Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wezi wenye funguo bandia watinga Dodoma

>Kundi la wezi wanaotumia funguo bandia kufungua milango ya vyumba katika nyumba za kulala wageni limevamia mjini Dodoma likilenga wageni waliopanga katika nyumba mbalimbali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mguu bandia wenye hisia wazinduliwa

Watafiti katika chuo kikuu nchini Austria wamevumbua mguu bandia wa kwanza duniani wenye hisia halisi za binadamu.

 

10 years ago

Vijimambo

BODI YA BARABARA MKOA WA DODOMA YAZITAKA HALMASHAURI ZA WILAYA DODOMA KUCHAGUA WAKANDARASI WENYE UWEZO

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Bodi ya Barabara ya Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akifugua Mkutano wa bodi hiyo Feb. 17,2015 Mjini Dodoma.Wajumbe wa Bodi ya barabara ya Mkoa wa Dodoma wakimsikiliza mwenyekiti wa Bodi Mhe. Chiku Gallawa wakati akifungua Mkutano wa kwanza wa Bodi hiyo kwa mwaka 2015 mjini Dodoma Feb. 17.Meneja wa Wakala wa Barabara-TANROADS Mkoa wa Dodoma mhandisi Leonard Chimagu akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa miradi ya barabara inayotekelezwa na TANROADS...

 

11 years ago

Dewji Blog

Timu ya Watoto wa Mitaani (TSC) watinga Bungeni mjini Dodoma

injinia

 

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Habib  Mnyaa akitoa ufafanuzi  leo kuhusu  maoni  ya  taarifa ya Kamati Namba Moja ya Bunge la Maalum la Katiba.  

kilango

Mwenyekiti  wa Kamati Namba  Kumi na Moja  ya Bunge Maalum  la Katiba, Anna Kilango Malecela akiwasilisha leo  taarifa ya Kamati yake kuhusu Sura ya kwanza na sura ya sita ya Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

bingwa

Timu ya Watoto wa Mitaani (TSC) ikiwa katika ukumbi wa Bunge mjini Dodoma mara baada ya  timu  hiyo na...

 

10 years ago

Michuzi

BODI YA BARABARA MKOA WA DODOMA YAZITAKA HALMASHAURI ZA WILAYA DODOMA KUCHAGUA WAKANDARASI WENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI WANAPOTOA KANDARASI

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Bodi ya Barabara ya Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akifugua Mkutano wa bodi hiyo Feb. 17,2015 Mjini Dodoma.Wajumbe wa Bodi ya barabara ya Mkoa wa Dodoma wakimsikiliza mwenyekiti wa Bodi Mhe. Chiku Gallawa wakati akifungua Mkutano wa kwanza wa Bodi hiyo kwa mwaka 2015 mjini Dodoma Feb. 17.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana, Nape wazidi kukata mbuga ziara ya Dodoma, leo watinga Chamwino

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (katikati), akishiriki kuchimba shimo la choo cha Shule Mpya ya Msingi ya Kikwete, eneo l;a Chamwino Ikulu, Jimbo la Chilonwa wakati wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, katika Wilaya ya Chamwino, Mkoa wa Dodoma leo.

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akivishwa chombo chenye dawa aliposhiriki kupulizia dawa za kuua wadudu katika mradi wa shamba la zabibueneo la Chinangali...

 

10 years ago

Mwananchi

Unyanyasaji wa kijinsia “Tuwatume wezi wawakamate wezi wenzao”

Kuna usemi wa wahenga usemao “mchawi mpe mwana alee”. Usemi huu una maana kwamba ili umbane na mtu unayehisi ni adui yako, kuwa naye karibu.

 

11 years ago

Dewji Blog

WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma

DSC07688

Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.

Na.Nathaniel Limu-Singida

WAZIRI  wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...

 

9 years ago

Mwananchi

Funguo nne za ulinzi wa afya yako

Ili mtu awe na afya nzuri, anahitaji chakula chenye lishe bora. Mtu anahitaji kula vyakula vya kujenga mwili, kuupa mwili nguvu na kulinda mwili.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Dereva asiyeweza, arudishe funguo zetu’

Madereva wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (Uda) jana waligoma kwa mara nyingine kutoa huduma kwa madai ya kutaka kupunguziwa gharama za hesabu za kila siku kutoka Sh205,000 hadi Sh170,000, huku wakitakiwa kwenda njia wanazopangiwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani