Wiki ya shida
Ni wiki ya shida. Wiki hii inatarajiwa kuwa ya vikao mfululizo na mijadala isiyokoma. Ndiyo wiki inayotarajiwa kuuweka hadharani mtikisiko wa tano katika Serikali ya Rais Jakaya Kikwete wakati ripoti ya uchunguzi wa sakata la IPTL itakapowasilishwa rasmi kwa wabunge na Taifa kwa jumla mjini Dodoma keshokutwa na kuhitimisha minong’ono na uvumi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMAADHIMISHO YA 23 YA WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA KITAIFA YAFIKIA KILELE MJINI DODOMA MWISHONI MWA WIKI
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/KCjDqGqyYH8/default.jpg)
9 years ago
StarTV19 Aug
Ni shida Man U ya Ua
Mashetani wekundu, Manchester United wameibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Club Brugge ya Ubelgiji katika mechi ya kwanza ya raundi ya mwisho ya mchujo wa Uefa Champions League iliyopigwa usiku huu uwanja wa Old Trafford.
Mapema dakika ya 8′, kiungo wa Man United, Michael Carrick alijifunga na kuwapa goli la bure Brugge, lakini nyota mpya Memphis Depay alifuta bao hilo dakika ya 13′.
Dakika ya 43′, Depay akarudi tena kambani akiandika goli la ushindi kwa kikosi cha Louis van Gaal.
Dakika ya...
10 years ago
Mwananchi08 May
Mwaka wa shida
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Unene, shida na matibabu
10 years ago
VijimamboSUPER BOWL NI SHIDA
Jamaa ilibidi aingie na tv chooni kwani akupenda kupitwa japo kidogo na uhondo Chezea super bowl wewe .
9 years ago
Habarileo15 Nov
Ndoa za Watanzania ni shida!
UTAFITI wa aina yake kuhusu unyanyasaji wa kijinsia, uliohoji wanawake hasa wanandoa, umebaini taasisi hiyo muhimu katika jamii, inakabiliwa na migogoro inayochangiwa zaidi na wivu wa waume, huku wanaume wa Morogoro wakiongoza nchini kwa kuonea wivu wake zao.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-EMXI7Yuv2Ho/VNBo3qxzP-I/AAAAAAADXSY/fxhpTb2guD4/s72-c/10394129_10152988323703808_41597528741957164_n.jpg)
POLISI TANZANIA NI SHIDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-EMXI7Yuv2Ho/VNBo3qxzP-I/AAAAAAADXSY/fxhpTb2guD4/s1600/10394129_10152988323703808_41597528741957164_n.jpg)
Aki hawa police wanatumia operating system mpya inaitwa kusanya pesa, yaani hawaongei ni kuandika tu..BTW kila polisi ana kitabu..mwaka huu mpaka ifike october kila mtu ataelewa....good morning Tanzania.