Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WHO : Waanda mkutano wa Ebola Geneva

Shirika la afya Ulimwenguni WHO limeandaa mkutano wa siku mbili Geneva Uswis kupanga mikakati dhid ya Ebola

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Vitisho kwenye mkutano wa Syria Geneva

Waziri wa mambo ya nje wa Syria, Walid Muallem, ametoa tisho la kujiondoa kwenye mazungumzo ikiwa hakuna hatua zitakazokuwa zimefikiwa Jumamosi

 

11 years ago

Michuzi

Mkutano wa 67 wa WHA wafunguliwa leo Jijini Geneva,Uswiss

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Mh Dkt. Seif Rashid na Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Mh. Dkt. Juma Duni wakifuatilia kwa Makini Mkutano wa 67 wa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHA) uliofunguliwa leo Jijini Geneva,Uswiss na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Dr Margareth Chang.Mada kuu ya Mkutano wa mwaka huu ni "The link between climate and health" yaani Uhusiano kati ya mabadiliko ya tabia nchi na Afya.Vile vile pamoja na Mada nyingi zitakazozungumziwa katika...

 

11 years ago

Michuzi

Mkutano wa World Health Assembly waendelea Geneva Uswisi

Waziri wa Afya na ustawi wa Jamii Dkt.Seif Rashid (MB) amehutubia katika mkutano wa 67 wa shirika la Afya Duniani, katika hotuba yake alieleza mafanikio mbalimbali yaliyofikiwa na Tanzania katika sekta ya Afya.Baadhi ya mambo aliyoyaeleza ni Pamoja na mafanikio ya utekelezaji wa Malengo ya millennia hususani lengo la milenia namba nne linalohusu upunguzaji wa vifo vya watoto.vile Vile alieleza mafanikio yaliyofikiwa katika kapunguza maambukizi ya virus Vya ukimwi kutoka asilimia 5.7...

 

10 years ago

Michuzi

Ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa mabadiliko ya Tabia nchi mjini Geneva

Ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa mabadiliko ya Tabia nchi mjini Geneva pamoja na Balozi wa Tanzania anaetuwakilisha nchini Uswiss na Vienna. Mh Modest Mero. 

 

10 years ago

Michuzi

MKUTANO MKUU WA 104 WA SHIRIKA LA KAZI DUNIANI (ILO), GENEVA 2015

Waziri wa Kazi na Ajira, Mh. Gaudentia Kabaka (Kulia) na Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Mhandisi Zebadiah Moshi (Kushoto) wakifuatilia majadiliano kwenye Mkutano wa Shirika la Kazi Duniani (ILO) unaofanyika Geneva, Uswizi. Mada Kuu katika Mkutano huo ambao umehudhuriwa na wajumbe zaidi ya 2000 kutoka mataifa mbalimbali ulimwenguni ni Mchakato wa Kurasimisha Sekta Isiyo Rasmi na Mchango wa Ujasiriamali wa Kati na Mdogo katika Kutengeneza Ajira. Waziri Kabaka aliuhutubia Mkutano huo...

 

9 years ago

Michuzi

ushiriki wa Tanzania katika Mkutano wa Shirika la Msalaba Mwekundu Duniani jijini Geneva

Pichani ni ushiriki wa Tanzania katika Mkutano wa Shirika la Msalaba Mwekundu Duniani ambao Rais wa Msalaba Mwekundu Tanzania ambapo Dr. Zainab Amir Gama na Mh. Balozi Modest Mero wanashiriki jijini Geneva Uswisi.  Mkutano hio ulioanza tarehe 4 Desemba na utaisha leo tarehe 10 Disemba 2015.  Huu ni mkutano mkuu wa Msalaba Mwekundu na Hilari Nyekundu wa dunia ambao maudhui ya mkutano huu ni mjadala na maamuzi ya uongozi, amani, uhamiaji na  unyanyasaji wa wanawake na watoto,  mpango wa...

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania yawakilishwa katika Mkutano wa Wabunge Vijana kutoka Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Mjini Geneva,Uswis

Ujumbe wa Tanzania ukifuatilia kwa Makini Mada zilizokuwa zikiwasilishwa katika Mkutano wa Wabunge Vijana kutoka Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) unaofanyika Mjini Geneva Uswis. Kutoka kulia ni Mhe. Ester Bulaya, Mhe. Godfrey Mgimwa na Mhe. Neema Hamid. Mkutano huo pamoja na Mauala mengine unajadili changamoto wanazokabiliana nazo Wabunge Vijana hususani wanawake katika siasa. Mkutano huo ukiendelea.Ujumbe wa Tanzania ukiwa katika Picha ya Pamoja baada ya Kumalizika kwa siku ya Kwanza ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola:WHO laanda mkutano wa dharura

Shirika la afya duniani leo linaongoza mkutano wa kamati yake ya dharura kutathmini hali ya hivi karibuni kusiana na mlipuko wa Ebola .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani