What next for shishi baby?
Last week the National Arts Council (Basata) slapped a ban on Bongo Flava artiste Shilole for what they called an inappropriate behaviour while on a tour in Belgium in May.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa7urpd2jGqhrt6Lz-tN*L04GcTrt6*wLZPiw5v*flbW7DUpf1LD9kFNCu97DX0JJq72p0DtfbiUlQnkOIMe4zWj/shishi.jpg)
SHISHI BABY BARNABA MAHABA TENA?
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Shishi Baby: Muziki kwanza, Filamu baadaye
10 years ago
VijimamboSHILOLE SHISHI BABY ALIPOFANYA KWELI UBELGIJI
kwa picha zaidi bofya soma zaidi
10 years ago
Dewji Blog24 Nov
Shilole Shishi Baby atua Ubelgiji kwa kishindo…Ijumaa atafanya show Leuven na Jumamosi Brussel
Furaha ilishika nafasi pale mwanadada Shilole alipowasili uwanja wa kimataifa wa ndege wa Zaventem jijini Brussel.
Msanii Shishi Baby Shilole akipata picha na mmoja wa sapota wake bidada Latifa
11 years ago
GPL10 Mar
GLOBAL TV ONLINE; MTU KATI NA SHILOLE 'SHISHI BABY'
10 years ago
Bongo Movies10 May
Ukistaajabu Ile Tattoo ‘Shishi baby’ kwa Mziwanda Jionee Hii ya ‘Irene Uwoya’ kwa Vjaymapenzi!
Katika hali ya kuonyesha hisia zake kwa staa wa bongo movies, Irene Uwoya kijana anayejiita Vjaymapenzi amejichora tattoo yenye jina la staa huyo mkononi na kufunguka haya mtandaoni.
“Itatokea kwa iman yenye uvumilivu wa wazi maana unaeza jizuia kwenda haja lakini sio kujizuia kumpenda mtu alitunukiwa ndani ya moyo wako na nafsi ikamkubali...ni rahisi sana kuwa tayara kwa lolote sababu chaguo la moyo ni chaguo la furaha na faraja ya maisha...kumpenda Irene Uwoya ni ugonjwa wangu na sijui...
10 years ago
Bongo Movies23 May
Lulu: Wanaonipenda Kweli, Wanafiki na Wale Baby Baby NAWAJUA
Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameandika haya kwenye ukurasa wake mtandaoni, bila shaka na wewe ANAKUJUA.
Mnaonipa Moyo na Kunipenda kiukweli....NAWAJUA
Wakuongea Nao Ya Moyoni....NAWAJUA
Wale wa kuni baby baby on IG kumbe Hakuna lolote....NAWAJUA
Wale mnajifanya shoulders to cry on ili mpate kunijua kirahisi...NAWAJUA ila SIWEZI KUWAPA HIYO CHANCE AISEEE...I'm Soleeeeee
Wale tunaochekeana kinafki...NAWAJUA I hope MNANIJUA PIA yani TUNAJUANA
Wale Waukweli kbsa ....NAWAJUA
9 years ago
Bongo Movies10 Sep
Penzi la Nuh na Shishi Studioni
Penzi lililopo juu kwa sasa kati ya Shilole na Nuh Mziwanda, limemehamasishwa sana na muziki huo ambapo wawili hawa walikutana Studio ambapo Nuh alilianza kujenga mazoea ambayo baadae yaligeuka kuwa mahusiano ya mapenzi.
Taarifa hizo za ndani zinaweka wazi na Nuh ambaye anaeleza kuwa, katika kipindi hicho alikuwa akiish studio, na kukutana kwake na Shilole kwa mara ya kwanza hakukuwa na nia yoyote ya kimapenzi mpaka kukolea sana katika kufanya kazi za kimuziki, kufikia hatua ya 'ku-misiana'...