Wilaya ya Siha Kilimanjaro yatajwa kukithiri Ukatili Wa Kijinsia
Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro inatajwa kuwa miongoni mwa wilaya zilizokithiri kwa ukatili wa kijinsia hususani kwa wasichana walio chini ya miaka 18 kutokana na baadhi ya Wazazi kuthamini fedha katika utoaji mahari kwa wasichana kuliko kujali utu.
Kwa mujibu wa takwimu za shirika la Kwieco kwa mwaka 2015, wilaya hiyo inaongoza kwa kuwa na asilimia 19 ya matukio yaliyothamini zaidi mahari kuliko utu, ikifuatiwa na wilaya ya Rombo yenye asilimia 13 wilaya nyingine zikiwa chini ya asilimia...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Ripoti ya Tawla yabaini kukithiri kwa ukatili wa kijinsia
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7r9N0eEmMH0/VlaVbDHcMkI/AAAAAAAAXCA/cfzdfNVmpds/s72-c/IMG_9494%2B%25281024x683%2529.jpg)
WAKAZI WA MIKOA YA MANYARA,ARUSHA NA KILIMANJARO WAJITOKEZA UZINDUZI WA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-7r9N0eEmMH0/VlaVbDHcMkI/AAAAAAAAXCA/cfzdfNVmpds/s640/IMG_9494%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JEgrZSZWn5E/VlaV_wrCiOI/AAAAAAAAXC8/-XhaucDllK4/s640/IMG_9570%2B%25281024x683%2529.jpg)
Wanafunzi wa kozi ya awali ya Askari Polisi kutoka shule ya Polisi Tanania wakiwa katika manda,ano ya uzinduzi wa siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia Kanda ya Kaskazini.
![](http://4.bp.blogspot.com/-9jZWwotjStE/VlaWx89VK3I/AAAAAAAAXEM/adAJkRfvGQg/s640/IMG_9602%2B%25281024x683%2529.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Ukatili wa kijinsia ukomeshwe
MASHIRIKA matano yanayojishughulisha na utetezi wa haki za kijinsia kupitia mradi wao wa GEWE II, ambao ni mpango wa kutokomeza ukatili na unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto...
11 years ago
Habarileo20 Feb
Ukatili wa kijinsia wachochea Ukimwi
IMEELEZWA kuwa ukatili wa kijinsia ni mojawapo ya njia kuu inayoeneza Ukimwi na ongezeko lolote la vitendo hivyo linachochea pia ongezeko la maambukizo. Kauli hiyo imetolewa na Meneja mradi wa kupambana na ukatili wa kijinsia ili kupunguza maambukizi ya virusi vya Ukimwi, Muhammad Hassan kutoka Shirika la WOWAP.
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Ukatili wa kijinsia unakandamiza wanawake
UKATILI wa kijinsia ni msemo mpana sana. Unagusa binadamu wote wanawake na wanaume. Lakini ni ukweli usiopingika kwamba ukatili wa kijinsia unawaathiri kwa asilimia kubwa wanawake na wasichana kuliko ilivyo...
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
Ukatili wa kijinsia jeshini ukomeshwe
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Fahamu aina za ukatili wa kijinsia
UKATILI wa kijinsia ni jambo kubwa kwenye ajenda za haki za binadamu kimataifa, na unaweza kuwapata wanaume, wanawake na watoo ambao ndio waathirika wakubwa. Hali hii inatokana na mifumo mbalimbali...
11 years ago
Mwananchi08 Mar
‘Tuungane kupinga ukatili wa kijinsia’
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Mwanamke anayepambana na ukatili wa kijinsia