Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wizara yakerwa na wanaoadhibu mifugo kwa makosa ya binadamu

Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi imeonya dhidi ya vitendo vya kuhukumu wanyama kwa makosa yanayofanywa na binadamu, ikisema ni kinyume cha sheria na ni ukatili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Tume ya Haki za Binadamu yalaani hatua za Viongozi kuwaweka rumande watumishi wa umma kwa makosa ya kinidhamu

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Bahame Nyanduga 

 

5 years ago

Michuzi

UTEUZI WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MIFUGO NA UVUVI


Dodoma, Juni 22, 2020

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Joelson Mpina (Mb) kwa Mamlaka aliyonayo chini ya Kifungu cha 4(1) cha Sheria ya Veterinari Na. 16 ya Mwaka 2003 amewateua Wajumbe wa Baraza la Veterinari Tanzania kama ifuatavyo: -Dkt. Bhakilana Augustine Mafwere Mwakilishi Chama cha Wafanyabiashara wa Dawa                                                                  za  Wanyama
Prof. Amandus Pachifius Muhairwa Mwakilishi,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Komba: Mawaziri wizara ya mifugo wajiuzulu

MBUNGE wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba (CCM), amewataka Waziri na Naibu Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi, kujiuzulu kwa kushindwa kusimamia wizara hiyo. Komba alitoa kauli hiyo bungeni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wizara ya Mifugo yabanwa Nanenane Dodoma

WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi imetakiwa kuhakikisha inawapa washindi wote zawadi walizoahidi katika kilele cha maonyesho ya Nanenane 2013 kabla ya kuanza kwa maonyesho ya Kanda ya Kati...

 

9 years ago

Michuzi

WIZARA YA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI WAKEMEA TABIA YA KUADHIBU WANYAMA.

Mkurugenzi wa Huduma za mifungo Tanzania katika wizara ya Kilimo, mifugo na Uvuvi, Dkt. Abdu Hayghaimo akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na kusikitishwa kwao kama wizara kutokana na wanyama kuadhibiwa bila hatia yoyote kwenye migogoro kati ya wakulima na wafugaji hapa nchini. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha mawasiliano wa wizara ya kilimo, mifugo na Uvuvi, Judith Mliwa.Daktari wa Mifugo wa kurugenzi ya huduma za mifugo wizara ya kilimo, mifugo na Uvuvi, Dkt....

 

10 years ago

Michuzi

DKT. SHEIN AKUTANA NA UONGOZI WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI ZANZIBAR LEO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiongoza kikao cha Wizara ya Mifigo na Uvuvi kilichozungumzia utekelezaji mpango kazi wa Wizara ya hiyo kwa kipindi cha mwezi Julai-Disemba 2014 katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi

 

5 years ago

Michuzi

Wizara ya Katiba na Sheria na Tume ya Haki za Binadamu zina Wajibu wa kulinda haki za wananchi-Jaji Mstaafu Mwaimu



Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibari, Mhe.Khamis Juma Mwalim, akifafanua jambo kwa wajumbe na wageni wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora (hawapo pichani) wakiongozwa na Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (kushoto) wakati wa kikao kifupi kilichofanyika ofisini kwake baada ya kutembelewa na ugeni huo loe Juni 4, 2020 Mjini...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yakerwa sakata la Okwi

Serikali haikupendezwa na sakata la mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi huku ikitoa rai kwa wachezaji wa kigeni kuheshimu sheria, taratibu na kanuni za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) pamoja na lile la kimataifa, Fifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Tucta yakerwa na Bajeti 2014/15

>Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), limekosoa Bajeti ya Serikali ya mwaka 2014/15, kutokana na kuongeza kodi ya bidhaa na kupunguza kwa asilimia moja tu kodi ya mishahara ya wafanyakazi (PAYE).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani