Wezi wenye funguo bandia watinga Dodoma
>Kundi la wezi wanaotumia funguo bandia kufungua milango ya vyumba katika nyumba za kulala wageni limevamia mjini Dodoma likilenga wageni waliopanga katika nyumba mbalimbali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Mguu bandia wenye hisia wazinduliwa
10 years ago
Vijimambo19 Feb
BODI YA BARABARA MKOA WA DODOMA YAZITAKA HALMASHAURI ZA WILAYA DODOMA KUCHAGUA WAKANDARASI WENYE UWEZO
11 years ago
Dewji Blog11 Apr
Timu ya Watoto wa Mitaani (TSC) watinga Bungeni mjini Dodoma
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Habib Mnyaa akitoa ufafanuzi leo kuhusu maoni ya taarifa ya Kamati Namba Moja ya Bunge la Maalum la Katiba.
Mwenyekiti wa Kamati Namba Kumi na Moja ya Bunge Maalum la Katiba, Anna Kilango Malecela akiwasilisha leo taarifa ya Kamati yake kuhusu Sura ya kwanza na sura ya sita ya Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Timu ya Watoto wa Mitaani (TSC) ikiwa katika ukumbi wa Bunge mjini Dodoma mara baada ya timu hiyo na...
10 years ago
MichuziBODI YA BARABARA MKOA WA DODOMA YAZITAKA HALMASHAURI ZA WILAYA DODOMA KUCHAGUA WAKANDARASI WENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI WANAPOTOA KANDARASI
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Dewji Blog09 Mar
Kinana, Nape wazidi kukata mbuga ziara ya Dodoma, leo watinga Chamwino
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (katikati), akishiriki kuchimba shimo la choo cha Shule Mpya ya Msingi ya Kikwete, eneo l;a Chamwino Ikulu, Jimbo la Chilonwa wakati wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, katika Wilaya ya Chamwino, Mkoa wa Dodoma leo.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akivishwa chombo chenye dawa aliposhiriki kupulizia dawa za kuua wadudu katika mradi wa shamba la zabibueneo la Chinangali...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Unyanyasaji wa kijinsia “Tuwatume wezi wawakamate wezi wenzao”
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma
Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.
Na.Nathaniel Limu-Singida
WAZIRI wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Funguo nne za ulinzi wa afya yako
10 years ago
Mwananchi14 Nov
‘Dereva asiyeweza, arudishe funguo zetu’