Ya Chadema, Lowassa na hadithi ya ugali kwa harufu ya samaki
MANIFESTO ni neno la Kiingereza, lililotoholewa kutoka katika neno la Kilatini la Manifestum.
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-r86mgXobb40/VRVqvff7RVI/AAAAAAAHNp4/qnCS4F4w94M/s72-c/1.jpg)
SAMAKI SAMAKI KUCHANGIA ELIMU KWA WATOTO YATIMA
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Mgahawa wa Samaki Samaki umeanzisha mpango wa kuchangia Elimu kwa watoto yatima kwa kila mtu atakayekula katika migahawa ya samaki samaki itatolewa sh.1000 kwa bei halisi na sio kukatwa mteja.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam ,Afisa Mkuu wa Masoko wa Samaki Samaki,Edward Lusala amesema Samaki Samaki imefikisha miaka nane tangu kuanza kwake na wameona kuna umuhimu wa kuchangia katika kundi la watoto yatima.
Amesema kuwa wanawafundisha...
Mgahawa wa Samaki Samaki umeanzisha mpango wa kuchangia Elimu kwa watoto yatima kwa kila mtu atakayekula katika migahawa ya samaki samaki itatolewa sh.1000 kwa bei halisi na sio kukatwa mteja.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam ,Afisa Mkuu wa Masoko wa Samaki Samaki,Edward Lusala amesema Samaki Samaki imefikisha miaka nane tangu kuanza kwake na wameona kuna umuhimu wa kuchangia katika kundi la watoto yatima.
Amesema kuwa wanawafundisha...
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Lowassa analipiza kisasi kwa Chadema?
NIANZE kwa kuwaomba radhi wasomaji wangu kwamba sitaonekana tena katika safu hii kuanzia toleo li
Johnson Mbwambo
9 years ago
Mwananchi22 Oct
Chadema : Lowassa mshindi kwa asilimia 61
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimedai mgombea wake wa urais, Edward Lowassa anayeungwa mkono na Ukawa ataibuka na ushindi wa asilimia  61 katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumapili ijayo.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*67Uoec4vv1a2K0IP88TwpmSRQv5PZxwGYD8DY5Ss-mfIhAdzc57I1B7WsLSHCXAsGIxYJzMJpSpJXcSmv*WKAwwPst1m7oJ/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
KWA HARUFU ILE NDOA LAZIMA IFE
Jamaa yangu kaja kunitembelea na mimi nilifurahi sana, maana sijaonana naye tangu tulipokuwa shule miaka hiyo. Kwa hiyo tulianza na stori za shule na kukumbuka wale jamaa wenye vituko tuliosoma nao, na kukumbushana vituko vyao. Kadiri muda ulivyokwenda nikagundua kuwa jamaa hana mpango wa kuondoka kwangu, basi nikajitayarisha kisaokolojia kuwa jamaa atalala hapa kwangu, kwa vile nilikuwa na chumba cha wageni haikunisumbua sana....
10 years ago
Mwananchi29 Jul
LOWASSA CHADEMA: Fitina zimempeleka Lowassa upinzani
>Hatimaye waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa amekitosa chama chake cha CCM na kutua Chadema. Huko ndiko anatarajia kuendelea na safari yake ya matumaini aliyoianza na sasa anatarajiwa kupambana na ikiwezekana kukidhoofisha chama kilichomlea katika harakati za kuingia Ikulu.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-A8ieHaSIP9o/Vf2Fw8FzJ0I/AAAAAAAACZM/LFTrrj04WgI/s72-c/OTH_7295.jpg)
Mgombea Urais Chadema Mhe Lowassa Apokelewa kwa Kishindo Mjini Bukoba leo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-A8ieHaSIP9o/Vf2Fw8FzJ0I/AAAAAAAACZM/LFTrrj04WgI/s640/OTH_7295.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aDVWxtQMsJA/Vf2GnawU_GI/AAAAAAAACdU/oM8kPuBI190/s640/OTH_8194.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sPXV2c37HR8/Vf2GobnXByI/AAAAAAAACdc/v6V4YRCKTPc/s640/OTH_8216.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-A_gEwZBSsvM/VabjsBhtUTI/AAAAAAABjXo/IERsB3eJMSQ/s72-c/OFFICIAL%2BPOSTER.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fi8JaCfKDHs/VL_GqSbYNxI/AAAAAAAG-wQ/cVS8-e7_MWI/s72-c/unnamed.png)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eBS0-0Ni0-E/U4OU1O1o5QI/AAAAAAAFlQs/Mz4xStem7eo/s72-c/unnamed+(66).jpg)
TAMASHA LA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MANGWEA JUNI 28, SAMAKI SAMAKI MOROGORO
MASTAA mbalimbali nchini wakiwemo wanamuziki wanatarajiwa kushiriki kwenye tukio maalum la kumbukumbu ya mwaka mmoja tokea kifo cha marehemu Albert Mangwea ‘Ngwair’ , litakalofanyika ndani ya ukumbi wa Nyumbani Park (Samaki samaki Spot) , Kihonda Morogoro mjini Juni 28.
Mratibu Mtendaji wa tamasha hilo, Kareeem Omary ‘KO’ amesema maandalizi ya tukio hilo litakalokuwa la kila mwaka, limepwa jina la ‘Love Concert - Kumbukumbu ya kifo cha Albert Mangwe’.
Kareem amewaomba wadau...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania