Werema atangaza mkakati mbadala Katiba Mpya
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema
NA AGATHA CHARLES
OFISI ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imevunja ukimya tangu kuanza kwa awamu ya pili ya Bunge Maalumu la Katiba na kutangaza mkakati mbadala endapo Bunge hilo litashindwa kupata Katiba Mpya.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema, alitangaza mkakati huo jana katika mkutano na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Haki na Utawala Bora jijini Dar es Salaam.
Jaji Werema alikuwa akizungumzia hatima ya upatikanaji...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/c3GiyxpKr-I/default.jpg)
10 years ago
Mtanzania13 Sep
Jukata: Sitta, Werema maadui wa Katiba
![Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania Bw, Deus Kibamba](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Deus-Kibamba.jpg)
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania Bw, Deus Kibamba
Na Michael Sarungi, Dar es Salaam
JUKWAA la Katiba Tanzania (Jukata) limesema Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema ni maadui waliosababisha mchakato wa upatikanaji wa Katiba Mpya kuharibika.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Jukata, Deus Kibamba, alisema viongozi hao kwa nyakati tofauti kwa kutumia nyadhifa zao wameshindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0siS8-FppCXkPGFUo0qQzBZB8o-*g9PeqJUANfIlAPNWZ8Ul7-g4aYgdFm-EtaPeGIWbknoforuS5LhtN-knLU7stPYCcvp/jk1.jpg?width=650)
WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTAZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fsQwoxe5BTA/U8gvYerQWpI/AAAAAAAA9qg/Rcd2cfwYkao/s72-c/IMG_1901.jpg)
WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTIZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-fsQwoxe5BTA/U8gvYerQWpI/AAAAAAAA9qg/Rcd2cfwYkao/s1600/IMG_1901.jpg)
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa JUKWAA LA KATIBA juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo. Picha na Cathert Kajuna wa Kajunason Blog
![](http://4.bp.blogspot.com/-sq5B5OozAMU/U8gvn-BR5AI/AAAAAAAA9rI/vAXGlkoA78g/s1600/IMG_1950.jpg)
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.
![](http://3.bp.blogspot.com/-M28s6kVPyoc/U8gviRciOpI/AAAAAAAA9q4/r0qaKcHaND8/s1600/IMG_1936.jpg)
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-McpOCDMYJC8/U8gvfVKJWzI/AAAAAAAA9qw/brBrfUklC2g/s1600/IMG_1920.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LEOwJM6ut50/U8gvb6GfPPI/AAAAAAAA9qo/4nE-b3qltBc/s1600/IMG_1910.jpg)
Wajumbe wa JUKWAA LA KATIBA...
11 years ago
Habarileo20 Feb
Werema: Bunge la Katiba lina mamlaka kurekebisha Rasimu
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amesema wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wana mamlaka ya kurekebisha Rasimu ya Katiba lakini hawawezi kuondoa misingi mikuu ya kitaifa na maadili ya kijamii. Aidha, amesema madai ya kuwapo kwa rasimu vya vyama na makundi mbalimbali ni upotoshaji, ila si vyema kuzipiga mateke, bali wajumbe wazisome.
9 years ago
Bongo505 Oct
Davido atangaza tarehe mpya ya kuachia album yake mpya ‘Baddest’
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Wanawake waweka mkakati Bunge la Katiba
WANAWAKE waliobahatika kuteuliwa kuwa wajumbe wa Bunge la Katiba, wametakiwa kuweka tofauti zao kando wakiwa kwenye vikao vya Bunge hilo na kuhakikisha maslahi yao na watoto yanapewa kipaumbele. Wito huo...
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Mkakati mpya CHADEMA
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetangaza mkakati mpya wa kupiga kambi katika mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara kikidai wananchi wake wametelekezwa kwa makusudi na Serikali ya Chama Cha...
11 years ago
Mwananchi20 Feb
‘Hamuwezi kuunda serikali moja,” Werema awaambia wajumbe wa #Katiba [VIDEO]