Watu 7 wachomwa Tanzania
Polisi nchini Tanzania wanasema watu 7 wameuawa kwa kuchomwa katika eneo la Kigoma magharibi mwa nchi hiyo kwa tuhuma za uchawi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo26 Mar
Wezi wa ng’ombe wachomwa moto
WATU watano wamekufa katika matukio matatu tofauti, wakiwemo watatu waliouawa na miili yao kuchomwa moto na wananchi wanaojiita wenye hasira, baada ya kutuhumiwa kuiba ng’ombe 40 katika Wilaya ya Bunda Mkoani Mara.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k597Gy8eW*UjH3BUcmkv*75dzCn1oGWYcFMkE4qLCullfEFkJfcc-hbPKDoBWg0WadnRn07X-EMzeMN6i7m3HLqYqLf3LClD/5.jpg)
VIBAKA WACHOMWA MOTO HADI KUFA
Baadhi ya wananchi wakishuhudia jinsi miili hiyo inavyoteketea. Matairi yaliyotumika kuwachomea vibaka hao yakiungua. Miili hiyo ikiteketea kwa…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HMrNkLH2ZKMEMkOhuuqTEeER6Utz40R3HUPHihib8LGTN2*VZhMU2P8OoHlIrHOpldXJ1fKNktyNfczFV0Laiyj7sSHVct*v/Watoto.jpg?width=650)
WATOTO WACHOMWA MOTO, KISA HAWARA WA BABA
Stori: Shani Ramadhani
INASIKITISHA sana! Vijana wawili, Jumanne Omar (17) na Mgeni Rashidi Rajabu (16) (aliyekuwa mwanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Keko), Dar, wakazi wa Mtoni Madafu, Temeke wameuawa kwa kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali baada ya kudhaniwa kuwa ni wezi. Marehemu Jumanne Omar enzi za uhai wake. Tukio hilo la kinyama lilitokea wiki iliyopita Gongo la Mboto, Dar ambapo kijana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGjgPH8*8vm7wnyUQV7VOISthMru36vU-VdjE*lcmFtEWlT5kXr-rWJlmFx-gsrkVNX*3s9KtndPLKqFw*UoDAq3YJEfEVTv/wachomwa2.jpg)
POLISI WANYANG’ANYWA WATUHUMIWA, WACHOMWA MOTO!
Makongoro Oging
Hii si poa! Raia wenye hasira, katikati ya wiki iliyopita waliwachukua vijana wawili wanaotuhumiwa kuwa majambazi, waliokuwa mikononi mwa polisi, ambao majina yao yametajwa kuwa ni Mnubi na White kisha kuwateketeza kwa moto baada ya kuwabaini kuwa ndiyo waliohusika na uvamizi na uporaji wa maduka mawili ya huko Mwika-Madukani, Moshi vijijini. Chanzo chetu kililiambia gazeti hili kuwa, vijana hao wakiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6NUTDXOWsS4/XnOUOMoTFmI/AAAAAAALkek/vDBppIQbJTMQaXyyu2qXENuiYmi5aVcqwCLcBGAsYHQ/s72-c/99b625c4-e539-4c8c-a622-78ad9c5d861f.jpg)
SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA WAIOMBA SERIKALI KUSAIDIA WATU WENYE UZIWI KUPATA TAARIFA SAHIHI KUHUSU CORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
UONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA )lumesema kwamba uwepo wa tishio la virusi vya Corona (COVID-19) nchini umesababisha hofu kubwa kwa watu wenye uziwi kwani imekuwa ngumu kwao kupata maelekezo na miongozo ya Serikali pamoja na Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jisinsia, Wazee na Watoto.
Umesema kuwa matangazo mengi ambayo yametolewa na Wizara ya Afya yanashindwa kuwafikia watu wenye uziwi kwani hakuna watalaam wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-o_Idj3WB4sI/VRRKd0JLjFI/AAAAAAAHNgo/UQLXYibPrmY/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
11 years ago
BBCSwahili30 Jul
Ajali yaua watu 17 Tanzania
Watu 17 wamekufa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea mkoa wa Dodoma katikati mwa Tanzania.
10 years ago
BBCSwahili09 May
Mafuriko yawaua watu 8 Tanzania
Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbali mbali ya Tanzania zimesababisha vifo vya watu wasiopungua wanane
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Mafuriko yawaua watu 38 Tanzania
Mafuriko mabaya kazkazini magharibi mwa Tanzania yamewaua takriban watu 38.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania