Wizara ya Maliasili yakubali kukutana na TATO
WIZARA ya Maliasili na Utalii, imekubali kukaa meza moja na Chama cha Wamiliki wa Makampuni ya Kitalii Nchini (TATO) ili kutafuta ufumbuzi wa mvutano wa kimasilahi uliomudu kwa muda mrefu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAFANYA MKUTANO NA WADAU WA SEKTA YA MALIASILI NCHINI KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO
11 years ago
Mwananchi15 May
Wizara ya Maliasili inaongozwa kwa ubabaishaji
10 years ago
Michuzi28 Oct
TAARIFA KUTOKA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII
KASHFA IKULU;
· Nyalandu atumia Leseni ya Rais kuua wanyamapori 704 bure,
· Watakaouawa wamo pia tembo 8, chui 8, Simba 8, ndege,
· Wauaji ni Wamarekani marafiki wa Waziri wa Maliasili.
I.
Wizara ya Maliasili na Utalii inapenda kuwafahamisha Umma kuwa, tuhuma hizi si za kweli. Tuhuma hizi zimetolewa na watu wenye nia ovu na...
5 years ago
CCM BlogWIZARA YA MALIASILI YATOA MUONGOZO KWA WATALII
Mwongozo huo umetolewa na Wizara hiyo kwa lengo la kuhakikisha makampuni hayo yanajiweka tayari ili kuwaepusha watalii kupata maambukizi ya Virusi hivyo na kusisitiza kuwa sehemu zote ambazo ni rahisi kuguswa na mtu yoyote, wahakikishe zinasafishwa...
10 years ago
Habarileo20 Jan
Kamati ya Bunge yazibana wizara za Ardhi, Maliasili
KAMATI ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, imezitaka Wizara za Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na ile ya Maliasili na Utalii, kuhakikisha zinamaliza mgogoro wa ardhi uliopo katika eneo la Hifadhi ya Saadani bila kulitumia Bunge kwa maslahi yao binafsi.
10 years ago
StarTV05 May
Kamati ya bunge maliasili, yaitupia lawama Wizara ya Ujenzi.
Na Immaculate Kilulya,
Dar Es Salaam.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, imekataa kujadili Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii baada ya Wizara hiyo kukiuka makubaliano na kamati hiyo na kusababisha hasara kwa taifa baada ya kuziba mianya ya kuziingizia fedha hifadhi za taifa.
Miongoni mwa mianya hiyo ni pamoja na utaratibu wa kuingia kwenye hifadhi mara mbili uliosababisha hasara ya Shilingi bilioni 15 kwenye Hifadhi ya Ngorongoro, huku ucheleweshwaji wa tozo...
5 years ago
CCM BlogWIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAONYA UVAMIZI USHOROBA WA WANYAMA
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Staslaus Kanyasu akiwa pamoja na wajumbe wa kamati ya ulinzi na Usalama wilaya ya Babati, pamoja na mkurugenzi wa hoteli za chemchem Nicolaus Negri walipotembea eneo la hifadhi ya Jamii ya Burunge, wilayani Babati mkoa wa Manyara, ambalo linakabiliwa na tatizo la uvamizi.
Mkurugenzi wa hoteli za Chemchem wilayani Babati mkoa wa Manyara,, Nicolaus Negri akiwa na Naibu waziri wa Maliasili na Utalii, Staslaus Kanyasu, akielezea tatizo la uvamizi katika...
11 years ago
Habarileo07 Jul
Meghji azawadiwa kwa kukaa miaka 9 Wizara ya Maliasili
WIZARA ya Maliasili na Utalii imemzawadia aliyewahi kuwa waziri wake, Zakhia Meghji kwa kuwa pekee aliyeiongoza kwa muda mrefu.
11 years ago
Michuzi10 May