Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wezi wa ng’ombe wachomwa moto

Kamanda wa Polisi mkoani Mara, Philipo KalangiWATU watano wamekufa katika matukio matatu tofauti, wakiwemo watatu waliouawa na miili yao kuchomwa moto na wananchi wanaojiita wenye hasira, baada ya kutuhumiwa kuiba ng’ombe 40 katika Wilaya ya Bunda Mkoani Mara.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

VIBAKA WACHOMWA MOTO HADI KUFA

Baadhi ya wananchi wakishuhudia jinsi miili hiyo inavyoteketea. Matairi yaliyotumika kuwachomea vibaka hao yakiungua. Miili hiyo ikiteketea kwa…

 

10 years ago

GPL

WATOTO WACHOMWA MOTO, KISA HAWARA WA BABA

Stori: Shani Ramadhani
INASIKITISHA sana! Vijana wawili, Jumanne Omar (17) na Mgeni Rashidi Rajabu (16) (aliyekuwa mwanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Keko), Dar, wakazi wa Mtoni Madafu, Temeke wameuawa kwa kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali baada ya kudhaniwa kuwa ni wezi. Marehemu Jumanne Omar enzi za uhai wake. Tukio hilo la kinyama lilitokea wiki iliyopita Gongo la Mboto, Dar ambapo kijana...

 

10 years ago

GPL

POLISI WANYANG’ANYWA WATUHUMIWA, WACHOMWA MOTO!

Makongoro Oging

Hii  si poa! Raia wenye hasira, katikati ya wiki iliyopita waliwachukua vijana wawili wanaotuhumiwa kuwa majambazi, waliokuwa mikononi mwa polisi, ambao majina yao yametajwa kuwa ni Mnubi na White kisha kuwateketeza kwa moto baada ya kuwabaini kuwa ndiyo waliohusika na uvamizi na uporaji wa maduka mawili ya huko Mwika-Madukani, Moshi vijijini. Chanzo chetu kililiambia gazeti hili kuwa, vijana hao wakiwa...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZ.....: MOTO WATEKETEZA JENGO MOJA MTAA WA LIVINGSTONE NA NARUNG'OMBE, KARIAKOO HIVI SASA

Moto mkubwa ukiendelea kuteketeza moja ya jengo lililopo kwenye makutano ya Mtaa wa LivingStone na Narung'ombe, Kariakoo jijini Dar es salaam muda huu. Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika mpaka sasa.
Globu ya Jamii inafuatilia tukio hilo taarifa kamili itawajia baadae kidogo.

 

10 years ago

Mwananchi

Unyanyasaji wa kijinsia “Tuwatume wezi wawakamate wezi wenzao”

Kuna usemi wa wahenga usemao “mchawi mpe mwana alee”. Usemi huu una maana kwamba ili umbane na mtu unayehisi ni adui yako, kuwa naye karibu.

 

11 years ago

Dewji Blog

WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma

DSC07688

Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.

Na.Nathaniel Limu-Singida

WAZIRI  wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 7 wachomwa Tanzania

Polisi nchini Tanzania wanasema watu 7 wameuawa kwa kuchomwa katika eneo la Kigoma magharibi mwa nchi hiyo kwa tuhuma za uchawi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mradi wa kopa ng'ombe lipa ng'ombe TZ

Wanawake Tanzania wapiga hatua na kujiimarisha katika mradi wa kopa ng'ombe lipa ng'ombe.

 

10 years ago

Bongo5

YP kuagwa TCC Chang’ombe na kuzikwa kesho (Oct 22) katika makaburi ya Chang’ombe

Msanii wa kundi la Wanaume Family YP aliyefariki usiku wa kuamkia leo kwa ugonjwa wa kifua, anatarajiwa kuagwa kesho (October 22) kwenye viwanja vya TCC Chang’ombe na baada ya hapo atazikwa katika makaburi ya Chang’ombe karibu na maduka mawili. Akizungumza ba BONGO 5 jioni hii, kiongozi wa kundi la TMK Wanaume Family amesema mpaka sasa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani