‘Shida ya Muungano mapato, inarekebishika’
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba na Mbunge wa Tandahimba, Juma Njwayo amesema Muungano ni mzuri, licha ya kuwa na changamoto mbalimbali, lakini maeneo yanayoonekana shida ni masuala ya mapato jambo ambalo Katiba inaweza kutoa ufumbuzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo13 May
Mapato ya Muungano Zanzibar hadharani
FEDHA zinazopelekwa Zanzibar kutoka Serikali ya Jamhuri ya Muungano kwa ajili ya kusaidia shughuli mbalimbali za kibajeti, kiuchumi na kijamii, zimewekwa wazi ambapo miongoni mwake zipo zinazotokana na Malipo ya Kodi ya Mishahara (Paye).
11 years ago
Mwananchi04 Jun
KUTOKA ZANZIBAR: Yako wapi mapato ya Zanzibar katika Muungano?
9 years ago
Dewji Blog20 Nov
Serikali za Mitaa zaongeza mapato kupitia mfumo wa ukusanyaji Mapato kwa njia ya Kielektroniki
Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI Bi. Rebecca Kwandu akifurahia jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam wakati akiwaeleza mafanikio ya mfumo wa ukusanyaji mapato kwa njia ya kielektroniki katika mamlaka za Serikali za Mitaa (LGRCIS). Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya TEHAMA wa ofisi hiyo Bw. Mtani Yangwe na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.
Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya...
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Tanganyika kuwamo ndani ya Katiba ya Muungano bila Zanzibar ni kuua Muungano
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Wiki ya shida
9 years ago
StarTV19 Aug
Ni shida Man U ya Ua
Mashetani wekundu, Manchester United wameibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Club Brugge ya Ubelgiji katika mechi ya kwanza ya raundi ya mwisho ya mchujo wa Uefa Champions League iliyopigwa usiku huu uwanja wa Old Trafford.
Mapema dakika ya 8′, kiungo wa Man United, Michael Carrick alijifunga na kuwapa goli la bure Brugge, lakini nyota mpya Memphis Depay alifuta bao hilo dakika ya 13′.
Dakika ya 43′, Depay akarudi tena kambani akiandika goli la ushindi kwa kikosi cha Louis van Gaal.
Dakika ya...
10 years ago
Mwananchi08 May
Mwaka wa shida
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-EMXI7Yuv2Ho/VNBo3qxzP-I/AAAAAAADXSY/fxhpTb2guD4/s72-c/10394129_10152988323703808_41597528741957164_n.jpg)
POLISI TANZANIA NI SHIDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-EMXI7Yuv2Ho/VNBo3qxzP-I/AAAAAAADXSY/fxhpTb2guD4/s1600/10394129_10152988323703808_41597528741957164_n.jpg)
Aki hawa police wanatumia operating system mpya inaitwa kusanya pesa, yaani hawaongei ni kuandika tu..BTW kila polisi ana kitabu..mwaka huu mpaka ifike october kila mtu ataelewa....good morning Tanzania.
10 years ago
VijimamboSUPER BOWL NI SHIDA
Jamaa ilibidi aingie na tv chooni kwani akupenda kupitwa japo kidogo na uhondo Chezea super bowl wewe .