Ni shida Man U ya Ua
Mashetani wekundu, Manchester United wameibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Club Brugge ya Ubelgiji katika mechi ya kwanza ya raundi ya mwisho ya mchujo wa Uefa Champions League iliyopigwa usiku huu uwanja wa Old Trafford.
Mapema dakika ya 8′, kiungo wa Man United, Michael Carrick alijifunga na kuwapa goli la bure Brugge, lakini nyota mpya Memphis Depay alifuta bao hilo dakika ya 13′.
Dakika ya 43′, Depay akarudi tena kambani akiandika goli la ushindi kwa kikosi cha Louis van Gaal.
Dakika ya...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Wiki ya shida
10 years ago
Mwananchi08 May
Mwaka wa shida
9 years ago
Habarileo15 Nov
Ndoa za Watanzania ni shida!
UTAFITI wa aina yake kuhusu unyanyasaji wa kijinsia, uliohoji wanawake hasa wanandoa, umebaini taasisi hiyo muhimu katika jamii, inakabiliwa na migogoro inayochangiwa zaidi na wivu wa waume, huku wanaume wa Morogoro wakiongoza nchini kwa kuonea wivu wake zao.
10 years ago
VijimamboSUPER BOWL NI SHIDA
Jamaa ilibidi aingie na tv chooni kwani akupenda kupitwa japo kidogo na uhondo Chezea super bowl wewe .
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-EMXI7Yuv2Ho/VNBo3qxzP-I/AAAAAAADXSY/fxhpTb2guD4/s72-c/10394129_10152988323703808_41597528741957164_n.jpg)
POLISI TANZANIA NI SHIDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-EMXI7Yuv2Ho/VNBo3qxzP-I/AAAAAAADXSY/fxhpTb2guD4/s1600/10394129_10152988323703808_41597528741957164_n.jpg)
Aki hawa police wanatumia operating system mpya inaitwa kusanya pesa, yaani hawaongei ni kuandika tu..BTW kila polisi ana kitabu..mwaka huu mpaka ifike october kila mtu ataelewa....good morning Tanzania.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-102jFb-3gU8/VN2LATN7IsI/AAAAAAADYCU/Wj1mxtcXMfE/s72-c/VUNJO.jpg)
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Unene, shida na matibabu
9 years ago
Mwananchi01 Oct
NEC: Chadema inatupa shida
11 years ago
Habarileo16 Mar
‘Shida ya Muungano mapato, inarekebishika’
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba na Mbunge wa Tandahimba, Juma Njwayo amesema Muungano ni mzuri, licha ya kuwa na changamoto mbalimbali, lakini maeneo yanayoonekana shida ni masuala ya mapato jambo ambalo Katiba inaweza kutoa ufumbuzi.