YAJUE MAAJABU YA MAFUTA YA SAMAKI
![](http://api.ning.com:80/files/mK50tPAXydV7SS8D4daRP6OlLGXtYoL6VAz*HNF15zb40VyQU3v04m-QwowesOyH18SlMfj3oP9iZSzEGynMHtoKIaPx4ILY/mafuta.jpg?width=650)
HAYA unaweza kuyaita ni maajabu ya mafuta ya samaki baada ya kuonesha uwezo wa kuponya hata ‘mfu’ aliyekwisha tangaziwa kifo na madaktari bingwa. Ni kisa cha kweli kilichotokea nchini Marekani hivi karibuni na kuoneshwa na Kituo cha Televisheni cha CNN ambacho kinaaminika na kutizamwa na mamilioni ya watu duniani. Septemba 16, 2012 kijana mwenye umri wa miaka 16, Grant Virgin wa nchini Marekani aligongwa na gari na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Yajue maajabu ya ndege zisizotumia rubani
11 years ago
Habarileo20 Mar
Mafuta ya samaki husababisha degedege -Dk Mzige
MAFUTA ya samaki yanayotolewa na watu wengi kwa watoto kama kinga, yanadaiwa kuwa na madhara, ikiwemo kusababisha degedege. Mkurugenzi Mtendaji wa Kliniki ya kimataifa ya afya ya uzazi kwa baba, mama, mtoto na vijana (AMM), Dk Ali Mzige ameasa wazazi na walezi juu ya mafuta hayo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-A_gEwZBSsvM/VabjsBhtUTI/AAAAAAABjXo/IERsB3eJMSQ/s72-c/OFFICIAL%2BPOSTER.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fi8JaCfKDHs/VL_GqSbYNxI/AAAAAAAG-wQ/cVS8-e7_MWI/s72-c/unnamed.png)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eBS0-0Ni0-E/U4OU1O1o5QI/AAAAAAAFlQs/Mz4xStem7eo/s72-c/unnamed+(66).jpg)
TAMASHA LA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MANGWEA JUNI 28, SAMAKI SAMAKI MOROGORO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3LvDVQzCM3iuYO7UFTjnUFu-BwMg*KGeb6K-Tua3wHehsow5b7gL9WBwHbsGYfqGZAApCFSUVJ1ltIgFgXTAnKJG/AlbertMangwair.jpg?width=650)
KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MANGWEA MEI 28, SAMAKI SAMAKI MOROGORO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rlKdysP3wBo/VOiGE16gIgI/AAAAAAAHE_Q/6ShxRvZW4CA/s72-c/DSC_0354.jpg)
USIKU WA WATEMBO NDANI YA KIOTA CHA SAMAKI SAMAKI NI RAHA TU
![](http://2.bp.blogspot.com/-rlKdysP3wBo/VOiGE16gIgI/AAAAAAAHE_Q/6ShxRvZW4CA/s1600/DSC_0354.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AHWHU0BwQqc/VOiGEtljAfI/AAAAAAAHE_M/QXTWiS_GEjs/s1600/DSC_0379.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xYJWi49KYxE/VOiGFo-DmsI/AAAAAAAHE_k/3JhXOu-Q7Dk/s1600/DSC_0407.jpg)
11 years ago
Dewji Blog27 May
Kumbukumbu ya Kifo cha Mangwea Juni 28, Samaki Samaki Morogoro
Mangwea enzi za uhai wake.
Na Andrew Chale
MASTAA mbalimbali nchini wakiwemo wanamuziki wanatarajiwa kushiriki kwenye tukio maalum la kumbukumbu ya mwaka mmoja tokea kifo cha marehemu Albert Mangwea ‘Ngwair’ , litakalofanyika ndani ya ukumbi wa Nyumbani Park (Samaki Samaki Spot) , Kihonda Morogoro mjini Juni 28.
Akizungumza na mtando huu , Mratibu Mtendaji wa tamasha hilo, Kareeem Omary ‘KO’ alisema maandalizi ya tukio hilo litakalokuwa la kila mwaka, limepwa jina la ‘Love Concert –...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-r86mgXobb40/VRVqvff7RVI/AAAAAAAHNp4/qnCS4F4w94M/s72-c/1.jpg)
SAMAKI SAMAKI KUCHANGIA ELIMU KWA WATOTO YATIMA
Mgahawa wa Samaki Samaki umeanzisha mpango wa kuchangia Elimu kwa watoto yatima kwa kila mtu atakayekula katika migahawa ya samaki samaki itatolewa sh.1000 kwa bei halisi na sio kukatwa mteja.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam ,Afisa Mkuu wa Masoko wa Samaki Samaki,Edward Lusala amesema Samaki Samaki imefikisha miaka nane tangu kuanza kwake na wameona kuna umuhimu wa kuchangia katika kundi la watoto yatima.
Amesema kuwa wanawafundisha...