Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wizara ya Maliasili yakubali kukutana na TATO

WIZARA ya Maliasili na Utalii, imekubali kukaa meza moja na Chama cha Wamiliki wa Makampuni ya Kitalii Nchini (TATO) ili kutafuta ufumbuzi wa mvutano wa kimasilahi uliomudu kwa muda mrefu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAFANYA MKUTANO NA WADAU WA SEKTA YA MALIASILI NCHINI KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Adelhelm Meru akitoa hotuba ya ufunguzi wa Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Maliasili nchini leo tarehe 26 Novemba 2015 katika Ukumbi wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Bustani Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo umeshirikisha wadau mbalimbali wakiwemo wa Wizara zenye muelekeo wa Maliasili, Sekta binafsi, NGOs, Waandishi wa habari na wadau wengine. Mada mbalimbali kutoka katika Sekta ndogo za Wanyamapori, Misitu, Utalii, Mambo ya Kale na Uvuvi...

 

11 years ago

Mwananchi

Wizara ya Maliasili inaongozwa kwa ubabaishaji

Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imesema Wizara ya Maliasili na Utalii inaongozwa kwa ubabaishaji na ‘mvutano wa kimasilahi’ baina ya waziri na katibu mkuu, hivyo kukwamisha shughuli za kuendeleza utalii.

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA KUTOKA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII

Katika gazeti la Jamhuri la Jumanne Agosti 19 – 25, 2014 ISSN No. 1821-8156 Toleo No. 150, zilichapishwa taarifa potofu zenye  kichwa cha habari;
   KASHFA IKULU;
·    Nyalandu atumia Leseni ya Rais kuua wanyamapori 704 bure,
·    Watakaouawa wamo pia tembo 8, chui 8, Simba 8, ndege,
·    Wauaji ni Wamarekani marafiki wa Waziri wa Maliasili.
I.   
Wizara ya Maliasili na Utalii inapenda kuwafahamisha Umma kuwa, tuhuma hizi si za kweli. Tuhuma hizi zimetolewa na watu wenye nia ovu  na...

 

5 years ago

CCM Blog

WIZARA YA MALIASILI YATOA MUONGOZO KWA WATALII

  Wizara ya Maliasili na Utalii imeweka mwongozo maalum kwa kampuni zinazojihusisha na watalii, kuhakikisha kuwa wanakuwa na taarifa za mara kwa mara za tahadhari ya maambukizi ya Virusi vya Corona zinazopaswa kuchukuliwa na kufuatwa kwa usahihi.

Mwongozo huo umetolewa na Wizara hiyo kwa lengo la kuhakikisha makampuni hayo yanajiweka tayari ili kuwaepusha watalii kupata maambukizi ya Virusi hivyo na kusisitiza kuwa sehemu zote ambazo ni rahisi kuguswa na mtu yoyote, wahakikishe zinasafishwa...

 

10 years ago

Habarileo

Kamati ya Bunge yazibana wizara za Ardhi, Maliasili

Lembeli JamesKAMATI ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, imezitaka Wizara za Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na ile ya Maliasili na Utalii, kuhakikisha zinamaliza mgogoro wa ardhi uliopo katika eneo la Hifadhi ya Saadani bila kulitumia Bunge kwa maslahi yao binafsi.

 

10 years ago

StarTV

Kamati ya bunge maliasili, yaitupia lawama Wizara ya Ujenzi.

Na Immaculate Kilulya,

Dar Es Salaam.

 

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, imekataa kujadili Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii baada ya Wizara hiyo kukiuka makubaliano na kamati hiyo na kusababisha hasara kwa taifa baada ya kuziba mianya ya kuziingizia fedha hifadhi za taifa.

 

Miongoni mwa mianya hiyo ni pamoja na utaratibu wa kuingia kwenye hifadhi mara mbili uliosababisha hasara ya Shilingi bilioni 15 kwenye Hifadhi ya Ngorongoro, huku ucheleweshwaji wa tozo...

 

5 years ago

CCM Blog

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAONYA UVAMIZI USHOROBA WA WANYAMA


Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Staslaus Kanyasu  akiwa pamoja na wajumbe wa kamati ya ulinzi na Usalama wilaya ya Babati, pamoja na mkurugenzi wa hoteli za chemchem Nicolaus Negri walipotembea   eneo la hifadhi ya Jamii ya Burunge, wilayani Babati mkoa wa Manyara, ambalo linakabiliwa na tatizo la uvamizi.



Mkurugenzi wa hoteli za Chemchem wilayani Babati mkoa wa Manyara,, Nicolaus Negri akiwa na  Naibu waziri wa Maliasili na Utalii, Staslaus Kanyasu, akielezea tatizo  la uvamizi katika...

 

11 years ago

Habarileo

Meghji azawadiwa kwa kukaa miaka 9 Wizara ya Maliasili

Zakhia Meghji WIZARA ya Maliasili na Utalii imemzawadia aliyewahi kuwa waziri wake, Zakhia Meghji kwa kuwa pekee aliyeiongoza kwa muda mrefu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani