Wito wa kumaliza vita hausikizwi S-Sudan
Wito wa kimataifa kwa watu wa Sudan Kusini kurejesha amani haukusikizwa bado, huku askari wa kimataifa watarajiwa kuongezwa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili29 Feb
Vita vya Afghan: Marekani na Taliban watia saini kumaliza vita vya miezi 18
Marekani na washirika wake wa Nato wamekubaiana kuondoa vikosu vyote ikiwa Talibanitatimiza ahadi yake
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
Wito watolewa silaha zisiuzwe Sudan Kusini
Mashirika ya kutoa misaada yametoa wito wa kutaka kusitishwa kuuzwa kwa silaha kwa Sudan Kusini ambapo mapigano yamechacha
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
SPLM kumaliza mgogoro Sudan Kusini
Vikundi vinavyopingana nchini Sudan Kusini vimesaini mkataba wa amani nchini Tanzania, ukilenga kumaliza mgogoro ulioua maelfu ya watu katika taifa hilo
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
UN: Vita visitishwe Sudan Kusini
Mkuu wa vikosi vya kulinda amani vya UN, Sudan Kusini, ametoa wito wa kusitishwa kwa mapigano nchini humo.
9 years ago
BBCSwahili29 Aug
Usitishwaji vita watangazwa Sudan.K
Kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini Riek Machar ametangaza usitishwaji vita wa kudumu kuanzia usiku wa manane hii leo Jumamosi
11 years ago
BBCSwahili28 Dec
Ni vigumu kusitishwa vita Sudan K.
Msemaji wa Jeshi amesema kuna matumaini madogo ya kusitishwa kwa mapigano nchini Sudan Kusini kwa sasa.
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Waenda kujifunza athari za vita Sudan
CCM, ambayo inaratibu mazungumzo ya amani ya Sudan Kusini, itapeleka waandishi wa habari nchini humo ili kuona athari za vita.
11 years ago
BBCSwahili22 Dec
11 years ago
BBCSwahili18 Feb
Vita vyazuka tena Malakal, Sudan.K
Mapigano yameripotiwa kuzuka Sudan Kusini kwa mara ya kwanza tangu serikali na waasi kutia saini makubaliano ya kusitisha vita mwezi Januari.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania