika, waliokuwa wakipinga kuapishwa kwa waliokuwa wagombea uenyekiti...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdjP5CiMqZxFtcgL01GzKjcLBZ2YgajqtgbxoOeXUK9yArLEHd9daj2QGqqFtk2D8gONPG-uQMYBXvBul*XQyecq/polisi.jpg?width=650)
POLISI DAR WAZIMA VURUGU KWA MABOMU YA MACHOZI
10 years ago
GPLMACHINGA DAR WASAMBARATISHWA KWA MABOMU YA MACHOZI KARUME
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdg1AmVPKK*nrEyTwX2tOgDKOgfGRB0yPA2CB50ZgVDYBPoRdBQoTQatd6Qp8oBqzSCTBqunyKHtNxn60iHZi1cV/globalwhatsap4.jpg)
VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA WAAPISHWA DAR
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Makatibu wakuu na manaibu wao waapishwa Dar