Wizara ya Maliasili inaongozwa kwa ubabaishaji
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imesema Wizara ya Maliasili na Utalii inaongozwa kwa ubabaishaji na ‘mvutano wa kimasilahi’ baina ya waziri na katibu mkuu, hivyo kukwamisha shughuli za kuendeleza utalii.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ZGgikOPlrpA/XtKMwMDnSxI/AAAAAAABn7Y/aS4DqNjYS6ApDjBgE1sCtgQULZcgfYWBQCLcBGAsYHQ/s72-c/0c87019c487fdce140cb2280c5ea0ff4.jpg)
WIZARA YA MALIASILI YATOA MUONGOZO KWA WATALII
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZGgikOPlrpA/XtKMwMDnSxI/AAAAAAABn7Y/aS4DqNjYS6ApDjBgE1sCtgQULZcgfYWBQCLcBGAsYHQ/s400/0c87019c487fdce140cb2280c5ea0ff4.jpg)
Mwongozo huo umetolewa na Wizara hiyo kwa lengo la kuhakikisha makampuni hayo yanajiweka tayari ili kuwaepusha watalii kupata maambukizi ya Virusi hivyo na kusisitiza kuwa sehemu zote ambazo ni rahisi kuguswa na mtu yoyote, wahakikishe zinasafishwa...
11 years ago
Habarileo07 Jul
Meghji azawadiwa kwa kukaa miaka 9 Wizara ya Maliasili
WIZARA ya Maliasili na Utalii imemzawadia aliyewahi kuwa waziri wake, Zakhia Meghji kwa kuwa pekee aliyeiongoza kwa muda mrefu.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GBviTye4gMo/VlcXH4cbmDI/AAAAAAAAABw/vEIx6JjZ5uM/s72-c/IMG_1452.jpg)
WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAFANYA MKUTANO NA WADAU WA SEKTA YA MALIASILI NCHINI KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO
![](http://3.bp.blogspot.com/-GBviTye4gMo/VlcXH4cbmDI/AAAAAAAAABw/vEIx6JjZ5uM/s640/IMG_1452.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0PZpI_EqPWE/VYLb2rVqg1I/AAAAAAABiDA/02Dy7SQ_wfY/s72-c/IMG_3714.jpg)
WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KWA KUSHIRIKIANA NA ASASI ZA KIMATAIFA WILDAID, AFRICAN WILDLIFE FOUNDATION WAZINDU KAMPENI YA KUPAMBA NA NA UJADILI WA TEMBO
![](http://3.bp.blogspot.com/-0PZpI_EqPWE/VYLb2rVqg1I/AAAAAAABiDA/02Dy7SQ_wfY/s640/IMG_3714.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gNuilYM6hwI/VYLb2rbXtvI/AAAAAAABiC8/w0e4qbg1f44/s640/IMG_3731.jpg)
10 years ago
MichuziWIZARA YA MALIASILI YABARIKI KUANZISHWA KWA MFUKO WA KULINDA MLIMA KILIMANJARO NA MLIMA MERU
10 years ago
Michuzi28 Oct
TAARIFA KUTOKA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII
KASHFA IKULU;
· Nyalandu atumia Leseni ya Rais kuua wanyamapori 704 bure,
· Watakaouawa wamo pia tembo 8, chui 8, Simba 8, ndege,
· Wauaji ni Wamarekani marafiki wa Waziri wa Maliasili.
I.
Wizara ya Maliasili na Utalii inapenda kuwafahamisha Umma kuwa, tuhuma hizi si za kweli. Tuhuma hizi zimetolewa na watu wenye nia ovu na...
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Wizara ya Maliasili yakubali kukutana na TATO
WIZARA ya Maliasili na Utalii, imekubali kukaa meza moja na Chama cha Wamiliki wa Makampuni ya Kitalii Nchini (TATO) ili kutafuta ufumbuzi wa mvutano wa kimasilahi uliomudu kwa muda mrefu...
10 years ago
Habarileo20 Jan
Kamati ya Bunge yazibana wizara za Ardhi, Maliasili
KAMATI ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, imezitaka Wizara za Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na ile ya Maliasili na Utalii, kuhakikisha zinamaliza mgogoro wa ardhi uliopo katika eneo la Hifadhi ya Saadani bila kulitumia Bunge kwa maslahi yao binafsi.